Maandiko haya mbona kama yana ukakasi na mashaka makubwa?

Maandiko haya mbona kama yana ukakasi na mashaka makubwa?

Habarini wana JF,

Tuanze,

(A) Ukisoma MWANZO 19:30—38 kuna ukakasi mkubwa na mashaka makubwa juu ya hiyo Aya. Acha niinukuu.

MWANZO 19:30—38
Mwanzo 19:30-38 ( Lutu akapanda kutoka Soari akakaa mlimani, na binti zake wawili pamoja naye, kwa sababu aliogopa kukaa katika Soari. Akakaa katika pango, yeye na binti zake wawili.
Yule mkubwa akamwambia mdogo, Baba yetu ni mzee, wala hakuna mtu mume katika nchi atuingilie kama ilivyo desturi ya dunia yote.

Haya, na tumnyweshe baba yetu mvinyo, tukalale naye, ili tumhifadhie baba yetu uzao.

Wakamnywesha baba yao mvinyo usiku ule, akaondoka huyo mkubwa akalala naye, wala yeye hana habari alipolala wala alipoondoka.

Ikawa siku ya pili, mkubwa akamwambia mdogo, Tazama, nimelala jana na baba yangu, tumnyweshe mvinyo tena usiku huu, ukaingie ukalale naye.

Wakamnywesha tena baba yao mvinyo usiku ule, akaondoka mdogo akalala naye, wala yeye hana habari alipolala wala alipoondoka.

Basi hao binti wote wawili wa Lutu wakapata mimba kwa baba yao.
Yule mkubwa akazaa mwana, akamwita jina lake Moabu; huyo ndiye baba wa Wamoabi, hata leo.

Na yule mdogo naye akazaa mwana akamwita jina lake Benami; huyo ndiye baba wa Waamoni hata leo.)

Ukisoma hiyo aya kuna mashaka Makubwa ya Nabii Lutu kudhalilishwa kiasi hicho, inawezekanaje Nabii Lutu katembea na Binti zake ndani ya Biblia na kuwapa Mimba? Tena alinyeshwa mvinyo(POMBE) kwa siku mbili mfululizo na kuwatombaz binti zake na kuzaa nao. Hii nadhani ni laana na hiki kizazi ni cha laana. Sasa sijui Bible nzima itakuwa na Laana au itakuwaje!!!

Kuna watu humu walikuwa wanamkashifu Mtume Wetu kwa kumuoa Bi Aisha, tena alimuoa kwa Ndoa kabisa. Na miaka hiyo Bi Aisha alikuwa ameshabalehe tayari.

MASAWLI

(1) JE, NI SAHIHI NABII LUTU KUTEMBEA NA BINTI ZAKE?

(2) HUYU NABII LUTU(NDUGU YAKE NA NABII IBRAHIMU) HAMUONI KAMA AMEDHALILISHWA NDANI YA BIBLIA?

(3) KWANI SIKU YA KWANZA KATEMBEA NA MKUBWA NA HAKUSHTUKA NA KESHO YAKE SIKU YA PILI AKATEMBEA NA MDOGO?

(4) MTUME MUHAMADI KUMUOA BI AISHA NA NABII LUTU KUTEMBEA NA BINTI ZAKE NANIVYUKO SAHIHI?

(5) SWALI LA NYONGEZA:
MTU AKIWA AMELEWA KIASI KWAMBA HAJITAMBUI, ANAWEZAJE KUSIMAMISHA MASHINE NA KUSHIRIKI TENDO?

(B) Pia ukisoma 1 WAKORINTHO 1:25 utakutana na ukakasi mkubwa wa MWENYEZI MUNGU kufananishwa na UPUMBAVU au tuseme MWENYEZI MUNGU ameitwa MPUMBAVU KABISAAAA ndani ya BIBLE. Acha niinukuu Aya.

1 WAKORINTHO 1:25
1 Wakorintho 1:25 (Kwa sababu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi ya wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu zaidi ya wanadamu.)

Kwa upande wangu huo ni udhalilishaji Mkubwa wa Mungu ndani ya Biblia kwa kuambiwa Mpumbavu na pia kuambiwa ni Mdhaifu.

