Kwani ruzuku zilikuwa zinatolewa kujenga majengo au kujenga chama?
Itakuwa na maana gani kuwa na jengo la kisasa ilihali chama kikiwa kipo jijini Dar Es Salaam tu waliopo wakina Pasco wanaoenda kunusa habar?
Ni habari njema....
Ha ha ha haaaa hameni bhana mwende kwenye "mjengo wa hadhi ya mtu". . . . . .Shemeji yangu Pasco,basi bakiza japo maneno mengine.............!Unaongea mpaka unakera,kuna wengine huyo mgeni hatumtaki yupo kwa sababu tu yupo.........
Pili kumbuka huku kwetu ni mwanachama tu wa kawaida akileta za kuleta atatimuliwa.
Basi tuheshimu uliotukuta huku ndiyo kwetu,anataka kura zetu azifuate uzwazi tunakoishi.
In short Shemeji yangu wengine kura zetu za URAIS tutabaki nazo wenyewe maana hata huku CCM Makomeo ni wale wale tu...............
Hatumuamini kabisa jamaa yako basi tupe heshima ndogo tu,hapo alipoweka miguu japo ni USWAZI lakini ndiyo kwetu wenye KULA.....
Chadema kilikuwa chama cha Ukombozi mpaka alipoingia Lowasa sasa kimekuwa Chama cha Matumaini! Kwa chama cha matumaini, ni vizuri wahamie kwenye magorofa marefu kule Samora ndo kwao. Wawaachie wakombozi ufipa yao!
Mwaka huu neno wasiwasi kwa wafuasi wa CDM na binamu zao wa UKAWA liondoe,kwa afya yako ya akili lipeleke kwa jirani zetu ,kwani hao ndio wenye taharuki na magharibi roho kwa sasa!Niwakati sasa wa CHADEMA na Dr. Slaa lujitokeza kuweka wazi polojo za magazeti. wafuasi wa Chadema wako katika hali ya wasiwasi
Ha ha ha haaaa hameni bhana mwende kwenye "mjengo wa hadhi ya mtu". . . . . .
Tumieni silaha ilitupwa na wapinzani wenu. . . . . . . ." enemy of your enemy is your friend". . . .si ndio majibu haya. . . . .
Mmebahatika kupata dodo chini ya mnazi. . . . .
Hizo ni dharau sasa.....
Lowassa mwenyewe kaingia Chadema baada ya kuvutiwa na kujengeka kwa chama na si Ofisi. Kama angekuwa akitaka kuingia kwenye Ofisi zenye hadhi kama ya kwake huku akiona za Chadema hazina hadhi hizo, si angekwenda Cuf? Kwanini kaomba kuingia Chadema wenye ofisi chovu.?
Hizi Dharau zinakera sana...!!!
Hivi Lowassa jana alichukua fomu kupitia Ofisi zipi? Alihudumiwa au hakuhudumiwa? Kama aliweza kutimiza lengo lake kupitia ofisi hizo iweje aanze kudharau Ofisi iliyotimiza lengo lake? Mi nilifikiri Shughuri za kiofisi hazifanyiki Sawasawa.. kama zinafanyika kama inavyotakiwa kwanini muanze kudharau ofisi mlizozikuta? Huu ujinga sana...!! Yaani mgeni umekuja home, nikakuhudumia, ukala na kulala.. Unaamka asubuhi na kuanza kuponda nyumba na kitanda ulicholalia????
Huu Upumbavu pelekeni ccm huko mnxyuu
BACK TANGANYIKA