Maandiko haya mbona kama yana ukakasi na mashaka makubwa?

Maandiko haya mbona kama yana ukakasi na mashaka makubwa?

Hujui kutaja namba nianze kuwacheka nyote humu
Nimekuwekea link maana ni Sheria tunazungumzia sio nataje tu bila nukuu kasome imeelezwa vizuri kabisa

Nanusirudie tena kutetea ma child molester tutaanza na wewe viboko 12 jela miaka 30
 
Nimekuwekea link maana ni Sheria tunazungumzia sio nataje tu bila nukuu kasome imeelezwa vizuri kabisa

Nanusirudie tena kutetea ma child molester tutaanza na wewe viboko 12 jela miaka 30
Hujui kutaja namba au sheria haikutaja namba

Ulio weka haina namba
 
Hujui kutaja namba au sheria haikutaja namba

Ulio weka haina namba
Kote huku unaangaika kumtetea child molester

e) Umri: Kigezo cha umri kimetajwa katika muktadha tofautitofauti, lakini kwa ujumla, wanandoa wanapaswa kuwa na umri wa miaka 18 au zaidi.

Apo ondoa wanafunzi ndio maana nimekwambia kasome
 
Kote huku unaangaika kumtetea child molester

e) Umri: Kigezo cha umri kimetajwa katika muktadha tofautitofauti, lakini kwa ujumla, wanandoa wanapaswa kuwa na umri wa miaka 18 au zaidi.

Apo ondoa wanafunzi ndio maana nimekwambia kasome
Haya hapo sio sheria ngoja uletewe sheria rasmi sasa
Moja umejikanyaga mwenyewe ulipo sema umri umetajwa kwa muktadha tofauti tofauti
Ngoja utajiwe hiyo miktadha sasa
 
Ngoja upewe miktadha wewe
Unachotaka kuleta kumeshatolewa hukumu na mahakama kuu na mahakma ya rufaa ikapigilia msumari hakuna ndoa za watoto
Kumtetea child molester ni kazi Sana 😂
Soma kwanza hii
Serikali ya Tanzania Jumatano imeshindwa tena katika kesi ya ndoa za utotoni baada ya Mahakama ya Rufaa nchini humo kutupilia mbali pingamizi la serikali liliokuwa likitaka sheria ya ndoa chini ya miaka 18 iendelee.
Serikali ilikata rufaa kupinga hukumu ya Mahakama Kuu iliyotoa ushindi kwa watetezi wa haki za binadamu (Msichana Initiative) waliokuwa wakipinga baadhi ya vipengele vya sheria ya ndoa kwa madai vilikuwa vikimkandamiza mtoto wa kike.

Uamuzi wa mahakama hiyo ya rufaa unakamilisha safari ya miaka mingi ya watetezi wa haki za binadamu wakipigania ustawi wa mtoto wa kike ambao unadaiwa kukandamizwa na sheria ya ndoa ya mwaka 1971.

Katika shauri lao mbele ya mahakama kuu na baadaye mahakama ya rufaa, asasi za kiraia zilidai kitendo cha sheria ya ndoa kutamka kwamba mtoto wa kike anaweza kuolewa akiwa na umri wa miaka 14 wakati yule wa kiume anaweza kuoa akiwa na umri wa miaka 15, inakandamiza ustawi wa watoto wote na pia inaleta mazingira ya kibaguzi kwa watoto hao jambo ambalo ni kinyume cha katiba ya nchi.
 
We kuutaja umri sahihi wa mwanamke kuolewa Tanzania pia huujui

Au Data inajizima
Huu apa

Mahakama ya juu zaidi Tanzania imebatilisha sheria inayoruhusu familia kuwaoza wasichana wadogo wenye umri wa kuanzia miaka 14.

Mahakama kuu ya rufaa imebatilisha uamuzi uliotolewa awali na mahakama nyingine nchini kwa misingi ya kuwa ndoa za watoto zinakiuka haki za wasichana, na nii kinyume cha sheria na katiba ya nchi hiyo.

Mahakama hii leo ilisema kuwa wasichana hawawezi kuolewa kabla ya kutimiza umri wa miaka 18, umri ambao wavulana pia wanaruhusiwa kuoa.
 
