Maandiko haya mbona kama yana ukakasi na mashaka makubwa?

Maandiko haya mbona kama yana ukakasi na mashaka makubwa?

Acha uongo wewe,
Eti Oh! "Lakini pia watu wa kale walikuwa wanajali sana origin zao, the reason why walitembea na baba yao ni kwamba kizazi kisipotee sasa kama hilo lilikuwa ndo lengo kwanini wafiche baada ya kuwa watoto wamezaliwa? So they themselves told the stories"

Huo ulioandika ni Uzushi wa kiwango cha Lami.

Wote tunafahamu kuwa asili ya Nabii Ibrahimu ni Misipotania(Uru wa Wakardayo), ndio IRAQ ya sasa. Na huyu ibrahimu ana undugu na Lutu yani ni mpwa wake. Hivyo kwa vyovyote vile naye Lutu anatokea Uru wa Wakardayo Misipotania(Iraq ya sasa)

Sasa baada ya Lutu na binti zake kuwa Soari, hao binti zake Lutu walishindwa kwenda Uru wa Wakardayo Misipotania(Iraq) kufuata watu wa jamii yao ili waolewe na waendeleze kizazi na baada ya hapo wakitaka warudi huko soari? Au Yordani?

Biblia kuhusu Lutu Kugonga Binti zake ni uongo na Uzushi wa Biblia na hamuhutaki kuukubali.
Sasa unapingana na Biblia sasa sio mimi? Kwani Biblia imesema wale mabinti wametembea na baba yao kwa ajili gani? Kwamba walimtamani au? Lengo la wao kutembea na baba yao ni nini? Mada umeileta mwenyewe halafu unajikanyaga sasa. Bro naona huna jipya .

Kama unasema Biblia inadanganya hii sasa ni mada mpya kabisa fungua thread tuje tuitetee ila uwe tayari maana pia Quran itakuwa under attack and we are prepared.

I will stop here now.
 
Kama hizo ni maana za uchochoroni basi sawa. Ndo maana nakwambia ndugu yangu wewe upeo wako unashida.
Wewe ndio upeo wako unashida ukiona kabila linawekwa hadi kwenye Makabrashs ya kumbukumbu basi jua lipo. Unalazimisha Utaifa tu.

Ukija tanzania na ukawataka Wahaya utawakuta.
Kwasababu Utaenda kagera utawapata. Kwahiyo wahaya ni watu wa kagera na ni Watanzania.

Wamoabu wako Jordani, na wanapatikans katika Maeneo yao hapo Jordan.

Alafu nyinyi mnasema eti laana Mbona wapo huko na ukute wana Maendeleo kushinda wewe. Wana elimu kushinda wewe.

Hapa mshashindwa Mada,
Tumewaumbua kuhusu Moabu.

Tumetoa ushahidi wa Sheria ya Ndoa hapa Tanzania na USA Mewanamke akiwa na Miaka 14 anaweza olewa. Ila USA wameenda Mbali zaidi wameshusha hadi miaka 12 na 13 kwa baadhi ya States.

Hakuna uthibitisho sahihi kisayansi mwanamke akiwa na Miaka 18 ndio anapaswa kuolewa, Huo ni utashi tu wa Sayansi kidogo na utashi wa Wanasiasa tu. Kuna nchi Binti anafaa kuolewa akiwa na Miaka 21 huo ndio utashi wao(hiyo nchi ipo ukiitaka nakutajia). Binti wa miaka 12, 13, 14 hadi 17 wanaweza wakawa na Akili, Maarifa na kujitambua kuliko huyo wa miaka 18.

Mmefeli kujibu andiko linalohusu upumbavu wa Mungu kuutaja kwamba una hekima kuliko Wanadamu. Ina maana sisi waumini tuseme Mungu wetu ni Mpumbavu bana ila upumbavu wake una hekima kuliko sisi, si ndivyo mnavyotaka.