Chukulia uko Sebuleni na Baba yako Mzazi, alafu ghafla wakati mnaongea Mwambie hivi:-

“Unajua Baba wewe ni Mpumbavu ila upumbavu wako sio sawa na huyo jirani yetu Muuza duka hapo nje”

Alafu baada ya hapo msikilizie Baba yako atakavyokasirika, Sasa chukulia ndio anaambiwa Mungu katika hilo andiko hasira zake na gadhabu zitakuwa mara ngapi ya Baba yako na huo Moto wake siku ya Mwisho sijui itakuwaje.

MASWALI

(6) NI SAHIHI MUNGU KUFANANISHWA NA UPUMBAVU?

(7) JE KWELI MUGU NI MPUMBAVU NA NI DHAIFU?

Naombeni Majibu,
Nawasilisha.
Vitabu vya dini ni vitabu vya kusadikika just imagination and illusion.
JamiiForums-2019125560.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Walikuwa wanaulizwa na kina Nani?
[emoji23][emoji23][emoji23] Na wakazi wa hapo soari wakati wanashika chini ya Milima kutafuta chakula, kwahiyo wale wakazi wakawa wanawauliza. Ila wao walijificha kwa juu huko ndio walikuwa wanafanya ufuska wao
 
Hitimisho
-Hakuna binadamu ambae ana miaka 6 akawa ameshakuwa mtu mzima
- Pedophile alikuwa na miaka 53 (tofauti ya umri kati ya pedophile na aisha ni 47 , ki uhalisia aisha ni mjukuu wa pedophile)
-utoto anaozungumzia aisha, aliposema alikuwa anacheza na mwanasesere na watoto wenzake ni utoto wa umri na si vinginevyo
Hitimisho,
Mwanamke anabalehe kuanzia Miaka nane(Anaanza kupata hedhi)(kwa wale wanaowahi.

Miaka 6 Bi Aisha Hakuingiliwa wala kufanya tendo la ndoa na Mtume.

Mwanasesere unaweza kucheza nae hata ukiwa na Miaka 18 kwa Wasichana ambao bado wana utoto.
 
Ni vizuri tumejua kwa Nini ulikiwa unapinga vitabu , maana nalikuwa nashangaa sana kwa nini kitu kipo mbele ya macho yako unapinga

Sasa ulivyoweka nukuu Sahih bhukar mean nothing ndio tumeelewa sasa

Mpaka kule Kwenye sayansi ya Allah sperm kuwa damu iliyoganda , mashia walikuwa wanapinga maandiko kumbe ndio nimepata picha rasmi
Sijapinga Sahihi Bukhary nimekuandikia, nimekuchukulia hivyo vyote Ya sahihi Bukhar na Shia ili kukuelewesha.

Hakuna Mahali numepinga Sahihi Bukhary, huo ni uongo wako.

Nimetoa Maezo yangu juu ngoja niyarudie kabda utaelewa.
 
Kuhusu laana, ni kweli kizazi cha Lutu yaani Moabu na Waamoni ni kizazi kilichalaaniwa

2 Mwana wa haramu asiingie katika mkutano wa Bwana; hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutano wa Bwana.
3 Mwamoni wala Mmoabi wasiingie katika mkutano wa Bwana; wala hata kizazi cha kumi mtu wao asiingie katika mkutano wa Bwana milele;
Kumbukumbu la Torati 23:2~3
 
Ni vizuri tumejua kwa Nini ulikiwa unapinga vitabu , maana nalikuwa nashangaa sana kwa nini kitu kipo mbele ya macho yako unapinga

Sasa ulivyoweka nukuu Sahih bhukar mean nothing ndio tumeelewa sasa

Mpaka kule Kwenye sayansi ya Allah sperm kuwa damu iliyoganda , mashia walikuwa wanapinga maandiko kumbe ndio nimepata picha rasmi
Sasa nimeirudia hii bila kuweka Shia kwasababu unanilaximisha eti shia. Hapa tupo kwenye miaka 9 ya Bi Aisha usikimbie.

Nimeirudia bila kuweka Shia haya toa hoja.[emoji116][emoji116][emoji116]

In reality, however, she wasn’t six, nine, or ten. She was much older.

I’ll use the much detailed biography of her sister, Asmāʾ, to show you.

Asmāʾ was born 27 years before hijrā.

