The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Sisi Mashehe tunasema mama anaupiga mwingi.
Nani kama Mama?
Nchi inaenda vizuri , hakuna utekaji hizo ni drama tu hakuna wizi wa kura na pia vifo tutasikitika kwa watakaofia India tu.
Akifa kwa drama za kutekwa tunasema "kifo ni kifo"
Mitano tena kwa mama.
View attachment 3164815View attachment 3164816
Huyu mjinga wakati wa jiwe alikimbia kabisa JF, amerudi baada ya Hangaya, wakati wa kikwete alikuwa ni kamaUislamu wa Tanzania unabariki haya yanayoendelea nchini!
Hivi unajua kwamba sheria nyingi kama si zote zinazotumika kuongoza watu ukiwemo wewe zimetoka kwenye bible una habari hiyo? Hivyo ndivyo vichwa vyakutunga sheria Kaa kwakutuliaFriends and Our Enemies,
Kuendelea kuwapuuzia MAASKOFU kwa hizi fujo zao wanazoendelea nazo eti kwa kujificha kwao nyuma ya kivuli cha uzalendo na kuwasemea wananchi kunaleta ukakasi sana. Kwanza Tokea lini MAASKOFU wakawa na uchungu na Taifa hili?
Kipindi hiko watu wanapigania uhuru wa nchi hii kanisa halikua na habari hata chembe na vugu vugu hilo na badala yake walikuwa baridi wakiunga mkono mkoloni kwa kuwa ndie hasa alikuwa anawapa wao kipaombele KATIKA Kila nyanja zikiwemo Afya,Elimu na kadhalika.
Ni kawaida yao MAASKOFU kuwa kimbele mbele hasa Regime zikiwa sizo za wanakondoo wao.
Tunawaambia MAASKOFU waache choko choko na fujo,kama wanaitaka SIASA waende kwa MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA, wapewe utaratibu wa kufungua CHAMA chao ili waingie ulingoni, tujue moja kazi YENU ni kuongoza Wana kondoo wenu au kupambana na serikali?
Kwahiyo hata Sheria ya ndoa za wase.nge zimetoka huko huko kwenye bible siyo?Hivi unajua kwamba sheria nyingi kama si zote zinazotumika kuongoza watu ukiwemo wewe zimetoka kwenye bible una habari hiyo? Hivyo ndivyo vichwa vyakutunga sheria Kaa kwakutulia
Jesus hakuacha kanisa,ni wazungu wamewabrainwash kwa kitu ambacho sicho, Jesus alishuka middle east,sasa huko Vatican imekuaje TENA iwe chimbuko kuu la kanisa?Unaamini haya maneno yako yatadhoofisha ustawi wa kanisa Katoliki?
Kanisa ambalo limemgrom mwamedi kutengeneza dini ya hakhi?
Ndio maana kashfa za mapadre kuwakula kondoo zinaongezeka kila uchao kwasababu Maaskofu hawawasimamii tena, bali wako bize na matamko! Ahahahahaha!!!Friends and Our Enemies,
Kuendelea kuwapuuzia MAASKOFU kwa hizi fujo zao wanazoendelea nazo eti kwa kujificha kwao nyuma ya kivuli cha uzalendo na kuwasemea wananchi kunaleta ukakasi sana. Kwanza Tokea lini MAASKOFU wakawa na uchungu na Taifa hili?
Kipindi hiko watu wanapigania uhuru wa nchi hii kanisa halikua na habari hata chembe na vugu vugu hilo na badala yake walikuwa baridi wakiunga mkono mkoloni kwa kuwa ndie hasa alikuwa anawapa wao kipaombele KATIKA Kila nyanja zikiwemo Afya,Elimu na kadhalika.
Ni kawaida yao MAASKOFU kuwa kimbele mbele hasa Regime zikiwa sizo za wanakondoo wao.
Tunawaambia MAASKOFU waache choko choko na fujo,kama wanaitaka SIASA waende kwa MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA, wapewe utaratibu wa kufungua CHAMA chao ili waingie ulingoni, tujue moja kazi YENU ni kuongoza Wana kondoo wenu au kupambana na serikali?
Wewe mwenyewe nasikia UNAKAZ ... .. ......WA na mmojawapo 😀🤣Ndio maana kashfa za mapadre kuwakula kondoo zinaongezeka kila uchao kwasababu Maaskofu hawawasimamii tena, bali wako bize na matamko! Ahahahahaha!!!
Lengo lao ni kukemea maovu kwenye jamii. Ni moja ya majukumu hayo na hata wakati mwingine serikali imekuwa ikiwahimiza kufanya hivyoLengo lao limeshafahamika,hizo ni kelele za chura tuh,serikali inaendelea na kazi kama kawaida.
Hongera mleta mada kwa kusaidia kuwatoa wananchi usingiziniFriends and Our Enemies,
Kuendelea kuwapuuzia MAASKOFU kwa hizi fujo zao wanazoendelea nazo eti kwa kujificha kwao nyuma ya kivuli cha uzalendo na kuwasemea wananchi kunaleta ukakasi sana. Kwanza Tokea lini MAASKOFU wakawa na uchungu na Taifa hili?
Kipindi hiko watu wanapigania uhuru wa nchi hii kanisa halikua na habari hata chembe na vugu vugu hilo na badala yake walikuwa baridi wakiunga mkono mkoloni kwa kuwa ndie hasa alikuwa anawapa wao kipaombele KATIKA Kila nyanja zikiwemo Afya,Elimu na kadhalika.
