Maandiko haya mbona kama yana ukakasi na mashaka makubwa?

Maandiko haya mbona kama yana ukakasi na mashaka makubwa?

Nyie wapenda ngono na unajisi hapa mnataka kusema binti akivunja ungo basi aolewe hapohapo?

Wanyanyasaji wakubwa nyie. Lizee kama Muhammad linabaka wajukuu wake.
Kwa kuwa Umeshindwa kutuonyesha ndani ya BIBLIA yako Andiko linaloonyesha kwamba Mwanamke mpaka afikishe Umri wa Miaka 18 na Kuendelea ndio anapaswa kuolewa.....

Pia Umeshindwa kutuonyesha mfano hata Mmoja Ndani ya Biblia wa Mwanamke aliyekuwa na Umri wa miaka 18 na kuendelea aliyeolewa.....

Hii inadhihirisha Kwamba,

Manabii wote Ndani ya Biblia walioa wanawake waliovunja Ungo umri kati ya miaka 8-17

Tena ukizingatia Manabii ndani ya Biblia walikuwa na Wanawake zaidi ya Mmoja.
 
Bukhari juzuu ya 8.82.1 na.794-795 uk.520 ni kukata watu mikono na miguu, kuchoma macho yao, na kuwanyima maji hadi kufa baada ya kukatwa miguu na mikono. Angalia Bukhari juzuu ya 8.82.3 na.796 sura ya 4 uk.797; Bukhari juzuu ya 6 sura ya 150 kabla ya na.198 uk.158-159 pia Fiqh us-Sunnah juzuu ya 1 uk.133.



Bila shaka utakubali kwamba hizi ni dhambi nzito sana. Kwa vile Muhammad alifanya hivi, alihitaji sana msamaha. Swali la kidadisi ni hili: "Ni nani hasa anayelipa gharama ya dhambi zako?" Yesu alisema alilipa fidia ya dhambi zetu. Uislam haufundishi kuwa kuna mtu yeyote aliyelipa gharama. Je, dhambi zako zinalipwaje, au Allah anazifumbia macho baadhi ya dhambi na kuadhibu nyingine??


Watu wengine wanaweza kufikiri kuwa uovu hauna madhara yoyote ili mradi mtu anajiita Muislam. Katika karne hii Waislam wanawaua wakiristo na kufanya mauaji ya kinyama kwenye vijiji vyao katika nchi za Sudan, Nigeria na Indonesia. Wakati watu walioitwa wakristo waliwaua Waislam, watu walisema kuwa wanafanya kinyume cha tabia ya Kristo.

Wakati Waislam wanawaua Wakristo, wanaomwabudu Mungu wa kweli, sijawahi kusikia mtu yeyote akisema wanafanya kinyume cha tabia ya Muhammad.

Nisamehe kwa kusema bila kuficha kiasi hiki, lakini mauaji ya watu wanaomwabudu Mungu yanayofanywa na Waislam lazima yaachwe. Waislam wanapohalalisha mauaji haya kwa sababu hata nabii wao alifanya hivyo, watu hushangazwa na nabii wao, na Allah wao ambaye anatengua neno lake, na chimbuko la Uislam.
Wewe hujitambui,

Kwasasa Nyinyi wakristo ndio mnaua Waislamu kwa kutumia Mgongo wa Serikali na Jeshi.

Tumeona walichofanya Wakristo wenu Marekani kule IRAQ, LIBYA na AFGHANISTANI na kwingineko kwa Kuuwa Waislamu. Wanafanya hivyo kwa kutumia Mgongo wa Jeshi na Serikali.

Mashirika Mengi ya kidini huko Marekani na Duniani kwa ujumla wanachukua Sadaka kwa waumini wenu wa Kikristo Makanisani na kufadhili hii Mipango inayofanywa na Marekani Dhidi ya uislamu.

Matajiri wakubwa wa Kikristo pia wanashiriki.

Nikikurudisha Nyuma kipindi Cha Mtume kama hujui

Wakristo nyie Mlikuwa hamumpendi Mtume hadi mkapigana nae vita na Mlishindwa. Pia na Wayahudi.
 
Kumtetea Mtume kwa kuleta ajenda za Lutu ni uchizi,we ushawahi kukuta mkristu yeyote anamtaja Lutu kama Nabii?Lutu ni character tu kama Character wengine wengi ambao ni mashuhuri lakini hawana jambo,kuna akina Lutu hao,akina Yefta,akina Samson na wengine wengi ambao nyie kwa kutokujua kwenu mmeamua kuwapa Unabii.

Biblia haiwezi kupepesa macho kwa sababu inasema ukweli,eti kwa sababu ni ndugu yake Ibrahimu so Biblia ifiche habari za aibu kuhusu yeye. Hapana.

