Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Siku ya Hedhi Salama huadhimishwa ikiwa na lengo la kuleta pamoja sauti za wadau mbalimbali ili kuhamasisha Hedhi salama kwa Wasichana na Wanawake
Siku hii huvunja ukimya na kubadili mitazamo hasi iliyopo katika Jamii kuhusu masuala ya Hedhi
Maadhimisho haya yanalenga kuhamasisha upatikanaji wa mahitaji yote muhimu kwa Mtoto wa Kike kama pedi, Maji safi na salama na sehemu salama ya kubadilisha pedi kwa wakati
Siku hii huvunja ukimya na kubadili mitazamo hasi iliyopo katika Jamii kuhusu masuala ya Hedhi
Maadhimisho haya yanalenga kuhamasisha upatikanaji wa mahitaji yote muhimu kwa Mtoto wa Kike kama pedi, Maji safi na salama na sehemu salama ya kubadilisha pedi kwa wakati