Maandiko haya mbona kama yana ukakasi na mashaka makubwa?

Tafuta pesa hutapata muda wa kujadili mambo yasiyo na tija.
 
Wewe hunywi pombe{ukidai ni haramu} halafu unahoji kwamba mtu akinywa pombe mboo yake inasimama?? Majibu ya maswali mengine uwe unagoogle au ujaribu kula chakula kizuri ushushie na pombe ili uhakikishie mwenyewe.Kama kichwa chako ni cha kuku usiende kunywa pombe bar usije ukalewa watu wakaiharibu washeli yako.Kunywa nyumbani kwako.
 
Kaka uko vizuri..
 
Huyi naye ameshakamatwa na mtego wa dini.. Wacha nikaagize kitimoto kilo1 Niilfaidi zangu na badae jioni nipitie kambale anaechukiwa na SDA.
 
Umeeleza vzr naomba pia unifafanulie ukiacha lutu na mabinti zake baada yakuangamizwa wale wengine Kuna jamii nyingne ilikuwepo, kama hakuwepo hao waisrael walitoka wapi na hao watoto wa wawil wakiume waliozaliwa na hao mabinti waliwaoa akina nan ndo tukapata hzo jamii mbili. Natanguliza shukrani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…