Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huyu mfumo umemtupq hana lolote![emoji1787][emoji1787][emoji1787]Katika hali ya kushangaza , Waziri wa zamani wa Utalii Hamis Kigwangwala amejitokeza hadharani kutaka jamii iwapime viongozi kwa utendaji badala ya Uchawa . Tunampongeza sana Mh huyu kwa kuliona jambo hili .
Bali wengi tunajiuliza , maono haya ya Kigwangwala yanatoka moyoni kweli au ni kwa vile mfumo umemtenga ?
View attachment 2755007
Hayo wala si mabadiliko... bali ni mageuzo. Akipewa shavu atajigeuza upande mwingine!Katika hali ya kushangaza , Waziri wa zamani wa Utalii Hamis Kigwangwala amejitokeza hadharani kutaka jamii iwapime viongozi kwa utendaji badala ya Uchawa . Tunampongeza sana Mh huyu kwa kuliona jambo hili .
Bali wengi tunajiuliza , maono haya ya Kigwangwala yanatoka moyoni kweli au ni kwa vile mfumo umemtenga ?
View attachment 2755007
Hivi ccm yupo ambaye si mnafiki??Kigwangala ni mnafiki!
Usipomuelewa utapata naye shida!
Na anahangaika sana kupata uteuzi!
Kwani wewe kama unapinga hili basi tuwekee unayoyajuaWeka maneno yake yote na siyo kuleta kaeneo ka kupigia propaganda.
ccm wote wanaogopana. Wanajuana na maovu yao ya gizaniMo anamuogopa sana Kigwangala
anatoka kuwa chawa anaelekea kuwa kunguni na halafu baadae ya muda atakua mweupe kama pambaKatika hali ya kushangaza , Waziri wa zamani wa Utalii Hamis Kigwangwala amejitokeza hadharani kutaka jamii iwapime viongozi kwa utendaji badala ya Uchawa . Tunampongeza sana Mh huyu kwa kuliona jambo hili .
Bali wengi tunajiuliza , maono haya ya Kigwangwala yanatoka moyoni kweli au ni kwa vile mfumo umemtenga ?
View attachment 2755007
Tabia ya unyumbu. Unyumbu ni tabia ya waliobeba dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi zao kwasababu ya kujipendekeza ama kwajili ya kutumikia matakwa ya kundi fulaniKatika hali ya kushangaza , Waziri wa zamani wa Utalii Hamis Kigwangwala amejitokeza hadharani kutaka jamii iwapime viongozi kwa utendaji badala ya Uchawa . Tunampongeza sana Mh huyu kwa kuliona jambo hili .
Bali wengi tunajiuliza , maono haya ya Kigwangwala yanatoka moyoni kweli au ni kwa vile mfumo umemtenga ?
View attachment 2755007
Kwa kweli sijui!Hivi ccm yupo ambaye si mnafiki??
Chadema hakuna chawa? Mfano, wewe sio chawa wa Mbowe?Katika hali ya kushangaza , Waziri wa zamani wa Utalii Hamis Kigwangwala amejitokeza hadharani kutaka jamii iwapime viongozi kwa utendaji badala ya Uchawa . Tunampongeza sana Mh huyu kwa kuliona jambo hili .
Bali wengi tunajiuliza , maono haya ya Kigwangwala yanatoka moyoni kweli au ni kwa vile mfumo umemtenga ?
View attachment 2755007