Ulichoandika kuhusu Mungu kwenye Wakorinto ni mfano mdogo sana wa kundi kubwa lenye upeo mdogo sana na hivyo kukujibu na kukuelezea ni kupoteza muda.
Samson was a judge yaani mwamuzi kama Barak.
 
Kaka mi nimeamua kuacha kuendelea kuongea maana nimegundua napoteza muda bure huyu bwana kichwa yake haiko sawa.
Wewe nawe ulikuwa hujitambui, mara kizazi kimefutika hakipo mara kizazi kipo ila kimefutika hakipo kama taifa.

SASA WAKRISTO WENZAKO NILIWAULIZA SWALI HAPA, HAWAJAJIBU HADI SASA WAMEKIMBIA WAMEENDA KUTAFUTA AYA NA HAWAZIPATI. SASA NAKUULIZA NA WEWE.

Nitajie andiko ndani ya Biblia linaloonyesha kwamba Mwanamke anatakiwa kuolewa kuanzia Umri kwa Miaka 18, 19 na kuendelea.?

Ukiweza Toa Mfano wa Character Mwanamke aliyeolewa kuanzia Miaka 18 na kuendelea.?

UKISHINDWA KUJIBU BASI JUA KABISA.
Manabii ndani ya Bible walioa Wanamwali chini ya Miaka 18 (Yani kuanzia miaka 8 hadi 17)
 
Si unaona sasa upuuzi wako. Kwahiyo unataka kuniambia Yesu ana jina Moja tu?

Waingereza wakimuita Jesus wanakuwa wamekosea?
Understanding capacity yake ni ndogo mno ila kwa vile yupo kwa ajili ya kukosoa basi ni haki yake kujiona anajua.
 
Wahuni wanawaza sana
558605b0d16d4d70afc1d201aded8d38.jpg
 
Nikupe ushahid we kama nani kama huamin sio Mungu endelea kuamin hivyo hivyo unao uhuru huo
1 Petro 3:15
1 Petro 3:15 (Mwe tayari siku zote kumjibu kila mtu awaulizaye habari za tumaini lililo ndani yenu; lakini kwa upole na kwa hofu.)

Acha Hasira wewe.
 
Nikupe ushahid we kama nani kama huamin sio Mungu endelea kuamin hivyo hivyo unao uhuru huo
Yesu ni mtu kama ww na ushahidi pale alipozaliwa baada ya kukaa tumboni mwa mama yake Maryam kama ulivyokaa ww na ukazsliwa baada ya mimba kukomaa.
 
Biblia inaweza gawanywa mara nne namna ya kuisoma ili uelewe vizuri,inaweza gawanywa katika makundi kama ifuatavyo
1.Nyakati za Ujinga(Anguko la mwanadamu)
Hiki nikipindi kabla Mungu hajaweka sheria kali ya kumuongoza binadamu ndio maana matukio kama ya Lutu kuzaa na binti zake haikuwa shida ni makusudi tu ya Mungu mwenyewe na hicho nikipindi kabla ya torati.
2.Nyakati za sheria(Torati) ya Musa Mungu alikuwa akiwaandaa watu wake waachane na mambo machafu waliyokuwa wakitenda utumwani ili wafike caanan wakiwa safi, Ndip tunaona katazo la kula baadhi ya wanyama lakin nyuma ya hapo watu walikuwa wanakula hovyo tu.Na ukisoma Walawi 18:6 nakuendelea utaona ni chukizo kwa Mungu kufanya kama Lutu.
3.Neema kwa mataifa
Hiki ndicho kipindi tulichonacho sasa ambapo Injili inahubiliwa hado uchochoroni, yaani watu wa mataifa ndio wanashauku kubwa zaidi kumtafuta na kumhubiri Kristo kuliko hata ilikotokea hiyo imani..Tunaishi kwa neema ya kristo kila dhambi ina msamaha kasoro kukufuru roho mtakatifu.Lakin enzi ya Musa mzinzi alipigwa mawe hadi kifo.
4.Nyakati za Ufufuo na kunyakuliwa
Ndicho kipindi kinachokuja mbele yetu..
Kwahiy ili uisome Bible vizuri kwanza ujue mambo hayo....
Umetia nondo pia ni hoja nzito
Hongera
 
Yaani mfano suala la Luttu kutembea na watoto wake hadi kuwapa ujauzito bado unasema ni coded book?

Hivi huwa mnalishwa nini makanisani hata msifungue bongo zenu kwa mambo yanayoonekana?

Kwamba biblia imeandikwa kwa mafumbo kama taarabu kwa faida ya nani?

Maandiko yote yapo clear ili binafami yeyote anaposoma ama kuambiwa aweze kuelewa.

Yaani Mungu akuwekee mafumbo halafu usipoelewa akuadhibu tena kwa kitu ambacho hakikueleweka?
huoni kama mtu mzee kanyeshwa pombe af kabakwa hapo
 
Back
Top Bottom