Unatumia mpaka shia books [emoji23][emoji23][emoji23]
Tuhitimishe
-Hakuna binadamu ambae ana miaka 6 akawa ameshakuwa mtu mzima
- Pedophile alikuwa na miaka 53 (tofauti ya umri kati ya pedophile na aisha ni 47 , ki uhalisia aisha ni mjukuu wa pedophile)
-utoto anaozungumzia aisha, aliposema alikuwa anacheza na mwanasesere na watoto wenzake ni utoto wa umri na si vinginevyo
HABARI NYINGINE HII HAPA KUHUSU WASICHANA KUBALEHE MAPEMA, KUANZIA MIAKA 8 NA KUENDELEA.[emoji116][emoji116][emoji116]
4.4 Kuvunja ungo, kubaleghe na ukomohedhi
Huenda unajua kuwa kuvunja ungo (hedhi ya kwanza), kwa wastani, huanza kati ya umri wa miaka 12 hadi 15 katika bara la Afrika. Hata hivyo, katika hali zingine huenda ianze baadaye kwa kuchelewa kati ya umri wa miaka 17 hadi 20 au mapema kati ya umri wa miaka 8 hadi 9. Baadhi ya mambo yanayoathiri umri wa kuvunja ungo ni ya kibayolojia na mengine ni ya kitamaduni.
Kuvunja ungo (hedhi ya kwanza) huanza hipothalamasi kwenye ubongo inapochochewa kuanza kutoa homoni itoayo gonadotropini katika umri wa takribani miaka 12 hadi 15. Hata hivyo, imethibitishwa kuwa homoni itoayo gonadotropini inaweza kuanza kutolewa kwa umri wa chini kwa wasichana waliostawishwa vyema na kutangamana na mambo yanayozidisha hamu ya ngono kama vile kutazama filamu za ngono na kuongea kuhusu ngono. Huenda hedhi ya kwanza (kuvunja ungo) ichelewe hadi umri wa miaka 17 hadi 20 kwa wasichana wasiostawishwa vyema, na wasiotangamana sana na mambo yanayozidisha hamu ya ngono. Magonjwa yanayoathiri hipothalamasi na tezi ya pituitari au ovari na uterasi yanaweza pia kuathiri umri wa hedhi ya kwanza.
Katika umri wa kuvunja ungo, homoni za uzazi wa kike, estrojeni na projesteroni huwajibika katika kukuza sifa za baadaye za kijinsia kwa mwanamke. Hizi ni:
Ukuaji wa matiti
Upanukaji wa pelvisi
Kuongezeka kwa shughuli za tezi za jasho na za mafuta
Uotaji wa nywele za kinena na za kwapani.
Pamoja na hedhi ya kwanza, kujitokeza kwa sifa za baadaye za kijinsia hudhihirisha kipindi kiitwacho ubaleghe – kipindi cha maisha (hasa kati ya umri wa miaka 10 hadi 15) ambapo viungo vya uzazi hukua kikamilifu na kuweza kutenda majukumu yao. Sifa za baadaye za kijinsia huitwa ‘za baadaye’ kwa sababu hutokea baada ya sifa za mwanzo za kijinsia zinazowatofautisha wanawake na wanaume.
MWISHO WA KUNUKUU.
Sasa nimekupa option mbili ulizosona,
Zinazoonyesha Mtume Muhammad alikamilisha tendo kwa Bi Aishs akiwa na Miaka 15/16 na hiyo unsyoing'ng'ania wewe ya miaka 9/10. Na zote mbili zinakuumbua kwamba Bi Aisha alishabele kwa mujibu wa Taarifa nilizokupa hapo kuhusu kubalehe. Kila kotu ni sahihi.
Mwisho nafunga Mada, Usifananishe miaka 1400 iliyopita ya Mtume Muhammad na zama hizi za karne ya 21 kuelekea 22, kwani kuna siasa nyingi na Wapingaji Mungu wengi.
Japo siasa ni nyingi na Sheria ni nyingi kuhusu utandawazi na vitu vingine na wewe umefosi kufananisha na zama hizi basi umeumbuka.
Kitu usichojua Zamani kipindi cha Mtume, Mwanamke anakuwa Limama hilo Mapema zaidi ya sasa.
Mfano watu wa zamani kipindi cha Nabii Musa walikuwa wakubwa na warefu kweli japo umri Mdogo.
Sasa ujibu maswali yetu. Ya kwako tumeshakujubu.