Tetesi: Mabadiliko Baraza la Mawaziri; J. Makamba, Mhagama, Ummy Mwalimu nje; Adadi Rajabu, Bashe watajwa

Thibitisha isiwe kuwa ni ramli!!
 
Ajol wewe ni mhudumu wa Protea hotel?
Maana kila uzushi watu wanaidakia na kuanza kuushabikia. Mostly like ni mambo ya kutunga ili kufitinisha watu na rais.
Najaribu kufikiri tu, How waziri mwandamizi afanye haya tena katika mazingira ya wazi wazi.
1/Afanye mikutano na wafanyabiashara ili kumhujumu rais.
2/Mkutano huo uwe na wapinzani pia.
 
Wabongo wazushi sana.
 
Ningependa muuelewe ukweli huu, Msomali kamwe hawezi kuwa waziri Tanzania ya leo, kwa njaa zenu huko majimboni endeleeni tu kuwapa ubunge mamluki.

Huyu Bashe ni kibaraka wa Rostam, hatuwezi kumrudisha Rostam serikalini kwa mlango wa nyuma.
Ningependa muuelewe ukweli huu, Msomali kamwe hawezi kuwa waziri Tanzania ya leo, kwa njaa zenu huko majimboni endeleeni tu kuwapa ubunge mamluki.

Huyu Bashe ni kibaraka wa Rostam, hatuwezi kumrudisha Rostam serikalini kwa mlango wa nyuma.
 
Ni UOTE="Kete Ngumu, post: 16261811, member: 260180"]Bahari imechafuka sinauhakika kama Meli itafanikiwa kutia nanga salama.[/QUOTE]
Ni upepo tu
 
Kiukweli Mhagama hana sifa ya kuwa waziri, hata ummy. Ila makamba ana uwezo mkubwa ila hana maadaili hata kidogo, hafai kuwa kiongoz kwenye serekali ya magufuli.

Mkuu acha ushabiki ummy mwalimu mpaka sasa kapiga hatua ni kiongozi anaesikiliza watu wa chini labda mtizamo wako maana umjui vizuri
 

Je msomali anafaa kuwa Mbunge?
 
Yaani wewe jamaa ni bogus sijawahi kuona..umeandika utumbo tu hapo by the way sijawahi kuona ukiandika hoja za maana zaidi ya uharo
 
Mtazamo wangu:
H Kingwangwala-apewe uwaziri wa Afya
January Makamba- Wanasema, "Keep your enemies closer". Kuna watu huwezi ku afford kuwaacha pembeni au idle.
 
Njaa inamsumbuwa huyo achana naye. Hawa ndio wanaishi kwa kuboomboom watu mtaji wao ni kuipamba hata maiti ili ionekane hai.
Naona unasukumwa na chuki nothing else yaani wewe utakufa na chuki zako ukiwa muflis hapa duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…