Kwa hiyo na nyie mnamkana leo kwa sababu tu kaja CHADEMA, mbona hamjamfukuza uanachama miaka yote hiyo huku mkijua fika kwana ni Fisadi na Mwalimu kumkataa.Usipanic hayo aliyoyasema yachunguze Pasco ni mtu wa karibu sana na Lowasa hicho ndicho alichokiona Tajiri mkubwa mwenye majumba mengi yenye hadhi Dar.
Mwl alimkataa Lowasa