Tāhḏhib ʾal-Asmā, volume 2, page 329.

Abd ʾal-Raḥmān bin Aʾbi l-Zannād said: “Asmāʾ was 10 years older than Aisha.”

Siyār Aʾlam al-Nubalāʾ, volume 2, page 289.

ʾal-Bidāyah wan Nihāyah, volume 8, page(s) 371-381.

This means that Aisha was 17 years old in the year of hijrā,

according to their chroniclers (and historians), Aisha got married in the second year of hijrā, which would make her 19 years old at that time.

Ulikuwa unaambiwa Anzia hapo in Reality. Hiyo Shia ilikuwepo kama kionjo cha kuanzia Mada.
 
Hitimisho
-Hakuna binadamu ambae ana miaka 6 akawa ameshakuwa mtu mzima
- Pedophile alikuwa na miaka 53 (tofauti ya umri kati ya pedophile na aisha ni 47 , ki uhalisia aisha ni mjukuu wa pedophile)
-utoto anaozungumzia aisha, aliposema alikuwa anacheza na mwanasesere na watoto wenzake ni utoto wa umri na si vinginevyo
Usikimbie hoja,
USA/MAREKANI kwa wakristo wenzako mpaka leo wana Sheria katika Serikali yao, kwamba kila states inapotokea Binti wa Miaka 12 hadi 17 anapohitajika kuolewa, basi wazazi wataridhia na Wataenda Mahakamani na huyo Mwanaume kwa ajili ya kwenda kukamilisha ruhusa yao. Baada ys hapo Mahakama itaruhusu na wataoana.

Hizo States pia zina umri hata wa watoto wa kiume wakiwa na miaka 16 baadhi ya states anaweza kumuoa Msichana wa miaka kati ya 12 hadi 17 kwa ruhusa ya wazazi na mahakama.

Je, unazungumziaje katika hilo!!!
Je, Serikali ya Marekani imekosewa?

Kumbuka hizi Sheria wakati zinatungwa huwa wanashirikisha wadau ikiwemo watu wa Dini na Wazee wa kanisa kama wewe.

Jibu hapo.
 
Kuhusu laana, ni kweli kizazi cha Lutu yaani Moabu na Waamoni ni kizazi kilichalaaniwa

2 Mwana wa haramu asiingie katika mkutano wa Bwana; hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutano wa Bwana.
3 Mwamoni wala Mmoabi wasiingie katika mkutano wa Bwana; wala hata kizazi cha kumi mtu wao asiingie katika mkutano wa Bwana milele;
Kumbukumbu la Torati 23:2~3
Kwahiyo Lutu na Bintize na kizazi chao kama kimelaaniwa, Siku ya kiyama au siku ya mwisho wataenda Peponi au Motoni?

Alafu Mbona kizazi cha Moabu na Amoni mpaka leo kipo na kinaishi Jordan. Je Wale wamoabi wanaoishi Jordan nivkama Wasukuma wa Hapa Tz tu je nao wale wamelaaniwa?

Maana kizazi cha sasa cha Moabu kule Jordan imeshapita hicho kizazi cha 10. Ni zaidi ya kizazi cha 10.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Na wakazi wa hapo soari wakati wanashika chini ya Milima kutafuta chakula, kwahiyo wale wakazi wakawa wanawauliza. Ila wao walijificha kwa juu huko ndio walikuwa wanafanya ufuska wao
Dah!nashindwa hata kuwatetea mimi!
 
Kwahiyo Lutu na Bintize na kizazi chao kama kimelaaniwa, Siku ya kiyama au siku ya mwisho wataenda Peponi au Motoni?

Alafu Mbona kizazi cha Moabu na Amoni mpaka leo kipo na kinaishi Jordan. Je Wale wamoabi wanaoishi Jordan nivkama Wasukuma wa Hapa Tz tu je nao wale wamelaaniwa?

Maana kizazi cha sasa cha Moabu kule Jordan imeshapita hicho kizazi cha 10. Ni zaidi ya kizazi cha 10.
Kwani mtume ataenda peponi kwa kulala na mtoro mdogo au la? Nani anajua toba yao
 
Habarini wana JF,

Tuanze,

(A) Ukisoma MWANZO 19:30—38 kuna ukakasi mkubwa na mashaka makubwa juu ya hiyo Aya. Acha niinukuu.

