Chuo gani?!Nimekwambia siwezi kukiby mi nimecoma BSc in economics sijasoma sheria. Muulize katika angle za uchumi nitakujibi mijarabu kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chuo gani?!Nimekwambia siwezi kukiby mi nimecoma BSc in economics sijasoma sheria. Muulize katika angle za uchumi nitakujibi mijarabu kabisa
MzumbeChuo gani?!
Mi ningekuwa Samia ningelifuta kanisa katoliki halafu nione kama wataenda mahakamani. Sema tu ukilifunga unapukutisha ajira za mapadre na maaskofu mana huku mtaani hawaajiriki. Hakuna kampuni inayotaka elimu ya theology
Mtanganyika ni wewe peke yako. Mimi Mtanzania.Uteuzi wa biteko na makonda haiwezi kufanya watanganyika wasahau mkataba mbovu uliyosainiwa
Inasemwa waarabu watakuwa wanaboroshewa mkataba kila mwaka hadi wa awali usimame km ikivyokuwa
Hata samia alisoma huko 😆😆Mzumbe
Wacha sasa nihitimishe tu; kwamba wewe ni mjinga, ndio maana ukamtaka Samia alifute Kanisa Katoliki.Nimekwambia siwezi kukiby mi nimecoma BSc in economics sijasoma sheria. Muulize katika angle za uchumi nitakujibi mijarabu kabisa
Yesu hakuwahi ingia kanisani Wala Ibada zake hazikuhusiana na za kanisa za kula mikate,kunywa na kupiga makelele,alisali hekaluni/sinagogi na Wala hakutoa mapepo,kuponya watu,kufufua kwa makelele Kama kapandwa wazimu,Wala hakusema 'kwa jina langu pepo toka'
Wacha sasa nihitimishe tu; kwamba wewe ni mjinga, ndio maana ukamtaka Samia alifute Kanisa Katoliki.
[/QUOTE
Heshimuni proffesions za watu. Mapadre wale wameaoma theology na hawajui chochote kuhusu mambo ya uwekezaji. Mi naheshimu sana proffesions za watu siwezi kusema kila kitu ambacho sijasomea. Kama.ambacho watanzania no wajuaji bila knowledge yoyote kama wewe. Pili let kanisa libaki kuwa kanisa
Duuh [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mi ningekuwa Samia ningelifuta kanisa katoliki halafu nione kama wataenda mahakamani. Sema tu ukilifunga unapukutisha ajira za mapadre na maaskofu mana huku mtaani hawaajiriki. Hakuna kampuni inayotaka elimu ya theology
Kasahau kuwa pia tuko tutaoanza rasmi uhainiWewe ni mpumbavu na upumbavu wako umekuponza tayali.
Hao maaskofu wangejikita katika masuala ya kiroho haya ya kiuchumi yamewazidi kimo. Wasilete nongwa za kipuuzi watulie tu.Habarini wapendwa kanisa kama taasisi imara itakaa na kupitia kwa kina kile walichokikosoa kwenye mkataba wa dp world na samia km kweli yamefanyiwa kazi au kiini nacho tu.
Ikumbukwe mkataba haujaonyeshwa kwa umma ila viongozi wamekuwa wakitamka yale yaliyomo kwenye mkataba.
Kwa kuwa bunge halitimizi wajibu wake kanisa linawajibu wa kufanya kazi bila kuwa na konakona.
Katibu wa TEC alitoa muda kwa Maaskofu kupitia mikataba iliyosainiwa kabla ya kukutana.
Mungu ni mwema.
Mkataba uliokwisha kusainiwa mbele ya Rais na Makamu wake hauwezi tena kuja kuvuja humu mitandaoni, ni siri za kibiashara za pande mbili, serikali na DP World.Nani aliyekudanganya tukiibiwa mapadre hawajui wewe mjinga? na kuheshimu taaluma za watu, sio kufumbia macho wizi na ujinga, unaoandikwa kwenye mikataba husika.
Kaa chini tafakari.
Afya ya akili.Mi ningekuwa Samia ningelifuta kanisa katoliki halafu nione kama wataenda mahakamani. Sema tu ukilifunga unapukutisha ajira za mapadre na maaskofu mana huku mtaani hawaajiriki. Hakuna kampuni inayotaka elimu ya theology
Huyo Father Kitima ni mtu wa CHADEMA, kuna anachotafuta na atakipata.Hawa wamedekeshwa miaka mingi na kujiona kichwa kikubwa kutaka kuingilia yasio wahusu.
Kama kuna tatizo la bandari, ni tatizo la watanzania wote na kuna njia na taasisi za dola kushughulikia ikiwamo bunge, mahakama, serikali au baraza la mawaziri n.k
Hii ta TEC kushupalia ni uchochezi ambao hauwezi kuvumilika.
Mkataba huo uliosainiwa ukiwekwa hadharani maana yake serikali yetu imeshtakiwa na hao DP World, mapadre wangejikita kwenye masuala ya liturjia za kanisa haya masuala ya kiuchumi wayaache kwa wataalam.Kama mkatoliki pia sitegemei kwa kanisa kurudi nyuma pasi nakuona huo mkataba mpya ambao wahaini hawa wa nchi wanadai wameulekebisha
AahaaaaaMi ningekuwa Samia ningelifuta kanisa katoliki halafu nione kama wataenda mahakamani. Sema tu ukilifunga unapukutisha ajira za mapadre na maaskofu mana huku mtaani hawaajiriki. Hakuna kampuni inayotaka elimu ya theology
Mchezo ndio umekwisha, wanapoteza muda tu.Wanajisumbua tu huwezi kupambana na serikali za kiafrica hata siku ni kupoteza muda wako tu