Mabachelor wa JamiiForums!

Mabachelor wa JamiiForums!

Msisahau kututumia card za michango
 
Hivi ili uwe senior bachelor ni kuanzia miaka mingapi..?
 
Hellow!
Rai yangu mwaka huu usiishe bila kuoa maana sisi ndugu zenu tuko tayari kuwachangia kwa chochote mnachohitaji ili kuepukana na huo ubachelor.
Wadada tunaendelea kuwaombea ili Mungu awasaidie mwaka huu usiishe Bure.
Tuko pamoja sana.
Kumbe tuko wengi
 
Back
Top Bottom