Maandiko haya mbona kama yana ukakasi na mashaka makubwa?

Maandiko haya mbona kama yana ukakasi na mashaka makubwa?

Habarini wana JF,

Tuanze,

(A) Ukisoma MWANZO 19:30—38 kuna ukakasi mkubwa na mashaka makubwa juu ya hiyo Aya. Acha niinukuu.

MWANZO 19:30—38
Mwanzo 19:30-38 ( Lutu akapanda kutoka Soari akakaa mlimani, na binti zake wawili pamoja naye, kwa sababu aliogopa kukaa katika Soari. Akakaa katika pango, yeye na binti zake wawili.
Yule mkubwa akamwambia mdogo, Baba yetu ni mzee, wala hakuna mtu mume katika nchi atuingilie kama ilivyo desturi ya dunia yote.

Haya, na tumnyweshe baba yetu mvinyo, tukalale naye, ili tumhifadhie baba yetu uzao.

Wakamnywesha baba yao mvinyo usiku ule, akaondoka huyo mkubwa akalala naye, wala yeye hana habari alipolala wala alipoondoka.

Ikawa siku ya pili, mkubwa akamwambia mdogo, Tazama, nimelala jana na baba yangu, tumnyweshe mvinyo tena usiku huu, ukaingie ukalale naye.

Wakamnywesha tena baba yao mvinyo usiku ule, akaondoka mdogo akalala naye, wala yeye hana habari alipolala wala alipoondoka.

Basi hao binti wote wawili wa Lutu wakapata mimba kwa baba yao.
Yule mkubwa akazaa mwana, akamwita jina lake Moabu; huyo ndiye baba wa Wamoabi, hata leo.

Na yule mdogo naye akazaa mwana akamwita jina lake Benami; huyo ndiye baba wa Waamoni hata leo.)

Ukisoma hiyo aya kuna mashaka Makubwa ya Nabii Lutu kudhalilishwa kiasi hicho, inawezekanaje Nabii Lutu katembea na Binti zake ndani ya Biblia na kuwapa Mimba? Tena alinyeshwa mvinyo(POMBE) kwa siku mbili mfululizo na kuwatombaz binti zake na kuzaa nao. Hii nadhani ni laana na hiki kizazi ni cha laana. Sasa sijui Bible nzima itakuwa na Laana au itakuwaje!!!

Kuna watu humu walikuwa wanamkashifu Mtume Wetu kwa kumuoa Bi Aisha, tena alimuoa kwa Ndoa kabisa. Na miaka hiyo Bi Aisha alikuwa ameshabalehe tayari.

MASAWLI

(1) JE, NI SAHIHI NABII LUTU KUTEMBEA NA BINTI ZAKE?

(2) HUYU NABII LUTU(NDUGU YAKE NA NABII IBRAHIMU) HAMUONI KAMA AMEDHALILISHWA NDANI YA BIBLIA?

(3) KWANI SIKU YA KWANZA KATEMBEA NA MKUBWA NA HAKUSHTUKA NA KESHO YAKE SIKU YA PILI AKATEMBEA NA MDOGO?

(4) MTUME MUHAMADI KUMUOA BI AISHA NA NABII LUTU KUTEMBEA NA BINTI ZAKE NANIVYUKO SAHIHI?

(5) SWALI LA NYONGEZA:
MTU AKIWA AMELEWA KIASI KWAMBA HAJITAMBUI, ANAWEZAJE KUSIMAMISHA MASHINE NA KUSHIRIKI TENDO?

(B) Pia ukisoma 1 WAKORINTHO 1:25 utakutana na ukakasi mkubwa wa MWENYEZI MUNGU kufananishwa na UPUMBAVU au tuseme MWENYEZI MUNGU ameitwa MPUMBAVU KABISAAAA ndani ya BIBLE. Acha niinukuu Aya.

1 WAKORINTHO 1:25
1 Wakorintho 1:25 (Kwa sababu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi ya wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu zaidi ya wanadamu.)

