Maandamano yetu ndani ya JF yanazaa matunda zaidi ya yale ya Gen-Z ?

Maandamano yetu ndani ya JF yanazaa matunda zaidi ya yale ya Gen-Z ?

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
Baada ya takafuri nzito, kwa kiasi fulani maandanano yetu kupitia maoni yetu hapa JamiiForums yameanza kufanikiwa.

Tunaona viongozi walio na akaunti verified JF wanajitokeza kuandika masuala ya kisera na kujaribu kushirikisha umma kwa majadiliano mfano waziri wa Fedha ndugu Mwigulu Lameck Nchemba.

Pia tumeona baadhi ya maoni ya raia hapa JamiiForums yanafanyiwa kazi kwa kasi, mfano kutumbuliwa Nape Moses Nnauye

Tuendelee na maandamano yetu hapa JamiiForums ili tume huru ya uchaguzi ipatikane. Tuendelee na maandamano wakurugenzi Ma-DED makada wa CCM wasisimamie chaguzi majimboni.

Tuendelee kupiga kelele kwa maandamabo hapa JF wizara ya TAMISEMI isihusike na mchakato mzima wa uchaguzi wa 2024 wa viongozi wa vitongoji, vijiji na mitaa.

Tuendelee na maandamano hapa JF kupinga watu kuchukuliwa mitaani bila mashahidi kuwepo yaani majirani, mabalozi wa mitaa n.k ili watu wasiojulikana pia askari polisi wasitumie mamlaka vibaya.

Tuendelee kuandamana hapa JF kufuatilia utendaji wa mfumo wa haki jinai unapokengeuka

Au maandamano yetu hapa JamiiForums hayaleti yale tunayotamani, tutoke mtandaoni kuingia barabarani kama GEN-Z ikiwa viongozi wa serikali hawasikii maandamano yetu mrandaoni?
 
Tanzania itabadilika. Kwa kuamua au kwa kulazimika baada ya mambo mengi kufeli na kusababisha anguko la wanayofanya
 
Hakika mkuu .

Nami nimeona viongozi wamefanyia kazi baadhi ya maoni yangu niliyokuwa natoa kwenye comments zangu .

Wanikumbuke sasa katika ufalme wao . Wakianza kuchimba madini Serengeti , wanipe jiwe moja kubwa la madini hayo ili na mimi nifaidi mema ya nchi yangu ninayoipenda .
 
Serikali ya Tanzania iwe sikivu kuhusu matumizi ya anasa mfano kelele na maoni ya raia wake kuwa viongozi wasinunuliwe magari ya kifahari V8 kwa kutumia pesa za wavuja jasho walipa kodi n.k, maisha magumu, umiliki wa ardhi, Serikali igawe kanda kubwa ili yawepo maeneo maalum tengefu kwa wafugaji, maeneo tengefu maalum kwa kilimo, katiba mpya, tume huru ya uchaguzi n.k

Tuesday 23 July 2024

Kampala, Uganda

Uganda protests happening now: Heavy military presence around Kampala to quell anti-corruption walks​


View: https://m.youtube.com/watch?v=T9tyRjMPhGo
 
Serikali ya Tanzania chini ya chama dola kongwe CCM iache ubabe, kuburuza raia, kiburi n.k Isikilize maoni ya wananchi wa Tanzania ili hali iwe shwari isifikie tsunami ya maandamano yasiyo na kikomo inayoikumba nchi jirani za Kenya na Uganda ...


22 July 2024
Kampala, Uganda,

UPDF spokesperson Brig Gen Felix Kulaije has warned journalists against exhibiting unprofessionalism while covering protests/riots ending up being beaten by the security forces.“I will have no apology to make if they beat you,” UPDF Spokesman Brig Gen Felix Kulaije said.


View: https://m.youtube.com/watch?v=5nHEj_QI9Cg
 
Baada ya takafuri nzito, kwa kiasi fulani maandanano yetu kupitia maoni yetu hapa JamiiForums yameanza kufanikiwa.

Tunaona viongozi walio na akaunti verified JF wanajitokeza kuandika masuala ya kisera na kujaribu kushirikisha umma kwa majadiliano mfano waziri wa Fedha ndugu Mwigulu Lameck Nchemba.

Pia tumeona baadhi ya maoni ya raia hapa JamiiForums yanafanyiwa kazi kwa kasi, mfano kutumbuliwa Nape Moses Nnauye

Tuendelee na maandamano yetu hapa JamiiForums ili tume huru ya uchaguzi ipatikane. Tuendelee na maandamano wakurugenzi Ma-DED makada wa CCM wasisimamie chaguzi majimboni.

Tuendelee kupiga kelele kwa maandamabo hapa JF wizara ya TAMISEMI isihusike na mchakato mzima wa uchaguzi wa 2024 wa viongozi wa vitongoji, vijiji na mitaa.

Tuendelee na maandamano hapa JF kupinga watu kuchukuliwa mitaani bila mashahidi kuwepo yaani majirani, mabalozi wa mitaa n.k ili watu wasiojulikana pia askari polisi wasitumie mamlaka vibaya.

Tuendelee kuandamana hapa JF kufuatilia utendaji wa mfumo wa haki jinai unapokengeuka

Au maandamano yetu hapa JamiiForums hayaleti yale tunayotamani, tutoke mtandaoni kuingia barabarani kama GEN-Z ikiwa viongozi wa serikali hawasikii maandamano yetu mrandaoni?
Acha kuvuta Bangi mbichi
 
Baada ya takafuri nzito, kwa kiasi fulani maandanano yetu kupitia maoni yetu hapa JamiiForums yameanza kufanikiwa.

Tunaona viongozi walio na akaunti verified JF wanajitokeza kuandika masuala ya kisera na kujaribu kushirikisha umma kwa majadiliano mfano waziri wa Fedha ndugu Mwigulu Lameck Nchemba.

Pia tumeona baadhi ya maoni ya raia hapa JamiiForums yanafanyiwa kazi kwa kasi, mfano kutumbuliwa Nape Moses Nnauye

Tuendelee na maandamano yetu hapa JamiiForums ili tume huru ya uchaguzi ipatikane. Tuendelee na maandamano wakurugenzi Ma-DED makada wa CCM wasisimamie chaguzi majimboni.

Tuendelee kupiga kelele kwa maandamabo hapa JF wizara ya TAMISEMI isihusike na mchakato mzima wa uchaguzi wa 2024 wa viongozi wa vitongoji, vijiji na mitaa.

Tuendelee na maandamano hapa JF kupinga watu kuchukuliwa mitaani bila mashahidi kuwepo yaani majirani, mabalozi wa mitaa n.k ili watu wasiojulikana pia askari polisi wasitumie mamlaka vibaya.

Tuendelee kuandamana hapa JF kufuatilia utendaji wa mfumo wa haki jinai unapokengeuka

Au maandamano yetu hapa JamiiForums hayaleti yale tunayotamani, tutoke mtandaoni kuingia barabarani kama GEN-Z ikiwa viongozi wa serikali hawasikii maandamano yetu mrandaoni?
CCM ni wale wale majizi
 
Hata waue raia milioni 10! Wasipofanya mabadiliko na kuacha ubinafsi, wizi, ufisadi, uonevu, kukosa uzalendo, lazima nawo watakufa na mabadiliko yatakuja tu!,🫵✊
 
Back
Top Bottom