Ila tupende tusipende lkn ukweli ni kwamba ccm inakoelekea ni karibu na mwisho wao wa kutawala japo hakuna dalili zozote kwamba wanaweza wakaondolewa kwa njia ya kura lakini ninachofahamu ni kwamba mwisho wao hauko mbali na kutolewa ni kutolewa tu hata kwa military coup.