Kwa Mujibu andiko lako ni kwamba YESU amelaaniwa kwa kuangikwa/kutundikwa msalabani ili Wakristo Msamehewa.

SWALI
Kama Yesu amefanywa laana na kulaaniwa ili Wakristo msamehewe, Je siku ya mwisho yesu ataingia Jehanamu ipi?

Kwsnini yesu mmembebesha Mzigo wa Dhambi huku mkitaka aende Motoni ni Nyinyi ndio Muende Peponi?

Kana Yesu amelaaniwa. Je, siku ya mwisho/kiama ataenda wapi?
Hayo maelezo yake nilishayatoa mapema sana nashangaa huelewi chalii angu.

I told you Jesus died because of those sins and laana but alifufuka ( tofauti na wanadamu wengine kuwahi kutokea) na kufufuka kwake ina maana ameyashinda mauti ambayo yanaletwa na dhambi na laana zake. Maelezo haya nimekwambia mapema tu sema kichwa kizito ndugu yangu.

Yesu hana dhambi na wala hazibebi tena, alizibeba na alishazilipia. He is
Wee Mokiti hili Swali lako la kuhusu Bi Aisha na umri wake wa kuolewa sasa linakufa hapa kifo cha mende. Ndio nakujibu sasa.

Na pia hili Andiko nitakujibu kwanini Mtume Muhammad(Rehma na Amani iwe juu yake) alikuwa na wake wengi(takribani 9-12) na sababu ya kuwa na hao wake ipo hapo. Otherwise ujifanye hujui Kiingereza.

Did Prophet Muhammad marry a 9-year-old girl?

There is little evidence she (A’isha) was 9 years old. Historical analysis of the sources shows she was 14–16 when she was betrothed.

Also, if you watch Game of Thrones, you would understand how marriage in 7th century Arabia is really not about romance, nor about sexual desire. It was about alliance building, merging clans, solidifying tribal loyalties and also bringing vulnerable women into the protection of powerful leaders.

Prophet Muhammad married 12 women over his lifetime: 1 marriage was for love (Khadijah); 6 marriages (Sawda, Hafsah, Zaynab, Umm Salamah, Umm Habibah, Maymunah) were to vulnerable widowed and divorced women whom Muhammad took into his house and protection; 2 marriages were proposed or requested by the women (Safiyyah, Zaynab); 2 marriages were to form familial and political alliances with another tribe (A’isha, Juwariyah); 1 marriage (Maryam the Copt) was to a slave girl sent to Muhammad by the Archbishop of Alexandria (more on Muhammad’s marriages here).

Contrary to popular myth, A’isha was not six years old when she married Muhammad. All of the historical evidence when examined as a whole suggests that A’isha was born 4 years before Muhammad began his prophetic mission and was married to the Prophet on her father’s initiative in the tenth year of Muhammad’s mission (620) – she was therefore around 14 years of age at the time of betrothal (620 AD) and 16-18 years old at the date of marriage (624 AD) and this was a normal marriage age until quite recently (all the evidence is analyzed in this peer reviewed article and a non peer reviewed but more comprehensive layman article).
Kwa hiyo tukubaliane sasa Hadith sio za kuaminika tena tutafute vyanzo vyengine vya hadith preferably GOOGLE au sio?

Mdogo mdogo mnaanza kuingia kwenye mfumo. Taratibu mnaanza kutambua kuwa kuna vitu ni ushetani na kwa hiyo lazima Hadith zitakuwa zinadanganya maana Mtume hawezi kuwa katili namna hiyo au sio?

Sasa tukatae Hadith zote au tuwe tunachagua vya kukubali ktoka kwenye Hadith? Mnatuchanganya sasa. Now tutumie google tu au tuendelee kuleta reference za kwenye Hadith za Sahih Bukhali?
 