Yani kumfananisha tu Mungu na upumbavu hiyo ni Kufuru tayari.

Kumtaja Mungu mdhaifu hiyo ni kufuru tayari.

Kutetea Andiko la Lutu kuwala Bintiye ndani yaBible ni Kufuru. Uwezo wa Bintize Lutu kuolewa na watu wa jamii yao upo. Watu wa jamii yako hswawezi kuisha hata iweje.

Kwa kifupi Mmepuyanga.
 
Sasa unapingana na Biblia sasa sio mimi? Kwani Biblia imesema wale mabinti wametembea na baba yao kwa ajili gani? Kwamba walimtamani au? Lengo la wao kutembea na baba yao ni nini? Mada umeileta mwenyewe halafu unajikanyaga sasa. Bro naona huna jipya .

Kama unasema Biblia inadanganya hii sasa ni mada mpya kabisa fungua thread tuje tuitetee ila uwe tayari maana pia Quran itakuwa under attack and we are prepared.

I will stop here now.
Ukishindwa Mada kimbia ksma hivyo. Mimi niko hapa kuwafunza tu na wengine waje wakitaka
 
Kwa hiyo we unajua umbo la bi Aisha lilivyokuwa sio? Sasa we jichanganye nenda katafute katoto ka miaka 6 kenye umbo kubwa then waambie watu ujinga huo uone watakavyokugawanya.

Naona sasa umeanza kuishiwa hoja,mimi sasa nitaje mwaka aliozaliwa Aisha kwa lengo gani labda ? Halafu unatapatapa sana mwanangu mara useme Tabari kasema dogo aliolewa akiwa na umri mkubwa,mara useme dogo wa miaka 6 alikuwa na umbo kubwa,naona hii mada ishakuwa nzito sana kwako fanya shughuli nyingine.
Nakuletea vyanzo vingine unavikataa unataka tukomae na hiyohiyo hadithi unayoitaka wewe.

Sasa unaulizwa Maswali kulingana na unachokitaka unagoma kujibu wewe unajitambua kweli.
 
Narudia tena kufananisha ukristu na uzungu ni dalili za kuishiwa hoja. Ulaya na Marekani kuna dini zote unazozijua wewe kwa hiyo Uzungu haudefine Ukristu. Nimekuambia muongozo wetu sisi ni Biblia. Kama kuna kitu kinafanyika kinyume na Biblia nionyeshe lakini usiniletee habari za mzungu kafanya nini sijui .Hao wazungu unaowasema wewe ndo wanaoongoza kusema hakuna Mungu.
Acha kupuyanga wewe,

URoman Catholic umeanzia huko Roma, Italy. Tena Catholic maana yake ni ‘popote pale'. Kwahiyo ukisema “Mimi ni MRoman Catholic" maana yake unasema “mimi ni raia wa Roma popote pale"

Mjerumani alivyoona kule Roma kuna Roman Catholic na yeye akaanzisha ya kwake inaitwa Protestant

Anglikana imeanzia Uingereza. Yani uingereza alivyoona Roma ana Dini ya Roman Catholic na Mjerumani ana dini inaitwa Protestant, kwa hiyo Muingereza akasema msinitanie mimi na mimi naanzisha ya kwangu. Ndio akaanzisha Anglikana.

Huko Marekani walivyoona kote yani Italy, Germany na England kuns Dini kote. Basi huko Marekani wakaanzisha Dini ya Usabato. Usabato umeanzia Marekani tena umeanzishwa na Mwanamke anaitwa Hellen. Tena umeanzishwa miaka ya juzi juzi tu hapo.

Baada ya hapo ndio yamekuja Makapi ya hizi Dini zingine.

Sasa wenzako wazungu ndio wameanzisha na wanajua zaidi yako. Wewe umepokea tu. Hawa wazungu kuwatolea mfano ni sahihi.

