Maandiko haya mbona kama yana ukakasi na mashaka makubwa?

Maandiko haya mbona kama yana ukakasi na mashaka makubwa?

Kwanza Lutu sio nabii,sio kila character anayetokea kwenye Biblia ni Nabii,wengi ni maarufu lakini sio manabii wala mitume.

Nyie kama mmeamua kumpa Unabii mpeni hatushangai lakini vitabu vya kale kabisa vinatupa habari ya Lutu. Lutu kimsingi hakuwa mtu mbaya na ndio maana yeye na familia yake walisalimika isipokuwa mkewe aliyegeuka jiwe la chumvi.

Matendo yalitajwa kufanywa na Binti za Lutu ndio kama hayo na kwa kukusaidia tu baada ya hao mabinti kupata mimba kila mmoja alijifungua mtoto wa kiume ambao ni mmoja ndio kizazi cha Waammoni na mwingine ndio ameleta kizazi cha Wamoabi.Haya mataifa mawili ndiyo kati ya mataifa yaliyowasumbua Wanawaisrael kinoma na ilikuwa ni matokeo ya hiyo laana waliyoitafuta mama zao.

Sasa anayebisha atueleze Waamoni na Wamoabi asili yao ni wapi?
Kuna vyanzo vya kuaminika vinasema Wamoabi na Waamoni wapo mpaka leo, tena vyanzo vya Wakristo wenzio wewe ujasiri wa kusema kizazi hicho kimefutika umeutia wapi?
 
Kwanza Chizi Mwenyewe kabla sijasahau.

Alafu kumbuka susi tunavyoishi na hivi vitabu ndivyo tunavyoviadapt kutoka kwa manabii. Mafano wewe kwa imani yako unafuata mafunzo ya yesu wako, kwahiyo nikikutolea mfano wewe sijakosea hata nispomtaja Yesu.

Yesu alifundisha kwenye bible jinsi ya kusali( Ukisoma Luka 11:1–4), na nyinyi ndivyo mnavyomfata. Kwahiyo mimi nikisema wewe unasali kama Yesu nitakuwa sahihi.

Sasa hao wazungu ni wakristo wenzako na wanaenda kanisani lakini wanaoa Mabinti waliovunja ungo kwa Mara ya kwanza kwa kumuiga Mtume Muhammad alafu walivyokuwa wakikaa pembeni wanasema hii sio powa hii. Unafiki tu.

Mpaka leo Marekani kuna kuoa vibinti vidogo vidogo na Bwana anakamata kototo anakioa na WAZAZI wanaruhusu. Sasa unapata wapi nguvu ya kumsema Mtume?

Kama unabidha huko kwa Wakristo wako wa Marekani(USA) hawafanyi hivvyo bisha sasa alafu nikuumbue.
Narudia tena kufananisha ukristu na uzungu ni dalili za kuishiwa hoja. Ulaya na Marekani kuna dini zote unazozijua wewe kwa hiyo Uzungu haudefine Ukristu. Nimekuambia muongozo wetu sisi ni Biblia. Kama kuna kitu kinafanyika kinyume na Biblia nionyeshe lakini usiniletee habari za mzungu kafanya nini sijui .Hao wazungu unaowasema wewe ndo wanaoongoza kusema hakuna Mungu.
 
Acha Uongo. Wenzako Wakristo U.S.A wanaoa vibinti vidogo na wanaenda navyo Kanisani na Wazazi wameridhia. Na hao Mabinti wako So Smart kichwani wana akili kushinda hao Wanawake zako unaowataka wa Miaka 18.
Child molester ni child molester ata awe nani , nenda kajichanganye useme unamuiga pedophile Muhammad uone kitakachokukuta
 
Acha Uongo. Wenzako Wakristo U.S.A wanaoa vibinti vidogo na wanaenda navyo Kanisani na Wazazi wameridhia. Na hao Mabinti wako So Smart kichwani wana akili kushinda hao Wanawake zako unaowataka wa Miaka 18.

U.S.A wanajilia vyao tu wewe huku ukilialia, imagine Kidume cha US kinaenda kanisani kusali na Mke Binti wa miaka kama 13 au 14 na mambo yanakuwa Super. (Mi nataka Ubishe nikuumbue), yani bado kuwa Waisilamu tu, ili wafaidi vizuri.