MWANZO 19:30—38
Mwanzo 19:30-38 ( Lutu akapanda kutoka Soari akakaa mlimani, na binti zake wawili pamoja naye, kwa sababu aliogopa kukaa katika Soari. Akakaa katika pango, yeye na binti zake wawili.
Yule mkubwa akamwambia mdogo, Baba yetu ni mzee, wala hakuna mtu mume katika nchi atuingilie kama ilivyo desturi ya dunia yote.

Haya, na tumnyweshe baba yetu mvinyo, tukalale naye, ili tumhifadhie baba yetu uzao.

Wakamnywesha baba yao mvinyo usiku ule, akaondoka huyo mkubwa akalala naye, wala yeye hana habari alipolala wala alipoondoka.

Ikawa siku ya pili, mkubwa akamwambia mdogo, Tazama, nimelala jana na baba yangu, tumnyweshe mvinyo tena usiku huu, ukaingie ukalale naye.

Wakamnywesha tena baba yao mvinyo usiku ule, akaondoka mdogo akalala naye, wala yeye hana habari alipolala wala alipoondoka.

Basi hao binti wote wawili wa Lutu wakapata mimba kwa baba yao.
Yule mkubwa akazaa mwana, akamwita jina lake Moabu; huyo ndiye baba wa Wamoabi, hata leo.

Na yule mdogo naye akazaa mwana akamwita jina lake Benami; huyo ndiye baba wa Waamoni hata leo.)

Ukisoma hiyo aya kuna mashaka Makubwa ya Nabii Lutu kudhalilishwa kiasi hicho, inawezekanaje Nabii Lutu katembea na Binti zake ndani ya Biblia na kuwapa Mimba? Tena alinyeshwa mvinyo(POMBE) kwa siku mbili mfululizo na kuwatombaz binti zake na kuzaa nao. Hii nadhani ni laana na hiki kizazi ni cha laana. Sasa sijui Bible nzima itakuwa na Laana au itakuwaje!!!

Kuna watu humu walikuwa wanamkashifu Mtume Wetu kwa kumuoa Bi Aisha, tena alimuoa kwa Ndoa kabisa. Na miaka hiyo Bi Aisha alikuwa ameshabalehe tayari.

MASAWLI

(1) JE, NI SAHIHI NABII LUTU KUTEMBEA NA BINTI ZAKE?

(2) HUYU NABII LUTU(NDUGU YAKE NA NABII IBRAHIMU) HAMUONI KAMA AMEDHALILISHWA NDANI YA BIBLIA?

(3) KWANI SIKU YA KWANZA KATEMBEA NA MKUBWA NA HAKUSHTUKA NA KESHO YAKE SIKU YA PILI AKATEMBEA NA MDOGO?

(4) MTUME MUHAMADI KUMUOA BI AISHA NA NABII LUTU KUTEMBEA NA BINTI ZAKE NANIVYUKO SAHIHI?

(5) SWALI LA NYONGEZA:
MTU AKIWA AMELEWA KIASI KWAMBA HAJITAMBUI, ANAWEZAJE KUSIMAMISHA MASHINE NA KUSHIRIKI TENDO?

(B) Pia ukisoma 1 WAKORINTHO 1:25 utakutana na ukakasi mkubwa wa MWENYEZI MUNGU kufananishwa na UPUMBAVU au tuseme MWENYEZI MUNGU ameitwa MPUMBAVU KABISAAAA ndani ya BIBLE. Acha niinukuu Aya.

1 WAKORINTHO 1:25
1 Wakorintho 1:25 (Kwa sababu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi ya wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu zaidi ya wanadamu.)

Kwa upande wangu huo ni udhalilishaji Mkubwa wa Mungu ndani ya Biblia kwa kuambiwa Mpumbavu na pia kuambiwa ni Mdhaifu.

Chukulia uko Sebuleni na Baba yako Mzazi, alafu ghafla wakati mnaongea Mwambie hivi:-

“Unajua Baba wewe ni Mpumbavu ila upumbavu wako sio sawa na huyo jirani yetu Muuza duka hapo nje”

Alafu baada ya hapo msikilizie Baba yako atakavyokasirika, Sasa chukulia ndio anaambiwa Mungu katika hilo andiko hasira zake na gadhabu zitakuwa mara ngapi ya Baba yako na huo Moto wake siku ya Mwisho sijui itakuwaje.

