Maandiko haya mbona kama yana ukakasi na mashaka makubwa?

Maandiko haya mbona kama yana ukakasi na mashaka makubwa?

Kama bado yupo Muislam anayeutumia huu mstari kujastify uninga wake basi kweli huyu anahitaji maombi. Nitakufafanulia kwa faida ya wote wenye upeo mdogo kama wako.

Wagalatia 3:13
13 Kristo alitukomboa katika laana ya torati, kwa kuwa alifanywa laana kwa ajili yetu; maana imeandikwa, Amelaaniwa kila mtu aangikwaye juu ya mti;
14 ili kwamba baraka ya Ibrahimu iwafikilie Mataifa katika Yesu Kristo, tupate kupokea ahadi ya Roho kwa njia ya imani.


Biblia inapozungumzia habari za Yesu kutukomboa inazungumzia Yesu kubeba dhambi zetu pamoja na laana zake ili sisi tuhesabiwe haki mbele za Mungu. Yesu hakuwa na dhambi lakini alikubali kusulubiwa ili achukue dhambi zetu na laana zetu.

Kwa hiyo kwenye huo mstari Paulo anajaribu kuwafafanulia wagalatia ni situation ipi inathibisha kuwa Yesu alibeba laana zao. Ndipo anapowaonyesha kuwa imeandikwa Amelaaniwa kila mtu aangikwaye juu ya mti.
Mstari unaofuata unaeleza kwanini Yesu pale msalabani alibeba laana za watu wote.
Biblia inasema

14 ili kwamba baraka ya Ibrahimu iwafikilie Mataifa katika Yesu Kristo, tupate kupokea ahadi ya Roho kwa njia ya imani.

So maana yake ni kwamba Yesu alisulubiwa kwa kuchukua dhambi zetu na laana zote zinazotokana na kutokufuata torati ambazo kimsingi zilikuwa zinawazuia watukupokea Baraka za ibrahimu na kupokea ahadi ya Roho Mtakatifu.

Sasa usipoelewa hapo najua ni ubishi tu lakini sitashangaa kwa sababu mgekuwa sio wabishi muda huu mngekuwa mahampokea kristu.
Hahahaha fanya kua umeeleweka alafu jiulize mwenyewe je alie laaniwa anaweza kua msaada tena

Mwanzo uliuliza kua Yesu ndio Mungu nani kamlaani sasa kupitia uo mstari na maelezo yako utupe jibu

Je Mungu kaamua kujipa laana mwenyewe
 
SIndano inapenya mpaka unasema maandiko yako yameokotwa [emoji1787] [emoji23] [emoji1787] [emoji28]

Alla alishusha verse 2 zinazohusu rungu ya jamaa
moja alisema wanawake waumini wakajitoe apige mkuyati
pili alivyoona na wabaya wanaenda Allah akashusha nyingine akasema muhammad anaweza kuwa set aside ila anaweza kumrudia tena akitaka

I used to look down upon those ladies who had given themselves to Muhammad (ﷺ) and I used to say, "Can a lady give herself (to a man)?" But when Allah revealed: " Muhammad can postpone whom you will of them , and you may receive any of them whom you will; and there is no blame on you if you invite one whose turn you have set aside (temporarily).' (33.51) I said (to the Prophet), "I feel that your Lord hastens in fulfilling your wishes and desires."Sahih al-Bukhari 4788

Muhammad alikuwa anaongea na jibril saa ngapi na mda wote anashafisha rungu
We jitekenye ukimaliza uje useme alie ruhusu kumfanya decon kua ndie Mungu ni nani

Na je nabii yupi alie tangulia kwenye biblia ameishi na mke mmoja tu
 
Hahahaha fanya kua umeeleweka alafu jiulize mwenyewe je alie laaniwa anaweza kua msaada tena

Mwanzo uliuliza kua Yesu ndio Mungu nani kamlaani sasa kupitia uo mstari na maelezo yako utupe jibu

Je Mungu kaamua kujipa laana mwenyewe
Alibeba laana akafa,lakini tukio la ushindi halikuwa kufa,lilikuwa ni kufufuka. Unajua kufufuka maana yake ni nini? Maana yake ameishinda mauti ambayo kimsingi illetwa na dhambi na laana.

So endapo angekufa tu bila kufufuka ingekuwa ni bure kabisa hata sisi tunaomtukuza tungekuwa ni mataahira.

So my friend Yes, For what happened he deserves our Worship,Prayers and Praise.
 
