tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Hata mimi nimewasikia askofu wa Chato akisema hayo,[emoji870] tenaaaMaaskofu wa KKKT waliokutana jijini Arusha wamewaomba maaskofu kutoka Kenya kuishauri serikali yao iige mbinu za Tanzania ili iweze kudhibiti Corona na hatimaye kuitokomeza.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!