MASWALI

(6) NI SAHIHI MUNGU KUFANANISHWA NA UPUMBAVU?

(7) JE KWELI MUGU NI MPUMBAVU NA NI DHAIFU?

Naombeni Majibu,
Nawasilisha.
Kujua kwamba umeyakuta na kuambiwa unatakiwa uamini hivi bila kuhoji...
Huo ni ukakasi tosha...
 
Kwani mtume ataenda peponi kwa kulala na mtoro mdogo au la? Nani anajua toba yao
Mtume hajalala na Mtoto Mdogo, ushahidi na maelezo yakinifi nimeweka kwenye post za juu kwahiyo usome na uelewe.

Kwahiyo Mtume Peponi atakwenda.

Sasa jibu swali langu.
 
Hizo States pia zina umri hata wa watoto wa kiume wakiwa na miaka 16 baadhi ya states anaweza kumuoa Msichana wa miaka kati ya 12 hadi 17 kwa ruhusa ya wazazi na mahakama.
Kumtetea shetani na pedophile lazima Mungu akuumbue Yani unasema mwenyewe watoto alafu unasifia ma child molester

Hitimisho
-Hakuna binadamu ambae ana miaka 6 akawa ameshakuwa mtu mzima
- Pedophile alikuwa na miaka 53 (tofauti ya umri kati ya pedophile na aisha ni 47 , ki uhalisia aisha ni mjukuu wa pedophile)
-utoto anaozungumzia aisha, aliposema alikuwa anacheza na mwanasesere na watoto wenzake ni utoto wa umri na si vinginevyo
 
Mtume hajalala na Mtoto Mdogo, ushahidi na maelezo yakinifi nimeweka kwenye post za juu kwahiyo usome na uelewe.

Kwahiyo Mtume Peponi atakwenda.

Sasa jibu swali langu.
Miaka 6 ni mtoto mkubwa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Mtetezi wa ma Pedophile
 
Sasa nimeirudia hii bila kuweka Shia kwasababu unanilaximisha eti shia. Hapa tupo kwenye miaka 9 ya Bi Aisha usikimbie.

Nimeirudia bila kuweka Shia haya toa hoja.[emoji116][emoji116][emoji116]

In reality, however, she wasn’t six, nine, or ten. She was much older.

I’ll use the much detailed biography of her sister, Asmāʾ, to show you.

Asmāʾ was born 27 years before hijrā.

Tāhḏhib ʾal-Asmā, volume 2, page 329.

Abd ʾal-Raḥmān bin Aʾbi l-Zannād said: “Asmāʾ was 10 years older than Aisha.”

Siyār Aʾlam al-Nubalāʾ, volume 2, page 289.

ʾal-Bidāyah wan Nihāyah, volume 8, page(s) 371-381.

This means that Aisha was 17 years old in the year of hijrā,

according to their chroniclers (and historians), Aisha got married in the second year of hijrā, which would make her 19 years old at that time.

Ulikuwa unaambiwa Anzia hapo in Reality. Hiyo Shia ilikuwepo kama kionjo cha kuanzia Mada.
Hii copy paste ilishasema bhukar Hadith mean nothing, sasa ukikata haukusaidii , ulisha toa Boko 😂 😂😂😂
 
Miaka 6 Bi Aisha Hakuingiliwa wala kufanya tendo la ndoa na Mtume.
Pedophile alipewa Aisha akiwa na miaka 6 alikuwa anajaribu kupiga mkuyati haupenyi mpaka alivyofikisha miaka Tisa pedophile akapenyeza mkuyati

Walikuwa mda wote wanalala kitanda kimoja kama mke na mume
 
Mwanasesere unaweza kucheza nae hata ukiwa na Miaka 18 kwa Wasichana ambao bado wana utoto.
Mtetezi wa ma pedophile unachekesha Sana 😂😂😂 Yani mtu anamiaka 18 anacheza na ma midoli na wenzake , icho ni kizazi Cha mataira au ? Na Kwa Nini au watoto walikuwa wakimuona pedophile wanajificha?
 
Back
Top Bottom