Mtakoma wenyewe sisi tunajikusanya ukoo tunarudi kijijini kwetu tunacheza ngoma weeee tunakunywa mapombe yetu ya jadi, tunachinja mbuzi tunakula minyama weee tunaongea na ndugu zetu walio kwisha kufa alafu tunafunga tukio kwa mkutano mkubwa. Tunaongea vitu vyetu tunafahamiana kwa ukaribu kabisa, tunaonyana, tunapeana ramani za kutoka tukija huku mjini kwenu alafu mwisho kabisa tunarudi kila mtu kwenye makazi yake, baada ya hapo sasa kila mtu anachukua rozari yake na biblia yake
 
Majibu yapo tayari
Majibu kutoka kwenye Hadith au Google? Maana Hadith zinasema namna hii mwenye macho na ajionee.

Narrated `Aisha:

that the Prophet (ﷺ) married her when she was six years old and he consummated his marriage when she was nine years old. Hisham said: I have been informed that `Aisha remained with the Prophet (ﷺ) for nine years (i.e. till his death).

حَدَّثَنَا مُعَلَّى بْنُ أَسَدٍ، حَدَّثَنَا وُهَيْبٌ، عَنْ هِشَامِ بْنِ عُرْوَةَ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ عَائِشَةَ، أَنَّ النَّبِيَّ صلى الله عليه وسلم تَزَوَّجَهَا وَهْىَ بِنْتُ سِتِّ سِنِينَ، وَبَنَى بِهَا وَهْىَ بِنْتُ تِسْعِ سِنِينَ‏.‏ قَالَ هِشَامٌ وَأُنْبِئْتُ أَنَّهَا كَانَتْ عِنْدَهُ تِسْعَ سِنِينَ‏.‏

Reference
Sahih al-Bukhari 5134
Book 67, Hadith 70
Vol. 7, Book 62, Hadith 65

Haya ndo yaliyoandikwa kwenye Hadith haya mengine mnasema nyinyi. Ila nafurahi kuona mmetambua kuwa kilichofanyika ni ukatili kiasi kwamba mnatafuta namna ya kukitolea maelezo. Bahati mbaya ni kwamba Sahih Bukhari was the greatest Hadith writer na kumpinga huyu ni kama kupinga Hadith zote za Mtume.

Nimekupa mpaka Reference haya endelea kubisha sasa.
 
Kwa Mujibu andiko lako ni kwamba YESU amelaaniwa kwa kuangikwa/kutundikwa msalabani ili Wakristo Msamehewa.

SWALI
Kama Yesu amefanywa laana na kulaaniwa ili Wakristo msamehewe, Je siku ya mwisho yesu ataingia Jehanamu ipi?

Kwsnini yesu mmembebesha Mzigo wa Dhambi huku mkitaka aende Motoni ni Nyinyi ndio Muende Peponi?

Kana Yesu amelaaniwa. Je, siku ya mwisho/kiama ataenda wapi?
Hayo maelezo yake nilishayatoa mapema sana nashangaa huelewi chalii angu.

I told you Jesus died because of those sins and laana but alifufuka ( tofauti na wanadamu wengine kuwahi kutokea) na kufufuka kwake ina maana ameyashinda mauti ambayo yanaletwa na dhambi na laana zake. Maelezo haya nimekwambia mapema tu sema kichwa kizito ndugu yangu.

Yesu hana dhambi na wala hazibebi tena, alizibeba na alishazilipia. He is
According to Tabari, Aisha was born before Islam emerged. So when she got married, she was at least 15 or 16.

According to Ibn-e Qatibeh Dinvari, she died at the age of 70 or 69 in the year 57 H.

So she was around 15 years old when she married.

There are more evidence that proves she was not 9...
Kwa hiyo Hadith zinadanganya ? Kwa hiyo Sahih Bukhari muongo au mbona mnatuchanganya?

Sasa tutaamini vipi yale yaliyoandikwa kwenye Hadith kama Waislamu wenyewe mnayapinga?
 
Angalia wazungu wenzako wakristo na Maeneo yao ukristo ulipoanzia walivyooa na kuwa kwenye uhusiano na vibinti vidogo(Waliovunja Ungo). Na hawa ni watu Mashuhuru kuliko wewe, lakini waliielewa Sunnah ya Mtume Muhammad(SAW) na kuoa binti aliyevunja ungo tayari.

