Elections 2015 Mabadiliko Chanya ya Ujio wa Lowassa: CHADEMA Kuhama Ufipa!, Kuwa Makao Yake, Kituo cha TV na Redio!

Elections 2015 Mabadiliko Chanya ya Ujio wa Lowassa: CHADEMA Kuhama Ufipa!, Kuwa Makao Yake, Kituo cha TV na Redio!

Usipanic hayo aliyoyasema yachunguze Pasco ni mtu wa karibu sana na Lowasa hicho ndicho alichokiona Tajiri mkubwa mwenye majumba mengi yenye hadhi Dar.

Mwl alimkataa Lowasa
Kwa hiyo na nyie mnamkana leo kwa sababu tu kaja CHADEMA, mbona hamjamfukuza uanachama miaka yote hiyo huku mkijua fika kwana ni Fisadi na Mwalimu kumkataa.
 
CHADEMA kwa mara ya kwanza tunakwenda IKULU, tunakwenda kuwa chama tawala.... Hatua ya kwanza baada ya kuingia ikulu kwanza ni kurejesha majengo yote yaliyojengwa kwa nguvu za wananchi na viwanja vyote vya michezo ambayo ccm imejimilikisha kwa wananchi. vyote vitakuwa mali ya umma.

Hata bila Lowassa CHADEMA tungejenga ofisi na kumiliki media
 
Pasco

Asante kwa ma0no yako , kwa mara ya kwanza umenikuna kwa taarifa ya mabadiliko, tumekusikia tutatekeleza, mwanzo mzuri hakuna mawaa kwa hilo.
 
Last edited by a moderator:
CHADEMA kwa mara ya kwanza tunakwenda IKULU, tunakwenda kuwa chama tawala.... Hatua ya kwanza baada ya kuingia ikulu kwanza ni kurejesha majengo yote yaliyojengwa kwa nguvu za wananchi na viwanja vyote vya michezo ambayo ccm imejimilikisha kwa wananchi. vyote vitakuwa mali ya umma.

Hata bila Lowassa CHADEMA tungejenga ofisi na kumiliki media

Mkuu Mungi hivi Josephine kashamwachia Dr.W.Slaaa
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo Lowasa akiamka vibaya tunatimuliwa,teh teh.waliohoji chama kutokuwa na ofisi wana maono
 
Mkuu lowasa anamiliki TV ipi n tuanze kufuatilia campaign zake maana najua atakuwa na wide coverage huko kuliko TBC
 
Pasco

mmmmm its very sad. Unafaa kuwa muandishi wa riwaya. Hivi kwanini wewe kijana unapenda sana vitu vya kufikirika? Jichunge usije ukauza uhuru wako kwa hiyo statement "mgeni njoo mwenyeji apone". Kuwa na conscious kidogo tu.
 
Last edited by a moderator:
Haya matusi n mazito kwa chadema.huyo pasco alivyokuwa hovyo anafikiri kuwekeza kwnye majumba bdla ya watu hovyo sna.hajui cdm km iliwekeza kwa watu mpuuzi sna.kweli cdm tumevamiwa
 
Naona huyu Pasco hana nia njema na ukawa. Yuko kiuchonganishi zaidi. Chadema wangewekeza kwenye jengo leo hii nani angekijua? Ulitaka walale ofisini ili wafuasi na wanachama wajilete wenyewe au?
 
Pasco

Daah hili chombezo lime ambatana na dongo zito sana aisee teh teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Pasco hivi kuna ubaya kama wewe una BMW na Vogue nk halafu mkweo aliyekupa mke yaani mama yeyoo wako anatumia baiskeli wewe ukaamua kwa mapenzi yako kumnunulia Vitz?
Ukisikia mapenzi ya hali na mali ndio hayo basi
 
Last edited by a moderator:
Pasco

Hii style inaitwa "mgeni atambue uwepo wa mleta mada."
Ameshajua kuwa bado uko naye!
 
Last edited by a moderator:
11822347_1473512346297011_906599183081388649_n.jpg
 
Back
Top Bottom