residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Yaani kama aliongea "gazeti", basi unataka liwekwe hapa hilo gazeti lote kama ufanyavyo wewe!!??Weka maneno yake yote na siyo kuleta kaeneo ka kupigia propaganda.
Likitajwa neno chawa tu lazima uitikeWeka maneno yake yote na siyo kuleta kaeneo ka kupigia propaganda.
Na bado... atasema tuKigwangalla kichwa imemkaa sawa
Ni chawa wa Sugu Huyo!Chadema hakuna chawa? Mfano, wewe sio chawa wa Mbowe?
Ahahahahaha! Kumbe!Ni chawa wa Sugu Huyo!
Akingia ndani kichwa kita sheki [emoji1]Kigwangalla kichwa imemkaa sawa
Kigwa kashachoka hataki tena UteuziππKatika hali ya kushangaza, Waziri wa zamani wa Utalii Hamis Kigwangwala amejitokeza hadharani kutaka jamii iwapime viongozi kwa utendaji badala ya Uchawa . Tunampongeza sana Mh huyu kwa kuliona jambo hili .
Bali wengi tunajiuliza , maono haya ya Kigwangwala yanatoka moyoni kweli au ni kwa vile mfumo umemtenga?
View attachment 2755007
πππππLikitajwa neno chawa tu lazima uitike
huyu hanaga akili tangu aondoshwe kuwa wazirKatika hali ya kushangaza, Waziri wa zamani wa Utalii Hamis Kigwangwala amejitokeza hadharani kutaka jamii iwapime viongozi kwa utendaji badala ya Uchawa . Tunampongeza sana Mh huyu kwa kuliona jambo hili .
Bali wengi tunajiuliza , maono haya ya Kigwangwala yanatoka moyoni kweli au ni kwa vile mfumo umemtenga?
View attachment 2755007