Kwa upande wangu huo ni udhalilishaji Mkubwa wa Mungu ndani ya Biblia kwa kuambiwa Mpumbavu na pia kuambiwa ni Mdhaifu.

Chukulia uko Sebuleni na Baba yako Mzazi, alafu ghafla wakati mnaongea Mwambie hivi:-

“Unajua Baba wewe ni Mpumbavu ila upumbavu wako sio sawa na huyo jirani yetu Muuza duka hapo nje”

Alafu baada ya hapo msikilizie Baba yako atakavyokasirika, Sasa chukulia ndio anaambiwa Mungu katika hilo andiko hasira zake na gadhabu zitakuwa mara ngapi ya Baba yako na huo Moto wake siku ya Mwisho sijui itakuwaje.

MASWALI

(6) NI SAHIHI MUNGU KUFANANISHWA NA UPUMBAVU?

(7) JE KWELI MUGU NI MPUMBAVU NA NI DHAIFU?

Naombeni Majibu,
Nawasilisha.
Mi nilijua unataka kujifunza kwa nini hili lilitokea kumbe unataka kujustify kitu
 
Kasome nimeweka nukuu sahih zote utakuta mpaka mtoto alikuwa kadogo maskini wanakalisha eti ili kawe ka toto bonge kapelekwe kwa child molester, dah so sad
Wewe hangaika ukimaliza utaje mwaka alio zaliwa tupige mahesabu hapa
 
Bible is much deep coded book, kila kilichopo kipo kwasababu maalum na siri za Ajabu note this!
Na kauli kama hizi Wachungaj wameztumia Kuwapiga wengi na kukwepa maswali ya hoja[emoji1787][emoji1787]

Dini ni ya kuachana nayo tu na kuamua kuhudhuria ibada kama huelew elew tu ukitaka kuelewa vyote Utakua mpagani hatimaye.
 
Mleta mada tafuta maarifa katika kusoma neno la Mungu sio kuja kuuliza mstari mmojawapo.
Nakuhurumia sana.
1 Petro 3:15 inasema,
1 Petro 3:15 (Mwe tayari siku zote kumjibu kila mtu awaulizaye habari za tumaini lililo ndani yenu; lakini kwa upole na kwa hofu.)

Kwahiyo ukija hapa ujibu swali na si Maneno maneno.
 
1 Petro 3:15 inasema,
1 Petro 3:15 (Mwe tayari siku zote kumjibu kila mtu awaulizaye habari za tumaini lililo ndani yenu; lakini kwa upole na kwa hofu.)

Kwahiyo ukija hapa ujibu swali na si Maneno maneno.
Endelea kusubiria majibu hapa ni sawa na kusubiria ndege bandarini.
 
Kwamba birthday ya mtoto Aisha ndio Nondo Yako ya mwisho [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe jichekeshe kama umeonana na deacon hapa ukimaliza
Lete mwaka tupige mahesabu
Huna
Umeshindwa hoja kaa pembeni.
Au waite wenzio wakusaidie
 
Ingia humo kasome mbona simple Sana
Sikia hiu uongo huu

Mwanzo 32:24-30 (Yakobo akakaa peke yake; na mtu mmoja akashindana naye mweleka hata alfajiri.
Naye alipoona ya kuwa hamshindi, alimgusa panapo uvungu wa paja lake; ukateguka uvungu wa paja la Yakobo alipokuwa akishindana naye.
Akasema, Niache, niende, maana kunapambazuka. Akasema, Sikuachi, usiponibariki.
Akamwuliza, Jina lako n'nani? Akasema, Yakobo.
Akamwambia, Jina lako hutaitwa tena Yakobo, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu, na watu, nawe umeshinda.
Yakobo akamwuliza, akasema, Niambie, tafadhali, jina lako? Akasema, Kwa nini waniuliza jina langu? Akambariki huko.
Yakobo akapaita mahali pale, Penueli, maana alisema, Nimeonana na Mungu uso kwa uso, na nafsi yangu imeokoka.)


Yakobo ndani ya Biblia analazimishwa kubarikiwa Duuh!!!