Hakuna atakae waelewa kwa upuuzi

Au unaweza kumsaidia rafiki yako atueleze nani kampa ruhusa ya kumfanya decon kua ni Mungu na mpaka kumueka kwenye shingo
Huwezi kuelewa kwa sababu ya ufahamu wako mdogo which is not my problem. Hata darasani with the same teacher wanafunzi wanaperfom differently. Wakati wengine wanapata 90 wengine wanapata 0.
 
We jitekenye ukimaliza uje useme alie ruhusu kumfanya decon kua ndie Mungu ni nani

Na je nabii yupi alie tangulia kwenye biblia ameishi na mke mmoja tu
Embu tuambie kwanini Allah alikuwa so concern na rugu ya Muhammad , kamshushia mpaka verse za kula mjakazi
Koran 33:50....na ulio wamiliki kwa mkono wako wa kulia....
kaona haitoshi akasema waumini wakajitoe wenyewe

Aisha kwanza akawa anaona disgusting behavior
I used to look down upon those ladies who had given themselves to Muhammad (ﷺ) and I used to say, "Can a lady give herself (to a man)?"."Sahih al-Bukhari 4788

Aisha akamwambia muhammad naona mungu wako anajali matamanio yako
......"I feel that your Lord hastens in fulfilling your wishes and desires."Sahih al-Bukhari 4788
 
Alibeba laana akafa,lakini tukio la ushindi halikuwa kufa,lilikuwa ni kufufuka. Unajua kufufuka maana yake ni nini? Maana yake ameishinda mauti ambayo kimsingi illetwa na dhambi na laana.

So endapo angekufa tu bila kufufuka ingekuwa ni bure kabisa hata sisi tunaomtukuza tungekuwa ni mataahira.

So my friend Yes, For what happened he deserves our Worship,Prayers and Praise.
Ujajibu swali jepesi
Acha nikuulize
Tena je laana ni kitu kizuri
Na
Ni nani aliye mpa laana Yesu
Kama ni yeye mwenyewe hivi inawezekana vipi Mungu akajipaa laana wakati inajulikana wazi kua laana kawaida yake ni kusambaa kizazi hadi kizazi
 
Embu tuambie kwanini Allah alikuwa so concern na rugu ya Muhammad , kamshushia mpaka verse za kula mjakazi
Koran 33:50....na ulio wamiliki kwa mkono wako wa kulia....
kaona haitoshi akasema waumini wakajitoe wenyewe

Aisha kwanza akawa anaona disgusting behavior
I used to look down upon those ladies who had given themselves to Muhammad (ﷺ) and I used to say, "Can a lady give herself (to a man)?"."Sahih al-Bukhari 4788

Aisha akamwambia muhammad naona mungu wako anajali matamanio yako
......"I feel that your Lord hastens in fulfilling your wishes and desires."Sahih al-Bukhari 4788
Unashindwa kuyajibu maswali yangu mepesi tu

Vipi nani alisema sura ya yesu ina fanana na yule Njiti mlie mueka kwenye shingo Zenu
 
Huwezi kuelewa kwa sababu ya ufahamu wako mdogo which is not my problem. Hata darasani with the same teacher wanafunzi wanaperfom differently. Wakati wengine wanapata 90 wengine wanapata 0.
Tuna uelewa mzuri tu hivi maswali ya uzi huu umeyasoma vizuri


Wakati rafiki yako anang'a ng'ang'ania kuhusu mtume kuo wake wengi je yeye ndie wa kwanza kufanya hivyo.
 
Unashindwa kuyajibu maswali yangu mepesi tu

Vipi nani alisema sura ya yesu ina fanana na yule Njiti mlie mueka kwenye shingo Zenu​
Usiweweseke jibu kwanza yangu ndio tuende kwa yako , alafu kwa nini ukipigwa Crystapen Injection unaanza kutaja taja njiti mara decon 😅 🤣 😅

Tumalize aya kwanza
  • Embu tuambie kwanini Allah alikuwa so concern na rugu ya Muhammad , kamshushia mpaka verse za kula mjakazi
    • Koran 33:50....na ulio wamiliki kwa mkono wako wa kulia....
  • Kaona haitoshi akasema waumini wakajitoe wenyewe
  • Aisha kwanza akawa anaona ni disgusting behavior
    • I used to look down upon those ladies who had given themselves to Muhammad (ﷺ) and I used to say, "Can a lady give herself (to a man)?"."Sahih al-Bukhari 4788
  • Aisha akamwambia muhammad naona mungu wako anajali matamanio yako
    • ..."I feel that your Lord hastens in fulfilling your wishes and desires."Sahih al-Bukhari 4788
 
Wakati rafiki yako anang'a ng'ang'ania kuhusu mtume kuo wake wengi je yeye ndie wa kwanza kufanya hivyo.
Hakuna wake wale walikuwa wanaenda anapiga rungu wanaondoka , na sio dhambi kwa Allah alimruhusu na verse kaweka kabisa
Verse ya wanawake waumini wakajitoe kwa Muhammad zinawasaidia nini waislamu au zina wapa funzo gani?
 
