Maazimio yatakayoleta mabadiliko chanya kwa Sekta ya Afya na Medical Laboratory Tanzania

Maazimio yatakayoleta mabadiliko chanya kwa Sekta ya Afya na Medical Laboratory Tanzania

sudan iii

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2018
Posts
263
Reaction score
323
Kikupe mrejesho kidogo kwa kikao MELSAT cha mwisho kilichofanyikia MUHAS kati ya mambo tuliokubaliana na yakachukuliwa na mwanasheria kuyafanyia citation ili yapelekwe kwa wahusika yaanze kutumika rasmi ni kama ifuatavyo

1. Mkuu wa maabara au msimamizi wa department anatakiwa awe na basic education ya lab hivyo drs/pathologist watakosa nafasi hizo na tutazishika wenyewe

2. Mshahara kwa level ya degree iwe sawa na pharmacy maana wanatupiga gap pakubwa ...ila hili kisingizio ilikuwa n muda wa masomo kuwa hatulingani ...kwaio makubaliano degree ya lab huenda ikawa miaka 4 kuanzia intake ijayo

3. Kuwepo na mishahara ya masters na kuendelea katika level ya maabara maana hadi sasa wenye masters za lab hazina mishahara ko wanalipwa wa degree

4. Kada nyingine zisijihusishe na kufanya vipimo vya lab vyovyoye vile akama ilivyo sisi ambavyo hatuingilii majukum yao
 
Well done....!
Labs ndio idara nyeti zaidi na ndiyo msingi wa tiba kwa kina.
Ninyi mnagundua kiini cha tatizo
 
watu wa afya wote wamecharuka, haya yote chanzo itakuwa ni profesa koboko
 
Niliposikia Wanasayansi wa Maabara (degree holders) wanapokea mshahara sawa na Advanced Diploma holders nilistaajabu sana.
 
Hii nchi kila mtu anatafuta mwanya wa kupiga hizo agenda zote ni pesa tu swala la kuboresha huduma na wafanyakazi wasiokidhi vigezo mmelitupa mnataka hela tu matokeo chanya ya CCM ndo haya yanaanza kuonekana.
 
Back
Top Bottom