Endelea kucompare maisha ya miaka 1400 iliyopita na ya sasa. Na mimi nitacompare na USA kama kawa.
Uzungu sio Ukristo tumia akili nakwambia.Maisha binafsi ya Mtu sio kieleleze cha dini au imani. Usilazimishe uzungu kuwa Ukristu,acha hii mambo. Tuambie Biblia inasemaje kuhusu hilo suala na sio kuleta culture za watu na kuzilazimisha kuwa dini imesema.
 
Jibu maswali, Onyesha sehemu aalioolalamika wakati anaingiliwa Bi Aisha
😂😂😂 Ndio maana Kuna watu wenye akili tunawaadabisha majitu ma maniac ma pedophile na ma child molester

Mtoto ata uumpe pipi anapiga kimya au unamtisha kwa upanga kama Muhammad alivyofanya
 
Jibu maswali, Onyesha sehemu aalioolalamika wakati anaingiliwa Bi Aisha
Tunapo muita Muhammad ni pedophile maana yake alikuwa na ukichaa

Pedophile - a psychiatric disorder in which an adult has sexual fantasies about or engages in sexual acts with a child
 
Jamani hapa hebu tuache udini tujiulize hili swali"Kama dunia nzima walibaki watu watatu mpaka hao mabinti wakakosa wa kuwalala mpaka kupelekea kufanya walichokifanya,Je,Ni Nani aliyevujisha hii habari?
Maana kwa Hali ya kawaida sidhani Kama hao mabinti walikuja kusimulia wajukuu zao huo uhaini wao walioufanya ujanani?Sasa Nani katoa Siri?
NB...tafadhali MTU asijibu enzi zile hata nyoka waliongea

Proudly Christian.
First five Books vya Biblia vimeandikwa na Musa ambaye hata hakuwepo kabisa. But ameandika mpaka habari za uumbaji from Inspiration ya Roho Mtkatifu. There were moments ambapo Musa alikuwa anakwenda mbele za Mungu for more than 40 days.In those moments pia its likely alipata mafunuo mengi ambayo hata wanadamu wengine walikuwa hawayajui.

Lakini pia watu wa kale walikuwa wanajali sana origin zao, the reason why walitembea na baba yao ni kwamba kizazi kisipotee sasa kama hilo lilikuwa ndo lengo kwanini wafiche baada ya kuwa watoto wamezaliwa? So they themselves told the stories.
 
Acha uongo kuna baadhi ya Source za kuaminika Google tena za Wakristo wenzako wanasema kizazi cha Lutu hakijafutika chote kipo hata leo kinapatikana Jordan huko.

Alafu soma andiko vizuri, andiko linasema. Huyu ndio Baba wa Wamoabi hata leo. Na pia huyu ndie Baba wa Waamoni hata leo.

Hilo neno hata leo ndani ya Mwanzo 19:37–38 yana umuhimu sana. Usipende kufukiri tofauti na Maandiko.
Hizo 'hata leo' za kwenye Biblia zisikuchanganye,hizo zinamaanisha wakati muandishi anaandika kitabu husika mambo yalikuwa hivyo.
 
Kuna vyanzo vya kuaminika vinasema Wamoabi na Waamoni wapo mpaka leo, tena vyanzo vya Wakristo wenzio wewe ujasiri wa kusema kizazi hicho kimefutika umeutia wapi?
Kufutika ni kukosa utambulisho kama taifa,Israel wenyewe waliposambaa duniani walihesabika kuwa ni taifa lililofutika duniani mpaka waliporudi kwenye ardhi yao nakutangaza uhuru wao.

Sasa wewe niambie Waamoni ni nchi gani sasa hv? Au ni wamoabi ni nchi gani sasa hivi?

Misri tuliiona na mpaka leo tunaiona,nchi kama syria,Iraq,Iran,Palestine zote bado zipo ingawa zimebadilika majina. Niambie Waamoni wamebadilika wamekuwa nchi gani?na hao wamoabi pia.
 
hakuna ukakasi hapo. Biblia iko tofauti na vitabu vingine vya dini. haifichi uovu wa mtu. Watoto waliozaliwa hapo ndiyo jamii za wamoabu na waamaleki ambapo ukisoma pentachuchs na hata vitabu vya samweli na wafalme utaona ni mojawapo ya jamii ambazo ziliwasumbua sana Waisraeli, na Mungu aliwaamuru Waisraeli wawaangamize ikiwa ni pamoja na wana wa kanaani-wahiti,wahivi, wayebusi nk.