Eti Yakobo kashindana na Mungu alafu kamshinda. Yani binadamu Yakobo anamshinda Mungu. Duuh!!!

Eti Yakobo kaonana na Mungu usovkwa uso.

Wewe Mokiti una la kujibu hapo.

Alafu usisahau swali langu unalolikwepa

kwamba

Umri Sahihi wa Mwanamke wa kitanzania kuolewa ni umri gani? Taja umri kijana acha kuogopa.
 
Sikia hiu uongo huu

Mwanzo 32:24-30 (Yakobo akakaa peke yake; na mtu mmoja akashindana naye mweleka hata alfajiri.
Naye alipoona ya kuwa hamshindi, alimgusa panapo uvungu wa paja lake; ukateguka uvungu wa paja la Yakobo alipokuwa akishindana naye.
Akasema, Niache, niende, maana kunapambazuka. Akasema, Sikuachi, usiponibariki.
Akamwuliza, Jina lako n'nani? Akasema, Yakobo.
Akamwambia, Jina lako hutaitwa tena Yakobo, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu, na watu, nawe umeshinda.
Yakobo akamwuliza, akasema, Niambie, tafadhali, jina lako? Akasema, Kwa nini waniuliza jina langu? Akambariki huko.
Yakobo akapaita mahali pale, Penueli, maana alisema, Nimeonana na Mungu uso kwa uso, na nafsi yangu imeokoka.)


Yakobo ndani ya Biblia analazimishwa kubarikiwa Duuh!!!

Eti Yakobo kashindana na Mungu alafu kamshinda. Yani binadamu Yakobo anamshinda Mungu. Duuh!!!

Eti Yakobo kaonana na Mungu usovkwa uso.

Wewe Mokiti una la kujibu hapo.

Alafu usisahau swali langu unalolikwepa

kwamba

Umri Sahihi wa Mwanamke wa kitanzania kuolewa ni umri gani? Taja umri kijana acha kuogopa.
Dah hapo kwenye kushindana na Mungu kwa mieleka
Alafu Mungu. Anashindwa.

Ndio maana wayahudi hawakumulewa
Wakamtandika

Mikwaju hasa
 
Sikia hiu uongo huu

Mwanzo 32:24-30 (Yakobo akakaa peke yake; na mtu mmoja akashindana naye mweleka hata alfajiri.
Naye alipoona ya kuwa hamshindi, alimgusa panapo uvungu wa paja lake; ukateguka uvungu wa paja la Yakobo alipokuwa akishindana naye.
Akasema, Niache, niende, maana kunapambazuka. Akasema, Sikuachi, usiponibariki.
Akamwuliza, Jina lako n'nani? Akasema, Yakobo.
Akamwambia, Jina lako hutaitwa tena Yakobo, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu, na watu, nawe umeshinda.
Yakobo akamwuliza, akasema, Niambie, tafadhali, jina lako? Akasema, Kwa nini waniuliza jina langu? Akambariki huko.
Yakobo akapaita mahali pale, Penueli, maana alisema, Nimeonana na Mungu uso kwa uso, na nafsi yangu imeokoka.)


Yakobo ndani ya Biblia analazimishwa kubarikiwa Duuh!!!

Eti Yakobo kashindana na Mungu alafu kamshinda. Yani binadamu Yakobo anamshinda Mungu. Duuh!!!

Eti Yakobo kaonana na Mungu usovkwa uso.

Wewe Mokiti una la kujibu hapo.

Alafu usisahau swali langu unalolikwepa

kwamba

Umri Sahihi wa Mwanamke wa kitanzania kuolewa ni umri gani? Taja umri kijana acha kuogopa.
Unataka kusema Muhammad Ali copy tu jina Israel hakujua maana yake akapachika kwenye Koran 😂😂😂😂😂😂
 
Unataka kusema Muhammad Ali copy tu jina Israel hakujua maana yake akapachika kwenye Koran [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo ndio ushataja mwaka wa kuolewa mwanamke wa kitanzania

Au hata kenya

Naona wakubwa zako wazungu umewakataaa
Hapa leo
 
Back
Top Bottom