Tetesi: Maaskofu Katoliki wadaiwa kukutana na kujadili juu ya mkataba wa Serikali ya Samia na waarabu wa DP World

Tetesi: Maaskofu Katoliki wadaiwa kukutana na kujadili juu ya mkataba wa Serikali ya Samia na waarabu wa DP World

Mi ningekuwa Samia ningelifuta kanisa katoliki halafu nione kama wataenda mahakamani. Sema tu ukilifunga unapukutisha ajira za mapadre na maaskofu mana huku mtaani hawaajiriki. Hakuna kampuni inayotaka elimu ya theology

Sio rahis kihivyo
 
Yesu hakuwahi ingia kanisani Wala Ibada zake hazikuhusiana na za kanisa za kula mikate,kunywa na kupiga makelele,alisali hekaluni/sinagogi na Wala hakutoa mapepo,kuponya watu,kufufua kwa makelele Kama kapandwa wazimu,Wala hakusema 'kwa jina langu pepo toka'

7e9b1583-f1d1-4823-9051-67f805d2a94b.jpg
 
Wacha sasa nihitimishe tu; kwamba wewe ni mjinga, ndio maana ukamtaka Samia alifute Kanisa Katoliki.
[/QUOTE
Heshimuni proffesions za watu. Mapadre wale wameaoma theology na hawajui chochote kuhusu mambo ya uwekezaji. Mi naheshimu sana proffesions za watu siwezi kusema kila kitu ambacho sijasomea. Kama.ambacho watanzania no wajuaji bila knowledge yoyote kama wewe. Pili let kanisa libaki kuwa kanisa
 
Mi ningekuwa Samia ningelifuta kanisa katoliki halafu nione kama wataenda mahakamani. Sema tu ukilifunga unapukutisha ajira za mapadre na maaskofu mana huku mtaani hawaajiriki. Hakuna kampuni inayotaka elimu ya theology
Duuh [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nani aliyekudanganya tukiibiwa mapadre hawajui wewe mjinga? na kuheshimu taaluma za watu, sio kufumbia macho wizi na ujinga, unaoandikwa kwenye mikataba husika.

Kaa chini tafakari.
 
Habarini wapendwa kanisa kama taasisi imara itakaa na kupitia kwa kina kile walichokikosoa kwenye mkataba wa dp world na samia km kweli yamefanyiwa kazi au kiini nacho tu.

Ikumbukwe mkataba haujaonyeshwa kwa umma ila viongozi wamekuwa wakitamka yale yaliyomo kwenye mkataba.

Kwa kuwa bunge halitimizi wajibu wake kanisa linawajibu wa kufanya kazi bila kuwa na konakona.

Katibu wa TEC alitoa muda kwa Maaskofu kupitia mikataba iliyosainiwa kabla ya kukutana.

Mungu ni mwema.
Hao maaskofu wangejikita katika masuala ya kiroho haya ya kiuchumi yamewazidi kimo. Wasilete nongwa za kipuuzi watulie tu.

Mkataba uliosainiwa pale Ikulu ni wa kibiashara na hakuna mtu hata mmoja wa serikalini atakayethubutu kuuweka hadharani, atakuwa anajitafutia maumivu makubwa yeye na familia yake.

Mikataba hii ya sasa ni siri za kibiashara haiwekwi wazi hovyo tu eti kila mtu aweze kuisoma!, hakuna ujinga kama huo duniani pote.
 
Nani aliyekudanganya tukiibiwa mapadre hawajui wewe mjinga? na kuheshimu taaluma za watu, sio kufumbia macho wizi na ujinga, unaoandikwa kwenye mikataba husika.

Kaa chini tafakari.
Mkataba uliokwisha kusainiwa mbele ya Rais na Makamu wake hauwezi tena kuja kuvuja humu mitandaoni, ni siri za kibiashara za pande mbili, serikali na DP World.

Ule IGA uliovuja hauna tatizo kwa mwekezaji kwani ni kanuni tu, ni ufupisho tu wa nini kinakwenda kufanyika.
 
Mi ningekuwa Samia ningelifuta kanisa katoliki halafu nione kama wataenda mahakamani. Sema tu ukilifunga unapukutisha ajira za mapadre na maaskofu mana huku mtaani hawaajiriki. Hakuna kampuni inayotaka elimu ya theology
Afya ya akili.
 
Hawa wamedekeshwa miaka mingi na kujiona kichwa kikubwa kutaka kuingilia yasio wahusu.
Kama kuna tatizo la bandari, ni tatizo la watanzania wote na kuna njia na taasisi za dola kushughulikia ikiwamo bunge, mahakama, serikali au baraza la mawaziri n.k
Hii ta TEC kushupalia ni uchochezi ambao hauwezi kuvumilika.
Huyo Father Kitima ni mtu wa CHADEMA, kuna anachotafuta na atakipata.
 
Kama mkatoliki pia sitegemei kwa kanisa kurudi nyuma pasi nakuona huo mkataba mpya ambao wahaini hawa wa nchi wanadai wameulekebisha
Mkataba huo uliosainiwa ukiwekwa hadharani maana yake serikali yetu imeshtakiwa na hao DP World, mapadre wangejikita kwenye masuala ya liturjia za kanisa haya masuala ya kiuchumi wayaache kwa wataalam.
 
Mi ningekuwa Samia ningelifuta kanisa katoliki halafu nione kama wataenda mahakamani. Sema tu ukilifunga unapukutisha ajira za mapadre na maaskofu mana huku mtaani hawaajiriki. Hakuna kampuni inayotaka elimu ya theology
Aahaaaaa
 
Back
Top Bottom