Mabachelor wote tukutane hapa kesho tule vizuri

Yaan kisamvu ndo mboga ya majan iliyobaki ambayo inafaa kuliwa mjin. Sababu huwez kukuta imepandwa kwenye miferej ya choon tofaut na kisamvu utakuwa unakula uchafu 2 kama upo mjin.
Nakukaribisha mkuu kwenye kisamvu
 
Walah mi nitatoa vinywaji haijalishi aina gani na wingi wa watu[emoji86]
 
Umenikumbusha long time,kabla sijachukua jiko,nilipanga Ilala,nyumba Ina wasichana kibao,nilikuwa naenda sokonj mwenyewe nafanya vitu vyangu,Si kuombwa kusaidiwa huko.....
 
Sntee xn kipindi cha magu ni kuendeleza ubachelor adi amalze ndo tuoe
 
Huwa Najiuliza umeolewa...??

Na kama umeolewa Unawatoto wangap..??

Mumeo yupo wap..??

Post zako Haziendan kabisa na Vibint

Ok pouwa buana 1 day ntakuja jua tuu
.....teh hee hee hee...ngoma nagwa hiyo!..kitu 'reject' kinazugia ubachelor;na
..kingejua kupika watu wangeshafika bei!
......ntafuatilia timoro maroroso!
 
.....teh hee hee hee...ngoma nagwa hiyo!..kitu 'reject' kinazugia ubachelor;na
..kingejua kupika watu wangeshafika bei!
......ntafuatilia timoro maroroso!
KAMA MIMI NI REJECT WAZAZI WAKO WATAKUFA KIFO KIBAYA SANA WALA HUTOWAONA WATAZIKWA KAMA REJECT MATERIAL MWILINI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…