Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Itakuwa ni kazi njema na iliyotukukaHabarini wapendwa kanisa kama taasisi imara itakaa na kupitia kwa kina kile walichokikosoa kwenye mkataba wa dp world na samia km kweli yamefanyiwa kazi au kiini nacho tu.
Ikumbukwe mkataba haujaonyeshwa kwa umma ila viongozi wamekuwa wakitamka yale yaliyomo kwenye mkataba.
Kwa kuwa bunge halitimizi wajibu wake kanisa linawajibu wa kufanya kazi bila kuwa na konakona.
Katibu wa TEC alitoa muda kwa Maaskofu kupitia mikataba iliyosainiwa kabla ya kukutana.
Mungu ni mwema.
Kwa sasa Tanzania Mkombozi ji Chadema na TEC tu.
Vile vyombo vyetu tulivyoamini vimeungana na wezi