Usirukeruke hapa hao wazubgu wanatumia Biblia kama wewe na wanaenda kanisani kama wewe.
 
Nakuletea vyanzo vingine unavikataa unataka tukomae na hiyohiyo hadithi unayoitaka wewe.

Sasa unaulizwa Maswali kulingana na unachokitaka unagoma kujibu wewe unajitambua kweli.
Unaipinga sahih bhukar 😂😂😂 unaanza kuelewa
 
Bado hujajibu swali, baada ya Yesu kufufuka zile Dhambi alizobeba Yesu kwa ajili yenu zilienda wapi? Au zilienda kwa nani?
 
Mfuasi WA child molester, mbona umbo tumeweka alikuwa mdogo Sana , ndio maana mnabaka watoto ! Yani wewe unaona umbo ndio ukubwa shame on you

Mama yake alivyoona katoto Aisha bado kadogo na umbo pia ni dogo akaanza kumlisha ili awe toto ka bonge ili apelekwe kwa child molester

Narrated Aisha, Ummul Mu'minin: My mother intended to make me gain weight to send me to the (house of) the Messenger of Allah (ﷺ). But nothing which she desired benefited me till she gave me cucumber with fresh dates to eat. Then I gained as much weight (as she desired). Sunan Abi Dawud 3903
Si unsona ushaunbuka anamalizia kuwa ba Umbo kubwa? Weight

Sasa jiulize alibalehe au hakubalehe
 
Child molester ni child molester ata awe nani , nenda kajichanganye useme unamuiga pedophile Muhammad uone kitakachokukuta
Alafu nakupa hii ukibisha, ukirudi kwenye ile Hadithi uendelee kujibu Maswali yangu.

In reality, however, she wasn’t six, nine, or ten. She was much older.

I’ll use the much detailed biography of her sister, Asmāʾ, to show you.

Asmāʾ was born 27 years before hijrā.

Tāhḏhib ʾal-Asmā, volume 2, page 329.

Abd ʾal-Raḥmān bin Aʾbi l-Zannād said: “Asmāʾ was 10 years older than Aisha.”

Siyār Aʾlam al-Nubalāʾ, volume 2, page 289.

ʾal-Bidāyah wan Nihāyah, volume 8, page(s) 371-381.

This means that Aisha was 17 years old in the year of hijrā,

according to their chroniclers (and historians), Aisha got married in the second year of hijrā, which would make her 19 years old at that time.
 
Si unsona ushaunbuka anamalizia kuwa ba Umbo kubwa? Weight

Sasa jiulize alibalehe au hakubalehe
Hakuvinja ungo , alipelekwa ni mtoto wa miaka 6, kalikiwa kadogo mama yake akawa anamlisha ili ka nenepe
 
Alafu nakupa hii ukibisha, ukirudi kwenye ile Hadithi uendelee kujibu Maswali yangu.

First of all, the Shiʾa are known to have an opinion on Aisha, and so, her aḥādith mean nothing.

In reality, however, she wasn’t six, nine, or ten. She was much older.

I’ll use the much detailed biography of her sister, Asmāʾ, to show you.

Asmāʾ was born 27 years before hijrā.

Tāhḏhib ʾal-Asmā, volume 2, page 329.

Abd ʾal-Raḥmān bin Aʾbi l-Zannād said: “Asmāʾ was 10 years older than Aisha.”

Siyār Aʾlam al-Nubalāʾ, volume 2, page 289.

ʾal-Bidāyah wan Nihāyah, volume 8, page(s) 371-381.