Ni kawaida yao MAASKOFU kuwa kimbele mbele hasa Regime zikiwa sizo za wanakondoo wao.
Tunawaambia MAASKOFU waache choko choko na fujo,kama wanaitaka SIASA waende kwa MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA, wapewe utaratibu wa kufungua CHAMA chao ili waingie ulingoni, tujue moja kazi YENU ni kuongoza Wana kondoo wenu au kupambana na serikali?
Mi nadhani waache tu waendelee kutoa matamko kwa sababu hayaleti athari zozote. Matamko Yao hata sasa hayajasaidia kubadili chochote!Sasa MAASKOFU kama wanaona chagadema wameonewa si waungane nao?
MATAMKO yao wapeleke Vatican.
Waraka zao wakafungie vitumbua.
Asipokuelewa basi ni sikio la kufa!Kijana umekuwa brainwashed au ni upofu wako tu??,, eti ukubwa wa serikali na nguvu zake!!!!!,,, kuwa na kiasi Bwana mdogo,,, Nguvu ya serikali Huwa hasemwi hivi Kwa nje Nguvu ya serikali ni watu na Kwa ndani Tunafanya Mambo YETU bila hype za namna hii,, nyie endeleeni na ubishi wenu tu lakin usifike kipimo hiki,,, everything run by human has its own limits,,, Take care,,, arrogance siyo sehemu ya system ya watu wastaarabu,,,
Jitu kama hili linaamini dini yake inakua kwa kukashifu za wenzieNa hivyo vitoto vidogo vinavyolawitiwa na mapdre huko kwenye Sunday schools kwani hatujui??
Mipadre ina nyege ya kufa mtu kuoa imekatazwa KWANINI wasilawiti watoto,nyie hamuogopi??
Hujui historia ya kanisa, hivyo huwezi kuwa na jibu,uelewa wako wa KISODAJesus hakuacha kanisa,ni wazungu wamewabrainwash kwa kitu ambacho sicho, Jesus alishuka middle east,sasa huko Vatican imekuaje TENA iwe chimbuko kuu la kanisa?
Huwa naliita kubwa JINGA, linapatikana mara nyingi Mtwara mjini!!Jitu kama hili linaamini dini yake inakua kwa kukashifu za wenzie
Gentleman,
umeeleza jambo la maana kwa uzito unaostahili kabisa..
ni dhahiri ikiwa kazi ya kuhubiri neno la Mungu imewashinda, ni vyema wakaanzisha chama cha siasa na kuomba usajili,
halafu makanisa yao ndiyo yakawa ofisi za hicho chama chao, ambapo ubatizo na maungamo yawe yanatolewa kwenye mikutano ya hadhara🐒
Taasisi za kidini zina mchango mkubwa katika kuimarisha demokrasia, utawala bora, haki za binadamu, uwajibikaji, na utu katika jamii ya kidemokrasia inayoheshimu misingi ya utu na ustawi wa watu. Kwanza, taasisi hizi zinatoa mafunzo ya maadili na uongozi wa haki kupitia mafundisho yao, ambayo yanasisitiza umuhimu wa upendo, amani, usawa, na heshima kwa kila mtu. Kwa mfano, Baraza la Maaskofu wa Katoliki Tanzania (TEC) na Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) mara nyingi huandaa semina za viongozi wa umma na wanasiasa kuhusu uadilifu na wajibu wao kwa wananchi.Friends and Our Enemies,
Kuendelea kuwapuuzia MAASKOFU kwa hizi fujo zao wanazoendelea nazo eti kwa kujificha kwao nyuma ya kivuli cha uzalendo na kuwasemea wananchi kunaleta ukakasi sana. Kwanza Tokea lini MAASKOFU wakawa na uchungu na Taifa hili?
Kipindi hiko watu wanapigania uhuru wa nchi hii kanisa halikua na habari hata chembe na vugu vugu hilo na badala yake walikuwa baridi wakiunga mkono mkoloni kwa kuwa ndie hasa alikuwa anawapa wao kipaombele KATIKA Kila nyanja zikiwemo Afya,Elimu na kadhalika.
Ni kawaida yao MAASKOFU kuwa kimbele mbele hasa Regime zikiwa sizo za wanakondoo wao.
Tunawaambia MAASKOFU waache choko choko na fujo,kama wanaitaka SIASA waende kwa MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA, wapewe utaratibu wa kufungua CHAMA chao ili waingie ulingoni, tujue moja kazi YENU ni kuongoza Wana kondoo wenu au kupambana na serikali?
Taasisi za kidini zina mchango mkubwa katika kuimarisha demokrasia, utawala bora, haki za binadamu, uwajibikaji, na utu katika jamii ya kidemokrasia inayoheshimu misingi ya utu na ustawi wa watu. Kwanza, taasisi hizi zinatoa mafunzo ya maadili na uongozi wa haki kupitia mafundisho yao, ambayo yanasisitiza umuhimu wa upendo, amani, usawa, na heshima kwa kila mtu. Kwa mfano, Baraza la Maaskofu wa Katoliki Tanzania (TEC) na Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) mara nyingi huandaa semina za viongozi wa umma na wanasiasa kuhusu uadilifu na wajibu wao kwa wananchi.Gentleman,
umeeleza jambo la maana kwa uzito unaostahili kabisa..
ni dhahiri ikiwa kazi ya kuhubiri neno la Mungu imewashinda, ni vyema wakaanzisha chama cha siasa na kuomba usajili,
halafu makanisa yao ndiyo yakawa ofisi za hicho chama chao, ambapo ubatizo na maungamo yawe yanatolewa kwenye mikutano ya hadhara🐒