Maandamano ya vijana Kenya yamepoteza uelekeo na hayana maana tena

Ukiona mwenzio ananyolewa zako TIA MAJI...ipo cku yenu nyie CCM yajaa...
sifahamu na sihusiki huko,

unaomaje hali ya maandamano ya majambazi na maporaji hapo kwa majirani zetu?
 
SIYO KWELI -Uharibufu pekee ni Mali za wabunge wasaliti waliyopiga kura ya ndio muswaada wa fedha onevu.
 
SIYO KWELI -Uharibufu pekee ni Mali za wabunge wasaliti waliyopiga kura ya ndio muswaada wa fedha onevu.
umejuaje?

eti muandamana muungwana,
mlikua mnachagua sio?
kwamba hili ni duka la mbunge na hili sio la mbunge mnaliacha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…