Usiweweseke jibu kwanza yangu ndio tuende kwa yako , alafu kwa nini ukipigwa Crystapen Injection unaanza kutaja taja njiti mara decon [emoji28] [emoji1787] [emoji28]

Tumalize aya kwanza
  • Embu tuambie kwanini Allah alikuwa so concern na rugu ya Muhammad , kamshushia mpaka verse za kula mjakazi
    • Koran 33:50....na ulio wamiliki kwa mkono wako wa kulia....
  • Kaona haitoshi akasema waumini wakajitoe wenyewe
  • Aisha kwanza akawa anaona ni disgusting behavior
    • I used to look down upon those ladies who had given themselves to Muhammad (ﷺ) and I used to say, "Can a lady give herself (to a man)?"."Sahih al-Bukhari 4788
  • Aisha akamwambia muhammad naona mungu wako anajali matamanio yako
    • ..."I feel that your Lord hastens in fulfilling your wishes and desires."Sahih al-Bukhari 4788
Maswali yangu naisi magumu sana kwenu
Maana hua hamyajibu

Acha mimi nikujibu maswali yako yote kwa jibu moja nyoofu ni
Maamuzi ya Allahu vipi unataka kumpangia.

Aya lete Majibu ya swali hili tu moja nione usomi wako tangu zilipoanza post umeshindwa kuyajibu

Je uyo ulie mtundika kwenye shingo yako. Ni nani alie sema kua ndie Yesu
Na kama sio kwanini
Mnamshirikisha Yesu na kiumbe asicho kijua
 
Hakuna wake wale walikuwa wanaenda anapiga rungu wanaondoka , na sio dhambi kwa Allah alimruhusu na verse kaweka kabisa
Verse ya wanawake waumini wakajitoe kwa Muhammad zinawasaidia nini waislamu au zina wapa funzo gani?
Taja mmoja
 
Taja mmoja
Aisha hajatutajia majina maana walikuwa wengi kasema those ladies (walikuwa nyomi)

I used to look down upon those ladies who had given themselves to Muhammad (ﷺ) and I used to say, "Can a lady give herself (to a man)?"."Sahih al-Bukhari 4788
 
Aisha hajatutajia majina maana walikuwa wengi kasema those ladies (walikuwa nyomi)

I used to look down upon those ladies who had given themselves to Muhammad (ﷺ) and I used to say, "Can a lady give herself (to a man)?"."Sahih al-Bukhari 4788
Haya tupe majibu kuhusu yule bwegee munae mvaa ana uhusiano gani na yesu
 
Hahahaha fanya kua umeeleweka alafu jiulize mwenyewe je alie laaniwa anaweza kua msaada tena

Mwanzo uliuliza kua Yesu ndio Mungu nani kamlaani sasa kupitia uo mstari na maelezo yako utupe jibu

Je Mungu kaamua kujipa laana mwenyewe
Mungu ana nafsi tatu though ni mmoja. Kwa kuelewa hili peke yake kungetosha kujibu swali lako la laana na mengine mengi ila kwa sababu mnajua mkikubali utatu huu wa Mungu basi foundation yote ya islam inaanguka so mnaona the best way to deal with this truth ni kukataa.
God The Father
God The Son
God The Holy Spirit.

Wakati Yesu anabaatizwa nafsi zote tatu za Mungu zilikuwa reveeled.

16 Naye Yesu alipokwisha kubatizwa mara akapanda kutoka majini; na tazama, mbingu zikamfunukia, akamwona Roho(The Holy Spirit) wa Mungu akishuka kama hua, akija juu yake;
17 na tazama, sauti kutoka mbinguni(God The Father) ikisema, Huyu ni mwanangu (Son), mpendwa wangu, ninayependezwa naye.

Aliyebaatizwa siku hiyo ni JESUS (God The Son) aliyeshuka kama Hua(God The Holy Spirit) na aliyetoa sauti na kudeclare kuwa Aliyebaatizwa ni mwanaye ni Mungu (God The Father).

Najua utaendelea kubisha but again i won't be surprised coz thats who you people are and thats what you do best.
 
Back
Top Bottom