Elections 2015 Mabadiliko Chanya ya Ujio wa Lowassa: CHADEMA Kuhama Ufipa!, Kuwa Makao Yake, Kituo cha TV na Redio!

Elections 2015 Mabadiliko Chanya ya Ujio wa Lowassa: CHADEMA Kuhama Ufipa!, Kuwa Makao Yake, Kituo cha TV na Redio!

Mkuu Pasco kama umehifadhiwa na jirani kutokana na dhoruba (mafuriko) na ukafanikiwa kulaza kichwa siku mbili tatu, hupaswi utoe kashfa. Hata kama wataka kumsaidia mhifadhi, basi wasaidia kwa heshima; maana vyote ulivyonavyo sasa havikuweza kukupa hifadhi pale ulipoihitaji. Usianze kusema kwamba aah, nyumba yenyewe hii ya majani, huyu jamaa atakuwa anatumia mshahara wote kwenye pombe - lakini kumbuka hapo ndio umepata hifadhi.
 
Last edited by a moderator:
Pasco,naomba tujulishe TV station anayomiliki Lowassa ni ipi??!!

Nafahamu ana miliki radio 5 kule Njiro-Arusha,inasemekana pia Jamhuri ni gazeti lake-japo Wahariri wake walikanusha na hawaaminiki sana pia-mfano jackton Manyerere

Au ni mbia mwenza na New Habari corporation??!!
 
Last edited by a moderator:
Kwani ruzuku zilikuwa zinatolewa kujenga majengo au kujenga chama?
Itakuwa na maana gani kuwa na jengo la kisasa ilihali chama kikiwa kipo jijini Dar Es Salaam tu waliopo wakina Pasco wanaoenda kunusa habar?
 
1. Eti chama kiwe na ofisi ya hadhi ya mtu. . . . . .Sio mtu awe na hadhi ya chama. . . . .!!!!
2. Hii ni akili ya ukombozi hii??!!!
3. Mara oonh mwenyekiti kakiuzia chama magari yaliyotumika
4. Mara katibu mkuu kakopeshwa na chama
5. Sasa tena iwe chama kiko "nyumbani" kwa mtu. . . . . . .
6. Watumie Radio station na TV vya mtu. . . . . .

Eti tunataka kuondoa mkoloni mweusi. . . . . . .!!!!!
Haiwezi kuwa ni njia ya kutafuta uhuru bali ni kuuza uhuru, misingi na miundombinu yake kwa mtu binafsi
 
Kama chadema wapange ofisi zao wenyewe mbowe na mtei watajilipa nini kwenye kodi ya kijengo chao cha ufipa?
Chadema wamiliki vyombo vyao na gazeti la mbowe litafanya kazi gani?
Na kama lowassa akifanya hayo yote chama kitakuwa cha mbowe, wanachama, au chake?
 
Kwani ruzuku zilikuwa zinatolewa kujenga majengo au kujenga chama?
Itakuwa na maana gani kuwa na jengo la kisasa ilihali chama kikiwa kipo jijini Dar Es Salaam tu waliopo wakina Pasco wanaoenda kunusa habar?

Kwenye hili huwa hamna majibu yenye hoja ni bora kipindi kingine mkubali mapungufu tu sio lazima kujijitetea kwa kila kitu. . . . . .
 
Shemeji yangu Pasco,basi bakiza japo maneno mengine.............!Unaongea mpaka unakera,kuna wengine huyo mgeni hatumtaki yupo kwa sababu tu yupo.........

Pili kumbuka huku kwetu ni mwanachama tu wa kawaida akileta za kuleta atatimuliwa.

Basi tuheshimu uliotukuta huku ndiyo kwetu,anataka kura zetu azifuate uzwazi tunakoishi.

In short Shemeji yangu wengine kura zetu za URAIS tutabaki nazo wenyewe maana hata huku CCM Makomeo ni wale wale tu...............

Hatumuamini kabisa jamaa yako basi tupe heshima ndogo tu,hapo alipoweka miguu japo ni USWAZI lakini ndiyo kwetu wenye KULA.....
 
Pasco! eti JK huwa anenda Pale Lumumba?? na Je vikao vya chama vinavyomuhusisha mwenyekiti uwa vinafanyika Lumumba?? Japo yaweza kuwa cyo best practice ila asante kwa ufafanuzi
 
Pasco habari zako huwa nina imani nazo 99%
 
Last edited by a moderator:
Shemeji yangu Pasco,basi bakiza japo maneno mengine.............!Unaongea mpaka unakera,kuna wengine huyo mgeni hatumtaki yupo kwa sababu tu yupo.........
Pili kumbuka huku kwetu ni mwanachama tu wa kawaida akileta za kuleta atatimuliwa.
Basi tuheshimu uliotukuta huku ndiyo kwetu,anataka kura zetu azifuate uzwazi tunakoishi.
In short Shemeji yangu wengine kura zetu za URAIS tutabaki nazo wenyewe maana hata huku CCM Makomeo ni wale wale tu...............
Hatumuamini kabisa jamaa yako basi tupe heshima ndogo tu,hapo alipoweka miguu japo ni USWAZI lakini ndiyo kwetu wenye KULA.....
Ha ha ha haaaa hameni bhana mwende kwenye "mjengo wa hadhi ya mtu". . . . . .
Tumieni silaha ilitupwa na wapinzani wenu. . . . . . . ." enemy of your enemy is your friend". . . .si ndio majibu haya. . . . .

