hapo hapatakaa sawa tena hizo vurugu walizoanzisha yafuatayo ni mauaji ya kimbari kumbuka kuna ukabila kulenawaunga mkono
pakikaa sawa tutajifunza nini cha kufanya
NaamAisee!Hao vijana ni habari nyingine kabisa.
Sawa sawa!nawaunga mkono
pakikaa sawa tutajifunza nini cha kufanya
Mkuu humjui Ruto. Mbona haya maandamano wiki 3 mfululizo hayakufanyika Zama za Uhuru au Kibaki? Jamaa anakomba pesa Hazina halafu anaongeza Kodi Kwa "hustlers" wenzakeWakenya kabla hawajaamua kuingia kwenye ghasia isiyo na kikomo waitazame hali ya Somalia na Sudani.
Ruto namjua vizuri sana.Mkuu humjui Ruto. Mbona haya maandamano wiki 3 mfululizo Zama za Uhuru au Kibaki? Jamaa anakomba pesa Hazina halafu anaongeza Kodi Kwa "hustlers" wenzake
Jamaa alicheza na watu wa IT na Chebukati wakala mgao mapemaa (baada ya deal ku(tick) kila mtu anajikataaRuto namjua vizuri sana.
Hata nilishangaa waliwezaje kumchagua mtu kama huyo.
Lakini kwakuwa wamemchagua wenyewe, watulie wajenge nchi yao.
RO anasema data hizo ni viranga ya kompyuta - meaning vimetotoleshwa kwenye mashine.Jamaa akicheza na watu wa IT na Chebukati