Maandiko haya mbona kama yana ukakasi na mashaka makubwa?

Maandiko haya mbona kama yana ukakasi na mashaka makubwa?

Wewe unaugulia maumivu
Naweka point zangu mpaka na nukuu wazi kabisa bisha kwa hoja , wewe mpaka umefikia mbali nikiweka nukuu ya maandiko yako unasema yameokotwa
Hahahahaha sasa kama umeokota usiambiwe wewe ni nani

Ulivyo juha unataka nukuu zako zikubaliwe ila za wenzako uzikatae

Wewe endelea kuokoteza huko Google
 
Umri ambao sio wa mtoto , najua unaujua vizuri umri wa mtoto
Jibu Swali acha kuzugazuga

Hapa Tanzania, umri sahihi wa Mwanamke kuolewa ni miaka Mingapi?

Na Kenya pia umri sahihi wa Mwanamke kuolewa ni miaka mingapi?
 
Unaposema MUNGU hafananishwi na chochote Ni kwa mujibu wa kitabu gani?Kwa mujibu wa biblia MUNGU mwenyewe amemuumba mwanadamu kwa sura na mfano wake.
Tunashukuru kwaio Mungu wa kwenye biblia anakasoro mfano wa walemavu wanaozaliwa na ulemavu wao ni mfano wa Mungu pia wa kwenye biblia
Kuna muda ana ulemavu

Asante
 
Mleta mada tafuta maarifa katika kusoma neno la Mungu sio kuja kuuliza mstari mmojawapo.
Nakuhurumia sana.
 
Ingia kasome
Au dawa imekuingia unashindwa kuweka umri sahihi wa mwanamke wa Kitanzania kuolewa hapa. Kweli umeshindwa Mada. Kuweka umri tuvnako ni shida?

Haya jibu swali usije ukachekwa na Wakristo wenzako. Wanakutegemea humu ujue.

Hapa Tanzania, umri sahihi wa Mwanamke kuolewa ni miaka Mingapi?

Na Kenya pia umri sahihi wa Mwanamke kuolewa ni miaka mingapi?
 
Au dawa imekuingia unashindwa kuweka umri sahihi wa mwanamke wa Kitanzania kuolewa hapa. Kweli umeshindwa Mada. Kuweka umri tuvnako ni shida?

Haya jibu swali usije ukachekwa na Wakristo wenzako. Wanakutegemea humu ujue.

Hapa Tanzania, umri sahihi wa Mwanamke kuolewa ni miaka Mingapi?

Na Kenya pia umri sahihi wa Mwanamke kuolewa ni miaka mingapi?
Ingia humo kasome mbona simple Sana
 
Back
Top Bottom