Maandamo yasiyo na focus wala msimamo ni kupotezea Muda wananchi .

Maandamo yasiyo na focus wala msimamo ni kupotezea Muda wananchi .

Error 404

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2022
Posts
2,151
Reaction score
3,493
Wakati tuko mashuleni na vyuoni tulikuwa tunaandama kwa sababu maalumu na tunaandama mpaka kieleweki .

Maandamo ya CHADEMA ya sasa hayana madhara yoyote kwa serikali ,hayana msimamo wowote na wala hayapeleki ujumbe wowote kwa serikali ni upotevu wa Muda .

Cdm jitafakarini​
 
Wakati tuko mashuleni na vyuoni tulikuwa tunaandama kwa sababu maalumu na tunaandama mpaka kieleweki .

Maandamo ya CHADEMA ya sasa hayana madhara yoyote kwa serikali ,hayana msimamo wowote na wala hayapeleki ujumbe wowote kwa serikali ni upotevu wa Muda .

Cdm jitafakarini​
Umewasikiliza hao Chadema na kuisikiliza Serikali ikakwambia haipati ujumbe wowote?
 
Kuna kilitekelezwa ? Kuanzia miswaada ya sheria , yangekuwa na impact hii ccm ingeyaruhusu ?
 
Kuna kilitekelezwa ? Kuanzia miswaada ya sheria , yangekuwa na impact hii ccm ingeyaruhusu ?
 
Wakati tuko mashuleni na vyuoni tulikuwa tunaandama kwa sababu maalumu na tunaandama mpaka kieleweki .

Maandamo ya CHADEMA ya sasa hayana madhara yoyote kwa serikali ,hayana msimamo wowote na wala hayapeleki ujumbe wowote kwa serikali ni upotevu wa Muda .

Cdm jitafakarini​
Sukari
Sukari
Sukari
Maji
Maji
Maji
Umeme
Umeme
Umeme
Ajira
Ajira
Ajira
UNATAKA FOCUS YA KITU GANI HASWA? AU HUJUI MAANA YA FOCUS ???
miaka 60 plus ya uhuru bado serikali inakimbizana na wauza sukari.Tena wa rejareja??
 
Wapokeaji ujumbe ndo hawana focus wala impact mkuu.

Kwani ripoti za CAG zina impact au focus yeyote kwa Serikali?

Sukari, Maji. UMEME, TUME HURU, KATIBA MPYA, SIYO Mambo ya msingi mkuu??

Duh
 
Kuna kilitekelezwa ? Kuanzia miswaada ya sheria , yangekuwa na impact hii ccm ingeyaruhusu ?
Wewe ukimtia mimba mke leo, anaweza kuzaa kesho au kesho kutwa?

CCM na serikali yao ndio tu wanatiwa mimba. Inakua na mwisho watazaa tu.
 

Maandamo ya CHADEMA ya sasa hayana madhara yoyote kwa serikali ,hayana msimamo wowote na wala hayapeleki ujumbe wowote kwa serikali ni upotevu wa Muda .

Cdm jitafakarini​
Maandamano haya yamelenga kutuma ujumbe kwa wanaoitwa wahisani kwamba sasa hivi kuna uhuru wa kidemokrasia, haki za kiraia kuheshimiwa tofauti na ilivyokuwa wakati wa Magufuli.

Ni namna ya kuusafisha utawala wa sasa.

Nusu mkate effect.
 
Awamu ya kwanza ni Maandamano tukipuuzwa Maandamano ya AMANI Nchi nzima tukipuuzwa Migomo miji yote mikubwa tukipuuzwa Migomo Nchi nzima tukipuuzwa Maandamano na Migomo Nchi nzima.

Na tukipuuzwa tena tunakuja KABAMBEE MAANDAMANO NCHI NZIMA MIGOMO NCHI NZIMA NA MGOMO WA KULIPA KODI NA TOZO 😁
 
Wakati tuko mashuleni na vyuoni tulikuwa tunaandama kwa sababu maalumu na tunaandama mpaka kieleweki .

Maandamo ya CHADEMA ya sasa hayana madhara yoyote kwa serikali ,hayana msimamo wowote na wala hayapeleki ujumbe wowote kwa serikali ni upotevu wa Muda .

Cdm jitafakarini​
Viongozi wanatumia hayo maandamano kula ruzuku kwa posho za safari
 
Wakati tuko mashuleni na vyuoni tulikuwa tunaandama kwa sababu maalumu na tunaandama mpaka kieleweki .

Maandamo ya CHADEMA ya sasa hayana madhara yoyote kwa serikali ,hayana msimamo wowote na wala hayapeleki ujumbe wowote kwa serikali ni upotevu wa Muda .

Cdm jitafakarini​
Umelazimishwa andamana ,nyie ndo wabinafsi no moja ,pumbavu
 
Wakati tuko mashuleni na vyuoni tulikuwa tunaandama kwa sababu maalumu na tunaandama mpaka kieleweki .

Maandamo ya CHADEMA ya sasa hayana madhara yoyote kwa serikali ,hayana msimamo wowote na wala hayapeleki ujumbe wowote kwa serikali ni upotevu wa Muda .

Cdm jitafakarini​
Acha hao wanaoitwa Wananchi wapoyezwe maboya maana ni majinga.
 
Back
Top Bottom