Una ajenda yako.Bora hata uniite na mimi kwenye hayo majadiliano, nikiwepo atakuwa comfortable kidogo[emoji40] [emoji40]
[emoji6]aiseee....inabidi tuyajenge vizuri @akhuty[emoji5]
Hapana, nataka tu Shunie awe comfortable muda wa majadilianoUna ajenda yako.
Mawazo yake ni masafi now, ila tu unamuogopeshaMwambie tu afute mawazo machafu.
ndio[emoji6]
Hayo mawazo ya kuitwa ukadhani unaongozwa sio masafi.Mawazo yake ni masafi now, ila tu unamuogopesha
Huyu anakuogopa tu bana, si unajua unavyoogepekaHayo mawazo ya kuitwa ukadhani unaongozwa sio masafi.
Hata sijui sababu wala ninavyoogopeka. Avatar yangu inatisha nibadili niweke ya HB au nawatukana sana watu?Huyu anakuogopa tu bana, si unajua unavyoogepeka
Na me nimeanza kukuogopa hapa, ngoja woga uniishe kwanzaHata sijui sababu wala ninavyoogopeka. Avatar yangu inatisha nibadili niweke ya HB au nawatukana sana watu?
Hahahaa! Amina. Ukisikia pia binti anahitaji mchumba nishtue.Ngariba1 nakuombea mwaka huu uoe sasa na ww !
Mwsho siku utakayokufaKwani mwisho wa kuwa na ndoa ni miaka mingapi?
Na mimiseroius mie nitaiandaa !humu wanaojielewa wengi mbona !
Nalendwa ,Heaven Sent ,Shunie etc!yaan itakuwa hatareeeeeeee
Hapana, nataka tu Shunie awe comfortable muda wa majadiliano
Nitajitahidi kufuta mawazo machafuMwambie tu afute mawazo machafu.
Mawazo yake ni masafi now, ila tu unamuogopesha
Hayo mawazo ya kuitwa ukadhani unaongozwa sio masafi.
Huyu anakuogopa tu bana, si unajua unavyoogepeka
Usibadili uwa nampenda pogba ana sura ya kiume ukiweka ya hb hapana jaman wengine hatupendi mahandsome nikiangalia avatar yako huwa najua Rrondo ni pogba halisi basi nakuwa na amaniHata sijui sababu wala ninavyoogopeka. Avatar yangu inatisha nibadili niweke ya HB au nawatukana sana watu?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] na wewe piaNa me nimeanza kukuogopa hapa, ngoja woga uniishe kwanza
Mkuu, nimekutumia PM kukuuliza kama umesha olewa ili mwaka huu niijaze nafasi iliyo wazi hapo moyoni mwakoHellow!
Rai yangu mwaka huu usiishe bila kuoa maana sisi ndugu zenu tuko tayari kuwachangia kwa chochote mnachohitaji ili kuepukana na huo ubachelor.
Wadada tunaendelea kuwaombea ili Mungu awasaidie mwaka huu usiishe Bure.
Tuko pamoja sana.
Huyo si mwanaume au unataka kumuoa vipiiiiMkuu, nimekutumia PM kukuuliza kama umesha olewa ili mwaka huu niijaze nafasi iliyo wazi hapo moyoni mwako
Ohhhpppsssss.......Huyo si mwanaume au unataka kumuoa vipiiii