Maaskofu KKKT wacharuka - Katibu Kitundu Aliwalisha Maneno Alipozungumzia Mgogoro wa Konde

Maaskofu KKKT wacharuka - Katibu Kitundu Aliwalisha Maneno Alipozungumzia Mgogoro wa Konde

Shoo hawajui wajumbe wa mkutano mkuu.
Shoo hana mamlaka yakuwaandikia barua wajumbe wa mkutano mkuu.
Shoo ni muangalizi mkuu wa kanisa la kilutheri Tanzania.
Katibu mkuu wa konde ndiye mpeleka nyaraka kwa wajumbe.
Mwaikali watakaokuumiza Siku zijazo ni wapambe wako unaodhani wanakusaidia.
Kama akili zinakutosha fikiri haya.
1.Kwanini wajumbe hawakuhoji kwenye mkutano mkuu kutokuwepo kwako kama kweli ulikuwa unapendwa.
2.Kwanini hawakuhoji agenda yakutokuwa na imani na wewe kuwa haijapitishwa na H/kuu.
3.Nani aliwalipia wajumbe.
4.Mahali ulipofanyika mkutano aliaandaa huyo Shoo.
5.Uliitumia vibaya katiba ya konde na wajumbe wa vikao vya chini kwa kuwaburuza unachotaka,wenzio wamewatumia vizuri wajumbe wa mkutano mkuu ndio waliokuingiza uwe Askofu.
Ushauri.Ondoka konde nenda sehemu katulie ufundishe.Wapambe wanakuangamiza siku si nyingi.
Mkuu wa kanisa ni TAASISI pana,usimchukulie SHOO,Mchukulie Mkuu wa Kanisa,
 
Back
Top Bottom