Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Wanaukumbi.
Maandamano yanahitaji watu. Watu hawajajitokeza.
Swali:
1. Ni uwoga au CHADEMA haivutii Watanzania?
2. Kama ni uwoga, na people’s power hakuna bargaining power ya CHADEMA ni nini?
3. Bila ya bargaining power CHADEMA wataweza kushinikiza CCM walete mabadiliko ya MFUMO?
4. Mbowe na wenzake muda umefika sasa wa kuachia watu wengine Tanzania hamna upinzani wa maaana.
Pia soma: Kuelekea 2025 - Yaliyojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
Maandamano yanahitaji watu. Watu hawajajitokeza.
Swali:
1. Ni uwoga au CHADEMA haivutii Watanzania?
2. Kama ni uwoga, na people’s power hakuna bargaining power ya CHADEMA ni nini?
3. Bila ya bargaining power CHADEMA wataweza kushinikiza CCM walete mabadiliko ya MFUMO?
4. Mbowe na wenzake muda umefika sasa wa kuachia watu wengine Tanzania hamna upinzani wa maaana.
Pia soma: Kuelekea 2025 - Yaliyojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024