Imwase
JF-Expert Member
- Jun 14, 2017
- 500
- 506
Ni majukumu hayo hayo na katiba ndo yanamtaka Rais awe na amri ya mwisho juu ya jeshi,jeshi lazima litii amri au order ya RaisNi kweli lakini kwani jeshi si lina majukumu kikatiba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni majukumu hayo hayo na katiba ndo yanamtaka Rais awe na amri ya mwisho juu ya jeshi,jeshi lazima litii amri au order ya RaisNi kweli lakini kwani jeshi si lina majukumu kikatiba
Rais ni amiri jeshi mkuuNimemwomba Mh. Rais....
Nimemwomba Mh. Rais.....
Nimemwomba Mh. Rais....
Kwani hawezi kufanya teuzi bila kumwomba Huyo...?
You recommend as a CDF and the President approve since he is the Commander in Chief to the little of my knowledge thanks!Nimemwomba Mh. Rais....
Nimemwomba Mh. Rais.....
Nimemwomba Mh. Rais....
Kwani hawezi kufanya teuzi bila kumwomba Huyo...?
Hili mkuu liliandikwa jukwaan ,,wanaokuwa ma ADC huwa ni wenye cheo cha kanali tu.Kanali mkelemi sio tena ADC wa mukulu,anakuja kanali mwingine" sawa, kwani ukiwa brigedia general huwezi kuwa ADC wa presidar?
Wanaofahamu mambo ya inteligencia watujuze
cc. Brother GENTAMYCINE,na wengineo
Mwambata wa kijeshi katika Ubalozi wa Tanzania - Abuja. It is self-explanatory Mkuu.Mwambata ni nini?
Acha mbwembwe basiKumbe hata wapinzani wanaruhusiwa kuwapo jeshini?
Kimsingi yule anayevaa nguo za kijeshi anakuwa na rais muda wote sio bodyguard kiswahili ni mpambe wa Rais anakuwa pale kwa sababu rais ni Amiri jeshi Mkuu wa majeshi yetu ya ulinzi na usalama ,walinzi wa rais ni kikosi maalum cha ulinzi kwa sisi Tanzania nafikiri kina ukubwa wa watu mpka 36 wanaopena majukumu ya kumlinda rais muda woteKila cheo jeshini kinakua na majukumu yake mfano afisa mteule (Non-commisioned officer NCO) ndo hua anakua RSM (kiongozi wa nidhamu jeshini-kwa maafisa wadogo).
ikitokea akapewa kamisheni na kua afisa hawezi kuendelea na cheo hicho.
hujo Mkelemi hawezi kuendelea kuwa bodyguard kwa sababu amekua afisa wa juu. afisa wa juu hawezi kuwa body guard.
Wali hustle saizi wamefika hapoWenye nchi wanakula tu nchi,na sisi wananchi tupo kwenye benchi tunaitazama hii mechi!
Balozi wa kijeshi hii wanajesh wenyewe wanaielewa zaidiMwambata ni nini?
Kauliza kwa nia njema mkuu, tusaidie majibu tafadhaliUnatafuta mwanya wa kuhubiri ukabila? Ukabila umekujaa akilini mwako huna jema,
Hayo majina ni ya wana jeshi wa Tpdf
Duh! Mkuu! Hilo halihitaji hata kuuliza. Chulia scenario hii; Rais, yaani Amiri Jeshi Mkuu, akiamua kubadilishana mawazo/kuongea na makamanda wa vikosi (mabrigedia and above) wewe umebeba mikoba yake tena kimya wala huruhusiwi kutia neno wakati makamanda wakitoa options kwa Amiri Jeshi Mkuu.Kuwa bodyguard wa rais vs kuongoza brigade! Ipi ni nyadhifa kubwa kuliko nyingine?
Ulinzi gani wakati msaidizi wa rais ,anambebea makabrasha na vitu na kukaa nyuma yake tu kama adc ..walinzi ni yule anayekaa upande wa kulia akiangaza macho(kiongozi wa walinzi ana earphone) na wengine waliovaa suti na earphone na siku hizi kuna makirikiriKuwa bodyguard wa rais vs kuongoza brigade! Ipi ni nyadhifa kubwa kuliko nyingine?
Kwa nini msijibu hizi hoja za msingi? Huyo mkuu wa wilaya alikuwa mjeshi kabla hajapewa hicho cheo cha kisiasa ambacho ni kada wa ccm, sasa amerudishwa jeshini kuendelea na utumishi, je huku sio kuchanganya jeshi na siasa?
Kwa nini msijibu hizi hoja za msingi? Huyo mkuu wa wilaya alikuwa mjeshi kabla hajapewa hicho cheo cha kisiasa ambacho ni kada wa ccm, sasa amerudishwa jeshini kuendelea na utumishi, je huku sio kuchanganya jeshi na siasa?