Tetesi: Mabadiliko Baraza la Mawaziri; J. Makamba, Mhagama, Ummy Mwalimu nje; Adadi Rajabu, Bashe watajwa

Tetesi: Mabadiliko Baraza la Mawaziri; J. Makamba, Mhagama, Ummy Mwalimu nje; Adadi Rajabu, Bashe watajwa

Makamba na ummy awatoki ili kulinda uhai wa chama, pia c rahc kufanyika mabadliko makubwa ivo kwa sasa, ata letz wait and see...
 
Wizara ya afya inahitaji mtu mwenye akili, uelewa, uwezo wa kujenga hoja na busara. Uwe na uwezo wa kuelewa matatizo ya madaktari ambao ni wasomi, kuweza kubalance deliverance and performance pia working conditions. Kama huna uwezo mkubwa wa kufikiri utaona kama wanakuchallange.
 
Yupo anaitwe LT general meela
Itakuwa ni upuuzi Mkubwa sana kama Mh Rais atakuwa amefanya mabadiliko haya. Sijui kwanini Mh Rais anapanic? Kwanini anarudisha watu wasio na taaluma ya Viwanda. Nasema Masele hawezi kufanya kama ambavyo mwijage anafanya. Kama Mh Rais hatatulia huenda akaharibu zaidi. Ushauri wangu kwa Mh Rais.. ni kutofanyua mabadiliko yeyote ila ateue Mwanajeshi mstafu mwenye uzoefu wa management na aliyebobea kwenye masuala ya Usalama, Upelelezi na Uharifu wa Kimitandao. Huyu Mtu anaweza kumusaidia. Mh Rais Please usipanic wala kudanganyika haraka hivi.Safari bado ni ndefu.
 
Muda wowote mabadiliko makubwa yanategemea kutokea katika baraza la mawaziri ambapo mawaziri kadhaa watatemwa kutokana na sababu kadhaa.

1. Jenister Muhagama - Anatuhumiwa kwa kuzunguka mamlaka za teuzi (Rais na Waziri Mkuu) katika sakata la kumteuwa kaimu mkurugenzi wa NSSF... Mhagama alitenda kosa hilo akishirikiana na Balozi Ombeni Sefue ambaye kwa sasa kashatumbuliwa.

2. January Makamba - Maranyingi amesikika na kurekodiwa akimsema vibaya Rais, akimsengenya Rais pamoja na kuratibu mipango mbalimbali ya kumdhoofisha Rais Magufuli. haya anayatenda katika Hotel ya Protea Dar es Salaa., na Dodoma ambapo amekuwa akifanya vikao vya siri usiku wa manane na baadhi ya wabunge wa upinzani, pamoja na wafanyabiashara wakubwa wakiwemo wa sukari

3. Ummy Mwalimu - Inasemekana kasi na uwezo wake mdogo haumrithishi Rais kwa sasa..

Katika mabadiliko hayo Adadi Rajabu, Mbunge wa Muheza inasemekana anaweza kuingia kuchukua nafasi ya Kitwanga, wengine wanaotajwa ni Bashe, mbunge wa Nzega ambaye anaweza kupewa docket ya Mazingira au Maliasili na pia Serukamba amekuwa akitajwa.

Mytake: wananchi kwa umoja wetu tumuunge mkono Rais Magufuli ana dhamira njema kabisa la kuwatumikia watanzania.
Mambo ya ndani haistahili kubebwa na mtu aliyekuwa askari kwa aina yoyote ile. Watu hao huishia kuleta mgogoro wa seniority na kwa kweli wana mazoea mabaya ya kazi yao ya nyuma.
 
Charles Mwijage ameshateuliwa Waziri wa mambo ya Ndani. Confirmed

Pia Stephen Masele ameteuliwa kwenda Masoko Viwanda na biashara.
mwijage alistahili na anafaa kubaki ktk wizara hii ya viwanda kumutoa pale kwa serikali inayotaka kujenga viwanda haifai,

kubadilisha mawazili kila wakati ktk wizara hii sioni kama ni sahihi.
 