issue ya lutu inaonyesha jinsi incest-hasa paternal na maternal ilivyo mbaya isivyokubalika mbele za Mungu. Na zao lake linaweza kuwa zao la watu waovu sana. Maana jamii hizo ndizo zilikuwa zinatoa hata watoto wao kafara kwa kuwachoma moto kwa miungu wao kemoshi-mungu wa wamoabu na milkomu wa amoni.

by the way jamii hizo ndiyo present day east of jordani river-nchi ya jordan na baadhi ya palestina
Wewe ndio umesema ukweli kwamba hizi jamii bado zipo hadi leo. Sio hao Wakristo wenzako waongo waongo akina Mokiti na huyo Gentle eti wanasema hicho kizazi kilifutika kwa sasa hakipo. (Waamoni na Wamoabu wapo mpaka leo huko Jordan, mkristo mwenzenu kawasanua ukweli)

Embu fikirieni fact ndogo tu hii hapa,
Wakati israeli anapigana na Wamoabu, waliokuwa wanaenda vitani (au kwenye makutano ya vita) walikuwa ni wanaume waliobalehe tu.

Wanaume hao wa Waisrael na Wamoabu ndio waliopambana. Sasa vipi kuhusu wanawake wa Wamoabu ambao hawakuenda vitani? Si walibaki wakaendekeza kizazi chao.[emoji23][emoji23][emoji23]. Vipi kuhusu Watoto ambao hawakuenda vitani si walibaki wazima wakakua na kuendeleza kizazi chao cha Moabu. Na kuna wale vijana waliobaki ambao hawakubalehe nao si walibaki hawakwenda vitani si waliendeleza kizazi cha Moabu. Haya vipi kuhusu Vilema wa kike na wakiume wakimoabu na si walibaki wakiendeleza kizazi!!!

Mnapokuja kutueleza sisi Mje mkiwa mmejipanga vizuri sio mnakuja na ubabaishaji wewe Mokiti na Gentle.

Ukisoma WAAMUZI 3:12–30 inaelezea jinsi Waisraeli walivyokengeuka na kutiwa mikononi mwa mfalme wa Wamoabi aliyeitwa Egloni. Na wakaanza kutawaliwa.

Baadae Biblia yenu inasema akatokea Ehudi kuja kuwasaidia hao Waisraeli alienda kumuua mfalme Egloni na wakawapiga wanaume wa Wamoabu pekee katika vita na wakarudi kwenye utawala wao. Mi nitanukuu WAAMUZI 3:29 kuonyesha ni Wanaume pekee wapigana vita wa Kimoabu ndio waliopambana vitani.

WAAMUZI 3:29 inasema,
Waamuzi 3:29 ( Wakati huo wakapiga katika Wamoabi watu waume wapata kama elfu kumi, ambao wote walikuwa wanene, na wote mashujaa; hakupona hata mtu mmoja.)

Sasa ona hao wapigana vita pekee ndio waliopigwa, biblia haioneshi wanawake au watoto kwamba walipigwa. Unapataje Nguvu ya kusema kizazi kilifutika wewe MOKITI.

Mkikaa kanisani kwenu ulizeni Maswali vizuri sio kumezeshwa historia za Uongo tu. Mimi nitakuumbua hapa Mpaka Basi.
 
Kufutika ni kukosa utambulisho kama taifa,Israel wenyewe waliposambaa duniani walihesabika kuwa ni taifa lililofutika duniani mpaka waliporudi kwenye ardhi yao nakutangaza uhuru wao.

Sasa wewe niambie Waamoni ni nchi gani sasa hv? Au ni wamoabi ni nchi gani sasa hivi?

Misri tuliiona na mpaka leo tunaiona,nchi kama syria,Iraq,Iran,Palestine zote bado zipo ingawa zimebadilika majina. Niambie Waamoni wamebadilika wamekuwa nchi gani?na hao wamoabi pia.
Wewe kweli hujitambui navyoandika Jordan inamana huniekewi au na zamani kwenye Biblia mlikuwa mnaiita Yordani hata leo. Japo kuna kundi dogo la hao Wamoabu lipo Palestina, wanataka kutuletea laana yenu kweru ila hawatiweza kwa uwezo wa Allahu.

Umeanza kubadilisha viswahili sasa hivi, Mbona mwanzo hukusema hivyo. Uliishia Vimefutika vyote havipo.

