kiliochangu
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 1,152
- 883
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Dr Slaa??
Apewe ubunge wa kuteuliwa then apewe ofisi....
Bashe ni mvumilivu, ni jasiri haogopi, Nadhani anafaa kuwa Waziri, amenifurahisha sana jinsi alivyokata ishu katika bunge hili.
Huyu dogo Makamba ni strategist mzuri lakini alinikera alivyoanza kumsema vibaya JK mtu aliyemmentor na kumsaidia kufika hapa alipofika. Akiwekwa pembeni siwezi kulia machozi.
Kuhusu Mwigulu, huyu ni mzalendo wa Ukweli na kamanda wa ukweliukweli, alijiuzuru unaibu katibu mkuu wa CCM bila kujali kuwa ana slim chance ya kupitishwa na CCM kugombea uraisi.
Kwakweli sijasema madaktari wanaakili kuliko wengine, ninachoongelea hapa ni uwezo wa waziri kuweza kubalance uwezo wa wizara yake ikiwa pamoja na budget katika kutatua matatizo ya wizara, na hali hiyo inataka uwezo wa kukaa na kuafikiana. Waziri anapokwepa hoja ni kichekesho. Hizo nchi nyingiene wizara za afya lina fungu kubwa na uwezo wa kununua vitendea kazi, pia mishahara na posho za madaktari ziko wazi.It is just another selfishly structured profession! Madaktari huamini wana akili kuliko wengine, Hii ikitokana na watu kuwanyenyekea wanapowafuata. Ni vizuri kuwanyenyekea maana tunawafuata tukiwa na matatizo.
Wizara haihitaji ugunduzi wowote! Nchi nyingi duniani zilishaweka mfumo unaofanyakazi. Hakuna haja ya kuumiza vichwa, ni kuiga tu! Tunapogoma kuiga ndo maana hospitali za Palestina zinazopigwa mabomu kila siku zina hali nzuri kuliko Muhimbili, kwenye amani na utulivu.
KANGI LUGOLA ANAFAA KUWA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI.Mwigulu anafanya kazi vizuri
Hii habari si ya kweli.Charles Mwijage ameshateuliwa Waziri wa mambo ya Ndani. Confirmed
Pia Stephen Masele ameteuliwa kwenda Masoko Viwanda na biashara.
Mkuu ule uzi wako wa Mwijage kuchukua nafasi ya Kitwanga na Masele kuteuliwa waziri wa viwanda mbona mods wameufuta fasta??Uongozi wa JPM siyo wa kubashiri kama ule JK, aibu yako sasa na mada yako ya majungu
Ashukuru hata hicho kidogo alichopata.Mimi nadhani Makamba alikuwa anategemea wizara muhimu lkn akawa dissapointed ndio maana kama yuko hayuko hivi.
Wewe ni mgeni JF au ni mkongwe ila kichwani hauna kitu? Maana yake kuna mada inafanana na yangu ilishatangulia , hivyo ameuunganisha na mada hiyo. Jiongeze acha kukurupuka kama NyumbuMkuu ule uzi wako wa Mwijage kuchukua nafasi ya Kitwanga na Masele kuteuliwa waziri wa viwanda mbona mods wameufuta fasta??
Ulikurupuka??
Uko sahihi! Serikali inabidi pia ifahamu kwamba siasa kunufaika na fungu kubwa la pesa za serikali ni upuuzi wa juu sana. Kwa nini tusiweka asilimia kwa afya na wizara zingine? Tumeishia kulipa ruzuku kwa vyama tuuuu!. Miaka si zaidi ya 30 tangu tuanze multiparty politics, leo tuna wanasiasa wengi kuliko waalimu shule za sekondari.Kwakweli sijasema madaktari wanaakili kuliko wengine, ninachoongelea hapa ni uwezo wa waziri kuweza kubalance uwezo wa wizara yake ikiwa pamoja na budget katika kutatua matatizo ya wizara, na hali hiyo inataka uwezo wa kukaa na kuafikiana. Waziri anapokwepa hoja ni kichekesho. Hizo nchi nyingiene wizara za afya lina fungu kubwa na uwezo wa kununua vitendea kazi, pia mishahara na posho za madaktari ziko wazi.
Ninaelewa superiority walionayo madaktari, kwanza hata insurance cover kwa wao kupractice ni kubwa kulinganisha na nurse or pharmasist, sina uhakika kwa TZ. Tuache hili lakini umewahi kufikiria dereva wa daladala aendeshe basi bila kondakata hata petrol station bila mhudumu wa kujaza mafuta. Akifika petrol station dereva asisimame ajaze mafuta, afike mahali asimame achukue nauli. Hii ni picha ndogo ya madaktari bila nurses wala pharmasists.Uko sahihi! Serikali inabidi pia ifahamu kwamba siasa kunufaika na fungu kubwa la pesa za serikali ni upuuzi wa juu sana. Kwa nini tusiweka asilimia kwa afya na wizara zingine? Tumeishia kulipa ruzuku kwa vyama tuuuu!. Miaka si zaidi ya 30 tangu tuanze multiparty politics, leo tuna wanasiasa wengi kuliko waalimu shule za sekondari.
Wizara hii huleta ugumu kwa tabia ya madaktari kula njama za kukataa mtu yeyote asiye daktari kuwatawala. Hata Muhimbili imekuwa ni hivyo na bahati mbaya alipoingia nesi pia MD hawakuona kama anastahili kuwatawala. Kwa ujumla kuna kujiona bila kujiuliza wengine wanaosifika dunia hii. Hata ndani ya taaluma ya afya, MD wanadhani wanawazidi manesi wafamasia na dentists! Shame!
They are full of nonsense! Sijui kwa nini Kikwete hakumjaribu Magufuli wakati ule aingie wizara hiyo. Tunawahitaji kama tunavyowahitaji waalimu wa kindergarten, lakini wao wana abuse need zetu.
We ungefanyeje?Aliyafanya kikwete haya, alibadilisha mawaziri kila uchao lakini hakupata mavuno yaliyo bora, ccm ni ileile hakuna anae faa huko ndani. Bora angebaki mwenyewe na waziri mkuu makini zaidi. Tena kwenye listi angeongezwa Mwakyembe aliekuwa anacheka kama juha wakati waziri mlevi akitoa majibu ni aibu kubwa kama waziri wa sheria apishe tu na yeye.
Umeongea point mkuu.It is just another selfishly structured profession! Madaktari huamini wana akili kuliko wengine, Hii ikitokana na watu kuwanyenyekea wanapowafuata. Ni vizuri kuwanyenyekea maana tunawafuata tukiwa na matatizo.
Wizara haihitaji ugunduzi wowote! Nchi nyingi duniani zilishaweka mfumo unaofanyakazi. Hakuna haja ya kuumiza vichwa, ni kuiga tu! Tunapogoma kuiga ndo maana hospitali za Palestina zinazopigwa mabomu kila siku zina hali nzuri kuliko Muhimbili, kwenye amani na utulivu.