According to apocryphal accounts, Mary was 12/14.

33 year old, King John of England, married 12 year old, Isabella.

Margaret Beaufort gave birth to Henry Tudor when she was 13 years old.

In 1476, Joan of France, Duchess of Barrie, was betrothed at 8 days old, and was officially married at age 12.

In 1477, Anne de Mowbray, 8th Countess of Norfolk, was aged 6 when she got married, and died at the age of 10.

In Romeo and Juliet, Juliet was 13 years old, in a play written in the 16th century.

Sasa endelea kubishabisha. Huwezi kufananisha mazingura ya Zamani kwa maumbo ya wanawake na Mazingura ya wanawake wa Sasa.

Pia Mazingira ya kubalehe na kuvunja ungi kwa wanawake yako tofauti tofauti kwa kila maeneo(nchi).
We chizi kweli mwanangu tunatoka kwenye habari za Mtume unaleta habari za wazungu. Sasa nani kasema kuwa wazungu ndo standard ya ukristu?sisi msingi wetu ni Biblia sio wazungu usichanganye mafaili mzee.

Hapa hata sisi hatuzungumzii Waarabu tunazungumzia Mtume specifically.

Choice your examples and references wisely.
 
Hapa nimeweka mpaka Source ilukatafute usome. Ili uelewe.

According to Tabari
According to Ibn-e-Qatibeh Dinvari
So tumsikilze nani? Tabari au Bukhari? Ni nani ni reliable kati ya hawa wanaopingana maana nilivyofundishwa mimi ni kwamba Sahihi Bukhari ndo greatest story (hadith)teller in Islamic traditions.

Kwa hiyo mmoja hapa muongo au sio?
Na kwakuwa kaandika vitabu vingi itakuwa kadanganya pakubwa sana basi.
 
Wakati unaendelea kukorofuka na hoja zangu naomba ujibu swali langu, udikimbie kimbie

umri sahihi wa Mwanamke kuolewa ni Miaka Mingapi?

Alafu kumbuka katika hoja zangu nimekuwekea mpaka Source ukatafute usome ilivuelewe. Sijaweka hoja humu ya maneno matupu. Kila hoja natanguliza ACCORDING TO ____
Kwenye academic writing tunafundishwa sio kila source inafaa kwa reference. Sisi tumetumia the most reliable source in telling Hadith according to Muslims traditions,wewe source yako ni reliable? Sio kila source watu wapite nayo tu.
 
Habarini wana JF,

Tuanze,

(A) Ukisoma MWANZO 19:30—38 kuna ukakasi mkubwa na mashaka makubwa juu ya hiyo Aya. Acha niinukuu.

MWANZO 19:30—38
Mwanzo 19:30-38 ( Lutu akapanda kutoka Soari akakaa mlimani, na binti zake wawili pamoja naye, kwa sababu aliogopa kukaa katika Soari. Akakaa katika pango, yeye na binti zake wawili.
Yule mkubwa akamwambia mdogo, Baba yetu ni mzee, wala hakuna mtu mume katika nchi atuingilie kama ilivyo desturi ya dunia yote.

Haya, na tumnyweshe baba yetu mvinyo, tukalale naye, ili tumhifadhie baba yetu uzao.

Wakamnywesha baba yao mvinyo usiku ule, akaondoka huyo mkubwa akalala naye, wala yeye hana habari alipolala wala alipoondoka.

Ikawa siku ya pili, mkubwa akamwambia mdogo, Tazama, nimelala jana na baba yangu, tumnyweshe mvinyo tena usiku huu, ukaingie ukalale naye.

Wakamnywesha tena baba yao mvinyo usiku ule, akaondoka mdogo akalala naye, wala yeye hana habari alipolala wala alipoondoka.

Basi hao binti wote wawili wa Lutu wakapata mimba kwa baba yao.
Yule mkubwa akazaa mwana, akamwita jina lake Moabu; huyo ndiye baba wa Wamoabi, hata leo.

Na yule mdogo naye akazaa mwana akamwita jina lake Benami; huyo ndiye baba wa Waamoni hata leo.)