Mimi nipo hapa kuwafunza msiyoyajua nyinyi kumbikumbi.
 
Wewe ndio umesema ukweli kwamba hizi jamii bado zipo hadi leo. Sio hao Wakristo wenzako waongo waongo akina Mokiti na huyo Gentle eti wanasema hicho kizazi kilifutika kwa sasa hakipo. (Waamoni na Wamoabu wapo mpaka leo huko Jordan, mkristo mwenzenu kawasanua ukweli)

Embu fikirieni fact ndogo tu hii hapa,
Wakati israeli anapigana na Wamoabu, waliokuwa wanaenda vitani (au kwenye makutano ya vita) walikuwa ni wanaume waliobalehe tu.

Wanaume hao wa Waisrael na Wamoabu ndio waliopambana. Sasa vipi kuhusu wanawake wa Wamoabu ambao hawakuenda vitani? Si walibaki wakaendekeza kizazi chao.[emoji23][emoji23][emoji23]. Vipi kuhusu Watoto ambao hawakuenda vitani si walibaki wazima wakakua na kuendeleza kizazi chao cha Moabu. Na kuna wale vijana waliobaki ambao hawakubalehe nao si walibaki hawakwenda vitani si waliendeleza kizazi cha Moabu. Haya vipi kuhusu Vilema wa kike na wakiume wakimoabu na si walibaki wakiendeleza kizazi!!!

Mnapokuja kutueleza sisi Mje mkiwa mmejipanga vizuri sio mnakuja na ubabaishaji wewe Mokiti na Gentle.

Ukisoma WAAMUZI 3:12–30 inaelezea jinsi Waisraeli walivyokengeuka na kutiwa mikononi mwa mfalme wa Wamoabi aliyeitwa Egloni. Na wakaanza kutawaliwa.

Baadae Biblia yenu inasema akatokea Ehudi kuja kuwasaidia hao Waisraeli alienda kumuua mfalme Egloni na wakawapiga wanaume wa Wamoabu pekee katika vita na wakarudi kwenye utawala wao. Mi nitanukuu WAAMUZI 3:29 kuonyesha ni Wanaume pekee wapigana vita wa Kimoabu ndio waliopambana vitani.

WAAMUZI 3:29 inasema,
Waamuzi 3:29 ( Wakati huo wakapiga katika Wamoabi watu waume wapata kama elfu kumi, ambao wote walikuwa wanene, na wote mashujaa; hakupona hata mtu mmoja.)

Sasa ona hao wapigana vita pekee ndio waliopigwa, biblia haioneshi wanawake au watoto kwamba walipigwa. Unapataje Nguvu ya kusema kizazi kilifutika wewe MOKITI.

Mkikaa kanisani kwenu ulizeni Maswali vizuri sio kumezeshwa historia za Uongo tu. Mimi nitakuumbua hapa Mpaka Basi.
Nimekujibu a while ago, kufutika ni kutotambuliwa kama taifa. Hapo awali walikuwa ni jamii inayojitegemea na utawala wake sasa hivi wapo wapi? Almost mataifa yote yaliyosumbuana na Israel tunayaona mpaka leo baadhi yamebadilika majina tu lakini hao Moabi na Ammoni hawapo tena kama taifa. Hiyo Jordani unayosema ilikuwepo tangu enzi hizo when Moabites and Ammonites wanaexist,so kama wamejificha humo sawa lakini hawaexist kama taifa tena.

Tusipoteze muda kwa suala hili lipo namna hiyo.
 
Nimekujibu a while ago, kufutika ni kutotambuliwa kama taifa. Hapo awali walikuwa ni jamii inayojitegemea na utawala wake sasa hivi wapo wapi? Almost mataifa yote yaliyosumbuana na Israel tunayaona mpaka leo baadhi yamebadilika majina tu lakini hao Moabi na Ammoni hawapo tena kama taifa. Hiyo Jordani unayosema ilikuwepo tangu enzi hizo when Moabites and Ammonites wanaexist,so kama wamejificha humo sawa lakini hawaexist kama taifa tena.

Tusipoteze muda kwa suala hili lipo namna hiyo.
Acha kuleta Maana zako za Uchochoroni. Nenda Google huko ukagoogle upate Wamoabu na Waamoni wanapatikana wapi

Mwanzo ulisema ooh, wamefutika. Sasa hivi tunakwambia wapo, unaanza kubadili viswahili eti hawatambuliki kama Taifa. Hivi unajielewa kweli wewe.

