M O N S T E R
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 2,818
- 8,465
Halahala , endelea kusimanga wavaa magauni.👇Kelele walizopiga MAASKOFU mara ooh nchi imeuzwa,mara oooh waarabu wamepewa bandari na kadhalika,nani kawasikiliza hao wezi wenu??Yani serikali iache kufanya shughuli za maendeleo wawaogope wale wavaa magauni??
We umeskia wapi,wakachunge kondoo huko na kuiba sadaka,mambo ya kaisari wameshaambiwa wamuachie kaisari.
###Maaskofu wavue magauni wavae magwanda.
Pasta uwape ukweli. Punguani hawa.Mpumbavu wewe. Ibilisi kaa kimya na uovu wako.
Punguani mkubwa wewe. Hata hujui kuwa ticket ya mwalimu Nyerere kwenda kudai uhuru iligharamiwa ba Kanisa.
Mjinga wewe, hujui kuwa hata mwalimu Nyerere alipofukuzwa kazi ya uwalimu, familia yake ilihifadhiwa na kugharamiwa na Kanisa pale Tosamaganga, kupitia shirika la Mtakatifu Consolata.
Ninyi mashetani wadhulumu haki za wananchi msidhani maneno yenu haya ya kishetani yatawakatisha tamaa viongozi wa dini wanaosimama katika haki.
Mkuu mbona unaongea kwa hasira sana??Hizo ndoa zilianzia kwa wajomba zenu ambao walibuni mtindo wa utayari kwa kuvaa msuli bila chupi, na wakajiwekea watwana wa kujiridhisha umende wao. Tabia ys umende ilikuwa ikifanyika pwani ya Afrika Mashariki kuanzia Lamu, Mombasa, visiwa vya Pemba na Unguja na Dar es Salaam ambako wajomba zenu toka Oman walikuwa wakija kwa majahazi na kujipatia watwana bure.
Ungejua historia ya chanzo cha hayo uliyoyataja wala usingeyaandika.
Sasa wewe utakuwa na chuki binafsi na ukatoliki sababu maaskofu hao si wote ni WA vatican.wewe utakuwa na shida yako na kama uko kwa kuilinda mihimili kandamizi ni sawa lina ujue likitokea la kutokea hata wewe hautakuwa salama labda uhame nchi.watawala wanaowakandamiza wakulima,wafanyakazi,wafugaji nk.watawala wanaowagawa watu kielimu,kiafya, kiutamaduni,kiuchumi huo si utawala bora.utawala unaowaibia watumishi kwa njia ya kikokotoo,kuwanyang'ang'a haki ya matibabu,unaobagua haki ya wazee kutibiwa bure huo ni utawala wa kinyama.Mara Leo waje na DP World,kesho waje na la wamasai shida YENU Nini?
Kukaa kimya kwa huu utawala siyo kwamba eti unawaogopa kama mnavyodhani,hamna mamlaka ya kuipangia serikali kitu chochote,hapa siyo Vatican tambueni.
Tofautisha baina ya kanzu na Gauni wewe kafiri,View attachment 3165178Yeah,wavue magauni👆
Kanzu=GauniTofautisha baina ya kanzu na Gauni wewe kafiri,
Besides Mimi nguo la mwarabu ina nihusu Nini??
Gauni ni Gauni,kanzu ni kanzu,kwani nikuulize lile vazi la askofu wewe huoni kuwa ni Gauni OG kbs lile??
Nani kakuambia?Kanzu=Gauni
Ofcoz,that's why unaona MAASKOFU kwa sasa midomo mireefu ila enzi zile za mwendazake wakaufyata mkia pamoja na uharibifu woote wa Demokrasia kama ule.Dini yeyote ikikuingia sana, critical thinking hushuka...
Kila jambo utalitazama kwa mtazamo wa kidini tu, hata lile ulipaswa kuhusisha akili...
Ukisoma maandiko yote kuanzia Mwanzo hadi Ufunuo bila kuruka kitabu hata kimoja utabaini kuwa kuna MATAMKO kupitia kwa manabii na viongozi wa kiimani jinsi MUNGU alivotaka watu wake watendewe na wenye mamlaka!Friends and Our Enemies,
Kuendelea kuwapuuzia MAASKOFU kwa hizi fujo zao wanazoendelea nazo eti kwa kujificha kwao nyuma ya kivuli cha uzalendo na kuwasemea wananchi kunaleta ukakasi sana. Kwanza Tokea lini MAASKOFU wakawa na uchungu na Taifa hili?
Kipindi hiko watu wanapigania uhuru wa nchi hii kanisa halikua na habari hata chembe na vugu vugu hilo na badala yake walikuwa baridi wakiunga mkono mkoloni kwa kuwa ndie hasa alikuwa anawapa wao kipaombele KATIKA Kila nyanja zikiwemo Afya,Elimu na kadhalika.
Ni kawaida yao MAASKOFU kuwa kimbele mbele hasa Regime zikiwa sizo za wanakondoo wao.
Tunawaambia MAASKOFU waache choko choko na fujo,kama wanaitaka SIASA waende kwa MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA, wapewe utaratibu wa kufungua CHAMA chao ili waingie ulingoni, tujue moja kazi YENU ni kuongoza Wana kondoo wenu au kupambana na serikali?
Wanatofauti gani na wewe usiye ona maovu ya serikali kwasababu Samia ni mwenzako katika imani?Ofcoz,that's why unaona MAASKOFU kwa sasa midomo mireefu ila enzi zile za mwendazake wakaufyata mkia pamoja na uharibifu woote wa Demokrasia kama ule.
Huo sasa ndiyo tunaita UPOFU wa udini.
Tena kuna mpango wa maandamano na maaskofu wote wa RC.Sasa MAASKOFU kama wanaona chagadema wameonewa si waungane nao?
MATAMKO yao wapeleke Vatican.
Waraka zao wakafungie vitumbua.
Maaskofu definitely si jumuia ya CCM kama ilivyo BAKWATA, hivyo they've the right to criticize whatever they believe is not being done the proper way.Ofcoz,that's why unaona MAASKOFU kwa sasa midomo mireefu ila enzi zile za mwendazake wakaufyata mkia pamoja na uharibifu woote wa Demokrasia kama ule.
Huo sasa ndiyo tunaita UPOFU wa udini.
Nani aende mahakamani kuwapeleka wahuni wachumia tumbo kama MAASKOFU??Maaskofu definitely si jumuia ya CCM kama ilivyo BAKWATA, hivyo they've the right to criticize whatever they believe is not being done the proper way.
Yoyote anayeona wamevunja sheria apeleke shauri mahakamani. Panicking simply tu eti wametoa waraka inaonyesha kutokujiamini, inferiority complex and low self esteem.
Mnawaambia wewe na nani? Elimu duni inakusumbuaTunawaambia MAASKOFU waache
Wao wangekuwa na Elimu wasingeishia kuvaa magauni na kukubali kufungishwa ndoa za machoko.Mnawaambia wewe na nani? Elimu duni inakusumbua