Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
hayo maandamano haramu ya mapanyarodi na manyumbu ni ya Chadema na wao pekeyoa....
wanaojielewa hawawezi shiriki kupigwa virungu, kuteguliwa taya na viouno ili wakatese na kuipa familia y mizigo wa malezi [emoji205]
Ninyi ndio wendawazimu wachache mliosalia. Tangu lini kutembea kukamtegua mtu taya au kiuno.
Kwa ujinga wenu mnadhani mnawatisha watu kumbe mnazidi kuwapa ujasiri.