saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
nchi hii haina dini we kengeYangu macho tuone dini na serikali nani mwenyewe nguvuView attachment 2802808
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nchi hii haina dini we kengeYangu macho tuone dini na serikali nani mwenyewe nguvuView attachment 2802808
hivi kumbe kuna mpumbavu km wewe hapa duniani na bado useme umeenda shule?hapana inasemeka tec ndio wameiweka serikali madarakani na taifa kwa ujumla linaongozwa na tec bila tec serikali hakuna laiti waisilamu wangelikuwa ndio hao tec wangeshavamiwa hadi misikitini kisingizio wanapanga shambulizi la kigaidi ila imefikia wakati taasisi za kidini ziendelee na mahubiri kwa waumini wake wamfahamu mungu wao iweke pembeni siasa na serikali liendelee na majukumu ya kitaifa na kimatafa kazi iendelee
Kwamba na Mkataba wa HGA wameshaupata.Naweza nikaamini .
Maana kanisa katoliki lina mfumo ndani ya mfumo.
Hawa sio wa kupuuza hata kidogo.
nilitegemea majibu kama haya hususan kwa mkereketwa kama wewe na bado utatukana sana lakini huo ndio ukweli halisi,ukiendelea kuchukia sana kunywa maji meengi kisha ukalalehivi kumbe kuna mpumbavu km wewe hapa duniani na bado useme umeenda shule?
Bali inamavinchi hii haina dini we kenge
Siwezi nikajua.Kwamba na Mkataba wa HGA wameshaupata.
Duh! kumbe wanaoujua ukristo bado wapo? ah.. hizi kwa kweli ni habari njema!Ni kweli kelele siyo utaratibu wa Yesu.
Huo ni wa majizi na matapeli yanayotumia jina lake.
Habari ya kula mkate na kunywa divai anahusika.
Aliponya na kufufua kwa maneno machache na mafupi bila kelele.
Kumbuka, "Msipayuke kama watu wa mataifa, maana hao hudhani kua watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mention.......
Wanaojiita manabii wengi wa siku hizi wanatambulishwa na maneno haya kuwa kinyume kabisa na Yesu Kristo.
Uthibitisho mwingine ni ushabiki na ushirika na watawala waovu, wasiotenda haki.
Bongo makenge wengi sanaMi ningekuwa Samia ningelifuta kanisa katoliki halafu nione kama wataenda mahakamani. Sema tu ukilifunga unapukutisha ajira za mapadre na maaskofu mana huku mtaani hawaajiriki. Hakuna kampuni inayotaka elimu ya theology
Miongoni mwa wanufaika wakubwa wamadili yakishenzi nipamoja nahao wanaojiita viongozi wadini mfano pesa alizo pigania kafulila mpaka akaitwa tumbili kunaviongozi wadini wanamgao pale waulizwe walirudisha?lakini kinacho takakutukosesha pesa hizi zabandari niudini tu na maslahi binafsi"Kuna mikataba mibovu mingi TUMEINGIA nyuma huko", ndiyo maana na bandari mnapigwa,maana hata akijitokeza mtu wa kuwasaidia mnamuuliza "ulikuwa wapi?"
Vipi pesa alizopigania kafulila unskumbukumbu viongozi wangapi wadini walipata mgao?
Kardinali mpya alishapewa zawadi ya vazi jipya pale Tabora!Habarini wapendwa kanisa kama taasisi imara itakaa na kupitia kwa kina kile walichokikosoa kwenye mkataba wa dp world na samia km kweli yamefanyiwa kazi au kiini nacho tu.
Ikumbukwe mkataba haujaonyeshwa kwa umma ila viongozi wamekuwa wakitamka yale yaliyomo kwenye mkataba.
Kwa kuwa bunge halitimizi wajibu wake kanisa linawajibu wa kufanya kazi bila kuwa na konakona.
Katibu wa TEC alitoa muda kwa Maaskofu kupitia mikataba iliyosainiwa kabla ya kukutana.
Mungu ni mwema.
Una umri wa miaka mingapi! Argument zako za kitoto sanaVipi pesa alizopigania kafulila unskumbukumbu viongozi wangapi wadini walipata mgao?
Kafulila naye keshamegewa mafungu... Nadhani tatizo ni njaa na tamaa!Miongoni mwa wanufaika wakubwa wamadili yakishenzi nipamoja nahao wanaojiita viongozi wadini mfano pesa alizo pigania kafulila mpaka akaitwa tumbili kunaviongozi wadini wanamgao pale waulizwe walirudisha?lakini kinacho takakutukosesha pesa hizi zabandari niudini tu na maslahi binafsi
Sivyo nachoamini nikuwa ulempango wakupitisha vitu bure bandarini unakwenda kukoma alafu pesa tunayokodisha tutakuwa tunapata pato kubwa kuliko sasa tuingize pesa nyingi kuliko sasa tuite tunapigwa. Tuache hali yasasa tuite hatupigwi ila tunanufaika hivi tunaakili kweli kugeuza rangi nyeupe tuite nyeusi?Kwahiyo unafurahi tuendelee kupigwa hata baada ya kugundua kuwa tunapigwa, utakuwa na akili nyingi wewe!!
haitakaa itokee eti nini mzungu atake alafu wakatae milima na mabonde yatasambaratikaNauliza kama huu mkataba ungekuwa umasainiwa na makampuni ya wazungu, hawa maaskofu wangetumia nguvu kiasi hiki.
Hii nguvu inayotumika huku mbona hatuioni kwenye madini na gesi.
Missionaries = agents of colonialism