Mmebahatika kupata dodo chini ya mnazi. . . . .
 
Chadema kilikuwa chama cha Ukombozi mpaka alipoingia Lowasa sasa kimekuwa Chama cha Matumaini! Kwa chama cha matumaini, ni vizuri wahamie kwenye magorofa marefu kule Samora ndo kwao. Wawaachie wakombozi ufipa yao!

Kumbe hauko kwenye wakombozi wala matumaini,unawashwa mini?
 
Niwakati sasa wa CHADEMA na Dr. Slaa lujitokeza kuweka wazi polojo za magazeti. wafuasi wa Chadema wako katika hali ya wasiwasi
Mwaka huu neno wasiwasi kwa wafuasi wa CDM na binamu zao wa UKAWA liondoe,kwa afya yako ya akili lipeleke kwa jirani zetu ,kwani hao ndio wenye taharuki na magharibi roho kwa sasa!
 
Hizo ni dharau sasa.....

Lowassa mwenyewe kaingia Chadema baada ya kuvutiwa na kujengeka kwa chama na si Ofisi. Kama angekuwa akitaka kuingia kwenye Ofisi zenye hadhi kama ya kwake huku akiona za Chadema hazina hadhi hizo, si angekwenda Cuf? Kwanini kaomba kuingia Chadema wenye ofisi chovu.?

Hizi Dharau zinakera sana...!!!

Hivi Lowassa jana alichukua fomu kupitia Ofisi zipi? Alihudumiwa au hakuhudumiwa? Kama aliweza kutimiza lengo lake kupitia ofisi hizo iweje aanze kudharau Ofisi iliyotimiza lengo lake? Mi nilifikiri Shughuri za kiofisi hazifanyiki Sawasawa.. kama zinafanyika kama inavyotakiwa kwanini muanze kudharau ofisi mlizozikuta? Huu ujinga sana...!! Yaani mgeni umekuja home, nikakuhudumia, ukala na kulala.. Unaamka asubuhi na kuanza kuponda nyumba na kitanda ulicholalia????

Huu Upumbavu pelekeni ccm huko mnxyuu

BACK TANGANYIKA
 
Ha ha ha haaaa hameni bhana mwende kwenye "mjengo wa hadhi ya mtu". . . . . .
Tumieni silaha ilitupwa na wapinzani wenu. . . . . . . ." enemy of your enemy is your friend". . . .si ndio majibu haya. . . . .

Mmebahatika kupata dodo chini ya mnazi. . . . .

Naweza kukujibu hivi.............Pole.
 
Hizo ni dharau sasa.....

Lowassa mwenyewe kaingia Chadema baada ya kuvutiwa na kujengeka kwa chama na si Ofisi. Kama angekuwa akitaka kuingia kwenye Ofisi zenye hadhi kama ya kwake huku akiona za Chadema hazina hadhi hizo, si angekwenda Cuf? Kwanini kaomba kuingia Chadema wenye ofisi chovu.?

Hizi Dharau zinakera sana...!!!

Hivi Lowassa jana alichukua fomu kupitia Ofisi zipi? Alihudumiwa au hakuhudumiwa? Kama aliweza kutimiza lengo lake kupitia ofisi hizo iweje aanze kudharau Ofisi iliyotimiza lengo lake? Mi nilifikiri Shughuri za kiofisi hazifanyiki Sawasawa.. kama zinafanyika kama inavyotakiwa kwanini muanze kudharau ofisi mlizozikuta? Huu ujinga sana...!! Yaani mgeni umekuja home, nikakuhudumia, ukala na kulala.. Unaamka asubuhi na kuanza kuponda nyumba na kitanda ulicholalia????

Huu Upumbavu pelekeni ccm huko mnxyuu

BACK TANGANYIKA

Mkuu hauna haja ya kupanic anachoongea Pasco ndo hali halisi ndio maana jana baada ya Lowasa kuchukua fomu akarudi tena ofisini kwake Mikocheni
 
Pasco umekaribishwa juzi tu, tayari leo umeanza dharau zako? Kwani wewe na bosi wako mlipoamua kujiunga CHADEMA, hukujua kama chama kipo kwenye nyumba ya kupanga, mtaa wa ufipa? Acha dharau zako Pasco, kama unaona chadema maskini katafuteni chama kingine.
 
Back
Top Bottom