dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,958
- 9,516
Acheni huu uPUMABVU wakufikiria watu ambao walikuwepo kwenye System... ningekuelewa labda ungejipigia debe we we mwenyewe......ADADI atakuwa na Jipya gani kwenye Serikali au huna Taarifa kuwa aliwahi kuwa DCI kabla hajawa Balozi huko Zimbabwe....hapo labda Adadi , hao wengine kina bashe timu luwasa hao, alafu bashe ana uwezo gani jamani hebu tuache propaganda