Ozzie
JF-Expert Member
- Oct 9, 2007
- 3,217
- 1,261
Mkuu Pasco kama umehifadhiwa na jirani kutokana na dhoruba (mafuriko) na ukafanikiwa kulaza kichwa siku mbili tatu, hupaswi utoe kashfa. Hata kama wataka kumsaidia mhifadhi, basi wasaidia kwa heshima; maana vyote ulivyonavyo sasa havikuweza kukupa hifadhi pale ulipoihitaji. Usianze kusema kwamba aah, nyumba yenyewe hii ya majani, huyu jamaa atakuwa anatumia mshahara wote kwenye pombe - lakini kumbuka hapo ndio umepata hifadhi.
Last edited by a moderator: