Rogart Ngaillo
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 908
- 1,911
Yaani hili lijamaa halina hata huruma yani👺
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja nzuri sana ntarudi kwakoMkuu Janja PORI umedadavua vizuri pia umekosoa,umeonya,umeshauri na umesifia.
Pia ungegusia na suala la ajira...kuwepo na balance hata watoto wa vigogo na wa wakulima/wafugaji wagawane Keki ya Taifa.
Kwa sababu:-
1: Kuna vijana huku mtaani wamehitimu Uhasibu more than 2years hawana ajira,wanazurura tuu na kukaa vijiweni.
2: Inasadikika ajira za TRA ni za kibaguzi,yaani kujuana.Vipi kuna uhalisia kwenye hili????? Na kama sivyo ni hatua gani mnachukua ili kuwapa ajira wale tunaowaona maofisini wakati tukilipa kodi.
3:Na pia Ajira za TRA hazitangazwi,hapa inakuaje?? Sasa hivi kuna system inatumika ndani ya TRA inaitwa Interns hii inakaaje???! Na jee? Vijana wale wa kitanzania wote wakimaliza mtawaajiri?na kama baadhi ya hawata ajiriwa si litakuwa ni suala la kupoteza muda wa vijana wetu???
Naamini mkuu Janja PORI wewe ni mtaalamu wa masuala ya uchumi na msomi mzuri,Hivyo sasa kwa busara zako ningependa kuona mchango wako kuhusu hili uliwa kama Expert member wa humu.
NAWASILISHA.
Sent using Jamii Forums mobile app