This means that Aisha was 17 years old in the year of hijrā,

according to their chroniclers (and historians), Aisha got married in the second year of hijrā, which would make her 19 years old at that time.
Ungesema mapema wewe ni shia , shia mnastory za hajabu kuliko ata sunni
Ndio maana umemkataa bukhari

Ila kumtetea pedophile muhammad hutaweza
 
Tunapo muita Muhammad ni pedophile maana yake alikuwa na ukichaa

Pedophile - a psychiatric disorder in which an adult has sexual fantasies about or engages in sexual acts with a child
Wewe acha Ukichaa na Uchizi, Mtume Muhammad alioa kihalali, na Bi Aisha alikuwa ndani ya Muda sahihi wa kupaswa kuolewa.

Chizi ni wewe ambaye unamuita Yesu ni Mungu, wakati kwenye Maandiko kibao yesu anathibitisha kwanba kuna Mungu ila yeye ni nabii na ni Binadamu. Yesu Mwenyewe alimuomba Mungu.

MATHAYO 27:46
Mathayo 27:46 (Na kama saa tisa, Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu akisema, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Yaani, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?)

MARKO 15:24
Marko 15:34 ( Na saa tisa Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Maana yake, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?)

YOHANA 20:17
Yohana 20:17 ( Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.)

Aya zote hizo Yesu anathibitisha kuwa kuna yeye Yasu Nabii na Kuna Mungu wa Mbinguni. Isipokuwa Mwenyezi Mungu alionyesha uwezo wake tu wa Yesu kuzaliwa bila Baba.
 
Unaipinga sahih bhukar [emoji23][emoji23][emoji23] unaanza kuelewa
Nakwambia hivi alikuwa kwenye Umri Sahihi wa kuolewa na visaidizi nimekupa.

Tujibuni Maswali yetu Mpaka sasa hayana Majibu. Hamjatoa Majibu kabisa mnstapatapa tu.
 
Ungesema mapema wewe ni shia , shia mnastory za hajabu kuliko ata sunni
Ndio maana umemkataa bukhari

Ila kumtetea pedophile muhammad hutaweza
Umeisha wewe huna hoja, lala ukiamka ujibu Naswali yetu
 
Ungesema mapema wewe ni shia , shia mnastory za hajabu kuliko ata sunni
Ndio maana umemkataa bukhari

Ila kumtetea pedophile muhammad hutaweza
Mimi nskujibu kotekote unspotaka wewe
 
Wapi pameandikwa “hakuvunja Ungo” nionyeshe
Pedophile Muhammad alitakiwa kuwa onesha ni vibaya kuoa mtoto ila yeye alikuwa anasifia kabisa

Kuna Hadith alikuwa jamaa kafiwa Muhammad akamwambia aoe mtoto ,jamaa akamtolea uvivu akamwambia sasa nikioa mtoto nani atawatunza watoto wangu na yeye ai atacheza nao 😂😂😂

Ndio umeona Hadith Aisha yupo kwa Muhammad anacheza na midoli
 
Dhambi zinaleta mauti na ndio maana alikufa msalabani kitu ambacho Shetani anapambana kuwaaminisha watu kuwa hakufa so wasimwamini wasiokolewe.
Bado hujajibu swali. Baada ya Yesu kufufuka zile Dhambi alizobeba kwa ajili yenu zilienda wapi? Au zilienda kwa nani?

Maana Mimi navyojua Yesu ana dhambi zenu na ataenda Motoni.

Sasa nataka kujua, Yesu kashafufuka ili Yesu asiende Motoni, Dhambi mlizompa zimeenda wapi? au kwa nani?
 
Wapi pameandikwa “hakuvunja Ungo” nionyeshe
Mtoto ni mtoto TU , alafu Muhammad alijifanya kupiga vita midoli uku mke mtoto wake anachezea

Aisha aliripoti kwamba alikuwa akicheza na mwanasesere mbele ya Muhammad na wakati watoto wenzake walipo muona mtume waliondoka (nyumbani) kwa sababu walihisi aibu kwa Mjumbe wa Mwenyezi Mungu. na Mtume wa Mwenyezi Mungu akawaruhusu waendelee kucheza nae. Sahih al-Bukhari 6130
 
Back
Top Bottom