Ukisoma hiyo aya kuna mashaka Makubwa ya Nabii Lutu kudhalilishwa kiasi hicho, inawezekanaje Nabii Lutu katembea na Binti zake ndani ya Biblia na kuwapa Mimba? Tena alinyeshwa mvinyo(POMBE) kwa siku mbili mfululizo na kuwatombaz binti zake na kuzaa nao. Hii nadhani ni laana na hiki kizazi ni cha laana. Sasa sijui Bible nzima itakuwa na Laana au itakuwaje!!!

Kuna watu humu walikuwa wanamkashifu Mtume Wetu kwa kumuoa Bi Aisha, tena alimuoa kwa Ndoa kabisa. Na miaka hiyo Bi Aisha alikuwa ameshabalehe tayari.

MASAWLI

(1) JE, NI SAHIHI NABII LUTU KUTEMBEA NA BINTI ZAKE?

(2) HUYU NABII LUTU(NDUGU YAKE NA NABII IBRAHIMU) HAMUONI KAMA AMEDHALILISHWA NDANI YA BIBLIA?

(3) KWANI SIKU YA KWANZA KATEMBEA NA MKUBWA NA HAKUSHTUKA NA KESHO YAKE SIKU YA PILI AKATEMBEA NA MDOGO?

(4) MTUME MUHAMADI KUMUOA BI AISHA NA NABII LUTU KUTEMBEA NA BINTI ZAKE NANIVYUKO SAHIHI?

(5) SWALI LA NYONGEZA:
MTU AKIWA AMELEWA KIASI KWAMBA HAJITAMBUI, ANAWEZAJE KUSIMAMISHA MASHINE NA KUSHIRIKI TENDO?

(B) Pia ukisoma 1 WAKORINTHO 1:25 utakutana na ukakasi mkubwa wa MWENYEZI MUNGU kufananishwa na UPUMBAVU au tuseme MWENYEZI MUNGU ameitwa MPUMBAVU KABISAAAA ndani ya BIBLE. Acha niinukuu Aya.

1 WAKORINTHO 1:25
1 Wakorintho 1:25 (Kwa sababu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi ya wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu zaidi ya wanadamu.)

Kwa upande wangu huo ni udhalilishaji Mkubwa wa Mungu ndani ya Biblia kwa kuambiwa Mpumbavu na pia kuambiwa ni Mdhaifu.

Chukulia uko Sebuleni na Baba yako Mzazi, alafu ghafla wakati mnaongea Mwambie hivi:-

“Unajua Baba wewe ni Mpumbavu ila upumbavu wako sio sawa na huyo jirani yetu Muuza duka hapo nje”

Alafu baada ya hapo msikilizie Baba yako atakavyokasirika, Sasa chukulia ndio anaambiwa Mungu katika hilo andiko hasira zake na gadhabu zitakuwa mara ngapi ya Baba yako na huo Moto wake siku ya Mwisho sijui itakuwaje.

MASWALI

(6) NI SAHIHI MUNGU KUFANANISHWA NA UPUMBAVU?

(7) JE KWELI MUGU NI MPUMBAVU NA NI DHAIFU?

Naombeni Majibu,
Nawasilisha.
Ulisoma mpaka mwisho lakini?.. maana laana iliwafuata

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
DINI YA KUFUGA MAJINI HII. AMA SIIPENDI JAMANI.


YANI HAWAELEWI KITU.
HATA MA SHULENI NA DARASANI AKINA MODI WALIKUWA WANABURUZA MKIA
 
So tumsikilze nani? Tabari au Bukhari? Ni nani ni reliable kati ya hawa wanaopingana maana nilivyofundishwa mimi ni kwamba Sahihi Bukhari ndo greatest story (hadith)teller in Islamic traditions.

Kwa hiyo mmoja hapa muongo au sio?
Na kwakuwa kaandika vitabu vingi itakuwa kadanganya pakubwa sana basi.
Wameshapotezana , mpaka maandiko yao wanayapinga kweupe

Alafu hii ya kupinga maandiko yao ni kwa waislamu tu , sijawahi ona mkristo yupo ashamed na maandiko yake
 
Back
Top Bottom