Muda wowote mabadiliko makubwa yanategemea kutokea katika baraza la mawaziri ambapo mawaziri kadhaa watatemwa kutokana na sababu kadhaa.

1. Jenister Muhagama - Anatuhumiwa kwa kuzunguka mamlaka za teuzi (Rais na Waziri Mkuu) katika sakata la kumteuwa kaimu mkurugenzi wa NSSF... Mhagama alitenda kosa hilo akishirikiana na Balozi Ombeni Sefue ambaye kwa sasa kashatumbuliwa.

2. January Makamba - Maranyingi amesikika na kurekodiwa akimsema vibaya Rais, akimsengenya Rais pamoja na kuratibu mipango mbalimbali ya kumdhoofisha Rais Magufuli. haya anayatenda katika Hotel ya Protea Dar es Salaa., na Dodoma ambapo amekuwa akifanya vikao vya siri usiku wa manane na baadhi ya wabunge wa upinzani, pamoja na wafanyabiashara wakubwa wakiwemo wa sukari

3. Ummy Mwalimu - Inasemekana kasi na uwezo wake mdogo haumrithishi Rais kwa sasa..

Katika mabadiliko hayo Adadi Rajabu, Mbunge wa Muheza inasemekana anaweza kuingia kuchukua nafasi ya Kitwanga, wengine wanaotajwa ni Bashe, mbunge wa Nzega ambaye anaweza kupewa docket ya Mazingira au Maliasili na pia Serukamba amekuwa akitajwa.

Mytake: wananchi kwa umoja wetu tumuunge mkono Rais Magufuli ana dhamira njema kabisa la kuwatumikia watanzania.

Nakubali kwa DCI Mstaafu Adadi Rajabu kuchukua nafasi ya kitwanga ana fiti kwa asilimia 100%
 
Wizara ya afya inahitaji mtu mwenye akili, uelewa, uwezo wa kujenga hoja na busara. Uwe na uwezo wa kuelewa matatizo ya madaktari ambao ni wasomi, kuweza kubalance deliverance and performance pia working conditions. Kama huna uwezo mkubwa wa kufikiri utaona kama wanakuchallange.
It is just another selfishly structured profession! Madaktari huamini wana akili kuliko wengine, Hii ikitokana na watu kuwanyenyekea wanapowafuata. Ni vizuri kuwanyenyekea maana tunawafuata tukiwa na matatizo.

Wizara haihitaji ugunduzi wowote! Nchi nyingi duniani zilishaweka mfumo unaofanyakazi. Hakuna haja ya kuumiza vichwa, ni kuiga tu! Tunapogoma kuiga ndo maana hospitali za Palestina zinazopigwa mabomu kila siku zina hali nzuri kuliko Muhimbili, kwenye amani na utulivu.
 
Aliyafanya kikwete haya, alibadilisha mawaziri kila uchao lakini hakupata mavuno yaliyo bora, ccm ni ileile hakuna anae faa huko ndani. Bora angebaki mwenyewe na waziri mkuu makini zaidi. Tena kwenye listi angeongezwa Mwakyembe aliekuwa anacheka kama juha wakati waziri mlevi akitoa majibu ni aibu kubwa kama waziri wa sheria apishe tu na yeye.
Kwan yy siye ccm
 
Hii nimeipenda. CCM tumeichagua wenyewe tuisapoti kwa dhati.
c9dbad9e4e8d388e722fb6a8df190d68.jpg
 
Una maana Makonda atapewa Ubunge wa kuteuliwa kisha atakuwa Waziri wa mambo ya ndani au ??
Huu ndiyo wakati wa maono yangu kutimia,jamaa ni mbunifu,muelewa,na pia uwezo wake ni mkubwa kuliko nafasi aliyonayo ya ukuu wa mkoa,hope he is going to be one of the minister..............im telling u Makonda atashanagaza wengi
 
Uongozi wa JPM siyo wa kubashiri kama ule JK, aibu yako sasa na mada yako ya majungu
 
Back
Top Bottom