Mbona hukusema yote hayo tangu mwanzo? Unatapatapa tu.
 
Kufutika ni kukosa utambulisho kama taifa,Israel wenyewe waliposambaa duniani walihesabika kuwa ni taifa lililofutika duniani mpaka waliporudi kwenye ardhi yao nakutangaza uhuru wao.

Sasa wewe niambie Waamoni ni nchi gani sasa hv? Au ni wamoabi ni nchi gani sasa hivi?

Misri tuliiona na mpaka leo tunaiona,nchi kama syria,Iraq,Iran,Palestine zote bado zipo ingawa zimebadilika majina. Niambie Waamoni wamebadilika wamekuwa nchi gani?na hao wamoabi pia.
moabu na amoni is present day Jordan
 
Acha kuleta Maana zako za Uchochoroni. Nenda Google huko ukagoogle upate Wamoabu na Waamoni wanapatikana wapi

Mwanzo ulisema ooh, wamefutika. Sasa hivi tunakwambia wapo, unaanza kubadili viswahili eti hawatambuliki kama Taifa. Hivi unajielewa kweli wewe.

Mbona hukusema yote hayo tangu mwanzo? Unatapatapa tu.
Kama hizo ni maana za uchochoroni basi sawa. Ndo maana nakwambia ndugu yangu wewe upeo wako unashida.
 
First five Books vya Biblia vimeandikwa na Musa ambaye hata hakuwepo kabisa. But ameandika mpaka habari za uumbaji from Inspiration ya Roho Mtkatifu. There were moments ambapo Musa alikuwa anakwenda mbele za Mungu for more than 40 days.In those moments pia its likely alipata mafunuo mengi ambayo hata wanadamu wengine walikuwa hawayajui.

Lakini pia watu wa kale walikuwa wanajali sana origin zao, the reason why walitembea na baba yao ni kwamba kizazi kisipotee sasa kama hilo lilikuwa ndo lengo kwanini wafiche baada ya kuwa watoto wamezaliwa? So they themselves told the stories.
Acha uongo wewe,
Eti Oh! "Lakini pia watu wa kale walikuwa wanajali sana origin zao, the reason why walitembea na baba yao ni kwamba kizazi kisipotee sasa kama hilo lilikuwa ndo lengo kwanini wafiche baada ya kuwa watoto wamezaliwa? So they themselves told the stories"

Huo ulioandika ni Uzushi wa kiwango cha Lami.

Wote tunafahamu kuwa asili ya Nabii Ibrahimu ni Misipotania(Uru wa Wakardayo), ndio IRAQ ya sasa. Na huyu ibrahimu ana undugu na Lutu yani ni mpwa wake. Hivyo kwa vyovyote vile naye Lutu anatokea Uru wa Wakardayo Misipotania(Iraq ya sasa)

Sasa baada ya Lutu na binti zake kuwa Soari, hao binti zake Lutu walishindwa kwenda Uru wa Wakardayo Misipotania(Iraq) kufuata watu wa jamii yao ili waolewe na waendeleze kizazi na baada ya hapo wakitaka warudi huko soari? Au Yordani?

Biblia kuhusu Lutu Kugonga Binti zake ni uongo na Uzushi wa Biblia na hamuhutaki kuukubali.
 
Acha kuleta Maana zako za Uchochoroni. Nenda Google huko ukagoogle upate Wamoabu na Waamoni wanapatikana wapi

Mwanzo ulisema ooh, wamefutika. Sasa hivi tunakwambia wapo, unaanza kubadili viswahili eti hawatambuliki kama Taifa. Hivi unajielewa kweli wewe.

Mbona hukusema yote hayo tangu mwanzo? Unatapatapa tu.
Sawa tuseme basi wapo ndo hao Jordan so what? It doesnt change anything.
 
Hizo 'hata leo' za kwenye Biblia zisikuchanganye,hizo zinamaanisha wakati muandishi anaandika kitabu husika mambo yalikuwa hivyo.
Wee endelea kutetea Upotovu wako wa kuendelea kuunga Mkono Lutu kudhalilishwa ndani ya Biblia.

Hii biblia si huwaga mnatoaga version mpya kila kukicha. Sasa waambie wakitoa version mpya, hapo kwenye kisa cha Lutu wakitoe kama wanavyotoaga visa vingine vinavyowaumbua ndani ya Biblia.
 
Back
Top Bottom