Bams JF-Expert Member Joined Oct 19, 2010 Posts 19,362 Reaction score 48,879 Jan 22, 2024 #21 Tlaatlaah said: hayo maandamano haramu ya mapanyarodi na manyumbu ni ya Chadema na wao pekeyoa.... wanaojielewa hawawezi shiriki kupigwa virungu, kuteguliwa taya na viouno ili wakatese na kuipa familia y mizigo wa malezi [emoji205] Click to expand... Ninyi ndio wendawazimu wachache mliosalia. Tangu lini kutembea kukamtegua mtu taya au kiuno. Kwa ujinga wenu mnadhani mnawatisha watu kumbe mnazidi kuwapa ujasiri.
Tlaatlaah said: hayo maandamano haramu ya mapanyarodi na manyumbu ni ya Chadema na wao pekeyoa.... wanaojielewa hawawezi shiriki kupigwa virungu, kuteguliwa taya na viouno ili wakatese na kuipa familia y mizigo wa malezi [emoji205] Click to expand... Ninyi ndio wendawazimu wachache mliosalia. Tangu lini kutembea kukamtegua mtu taya au kiuno. Kwa ujinga wenu mnadhani mnawatisha watu kumbe mnazidi kuwapa ujasiri.
D Desprospero JF-Expert Member Joined Feb 1, 2023 Posts 1,015 Reaction score 2,493 Jan 27, 2024 Thread starter #22 chiyelu said: Hakuna mtu ataandama siku ya tareh 24 niamini Mimi! Click to expand... Wameandamana au la?
chiyelu said: Hakuna mtu ataandama siku ya tareh 24 niamini Mimi! Click to expand... Wameandamana au la?