Uchaguzi 2020 Mabadiliko katika kujumlisha kura za Wabunge na Rais 2020

Uchaguzi 2020 Mabadiliko katika kujumlisha kura za Wabunge na Rais 2020

Kikubwa na hatari kilicholetwa uchaguzi 2020 ni kuwa msimamizi halazimiki kuwapa mawakala nakala za matokeo kama ilivyokuwa chaguzi za nyuma.

Hivyo ushahidi wa matokeo mawakala watakuwa hawana

Acha ujinga wewe sio alazimiki bali nakala kila kitabu kinaweza kikatoa nakala kwa kila chama mara saba na ni lazima wamakala wote wapewe nakala za matokeo ...

Hata juzi Mahera kasema na utaratibu uko wazi kabisa!
 
Ilikuwa hivyo tokea mwaka 2010. Kata haiunganishi matokeo ya Raisi Wala ubunge.
ni kweli kata haikuwa inafanya majumuisho ya kura za urais kwenye uchaguzi wa mwaka 2015...
majumuisho yalikuwa yakifanyika jimboni....
lakini hadi kufikia muda wa kumaliza kupiga kura jioni... kila kituo kilikuwa kinajua idadi ya kura za urais...
 
CCM ni vibaka wazoefu !! Cha msingi CDM wanatakiwa kuwa makini hasa unapo deal na kibaka
 
Sasa wewe huoni au kwasabBu mnadola huoni ya upAnde WA pili.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
Ndio maana ninasema waache kulalamika sasa hivi, maadam waliyajua haya tangu mwanzo ilibidi wayapigie kelele kuliko kulalamika ikiwa imebaki siku moja kitu ambacho hakisaidii chochote
 
Acha kupotosha, nilikuwa Long term observer uchaguzi wa 2015 chini ya LHRC na hakuna popote niliposhuhudia kura za mbunge na rais zikiunganishwa ngazi ya kata.
 
Acha kupotosha, nilikuwa Long term observer uchaguzi wa 2015 chini ya LHRC na hakuna popote niliposhuhudia kura za mbunge na rais zikiunganishwa ngazi ya kata.
Kuhesabiwa na kuunganishwa ni vitu tofauti. Inawezekana kabisa kura za madiwani, mbunge na Rais zikahesabiwa ngazi ya kata. Baada ys hapo za madiwani zikajumlishwa kwenye ngazi ya kata, za mbunge ngazi ya jimbo na za Rais ngazi ya Taifa.

Amandla....
 
Basi waache kupotosha umma kwa kitu walichoshindwa kukipigia kelele muda mrefu
Wamepigia kelele katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, je vipo ili tujue wakipigia kitu kelele kinatekelezwa?
 
Kura zinahesabiwa kwenye kituo husika kulikopigwa Kura sasa utashindwaje kuondoka na idadi ya kura zako ulizohesabu? Na hata tume wakijifanya kutokutoa fomu kwa wakala itakula kwao maana wakala anaweza kusema kaibiwa kura kwa vile amepata kura nyingi na tume wakagoma kumpa fomu sasa hapo hata tume itawavuruga na kuwaingiza hatiani Kama wezi hivyo salama ya wote ni fomu za matokeo kwa wakala, Jambo ambalo halikubaliki na likataliwe kwa nguvu zote ni kurudia kuhesabiwa kura wakati unaona kabisa zako ni nyingi.
 
Inaonekana 2020 ndio mwaka wako wa kwanza kupiga kura, huo ndio utaratibu wa siku zote hakuna jpya hapo!
Mwaka huu ndio mwisho wa wizi wenu, huo utaratibu wa KITAPELI haukubaliki sasa. Matokeo yatahesabiwa vituoni na wakala ataondoka na nakala yake, basi.
 
Hapo sifahamu, kulikua na umuhimu wa viongozi wa upinzani ku address hili mapema, ila waliamua kutumia muda mwingi kulalamika majukwaani so wasubiri utaratibu utumike waliojiwekea tume
Acha ufala wewe pimbi, ni mangapi wameyapinga kwenye maandalizi ya huu uchaguzi na yakakataliwa kibabe? Halafu kwa ujinga wako unadhani wanaoathirika kwa kuchaguliwa viongozi kinguvu ni wapinzani tuu...
 
Acha ujinga wewe sio alazimiki bali nakala kila kitabu kinaweza kikatoa nakala kwa kila chama mara saba na ni lazima wamakala wote wapewe nakala za matokeo ...

Hata juzi Mahera kasema na utaratibu uko wazi kabisa!
Huyo Mahera ndiyo bure kabisa...
 
Acha ufala wewe pimbi, ni mangapi wameyapinga kwenye maandalizi ya huu uchaguzi na yakakataliwa kibabe? Halafu kwa ujinga wako unadhani wanaoathirika kwa kuchaguliwa viongozi kinguvu ni wapinzani tuu...
Haya sawa, kaa hapo kutukana, maana matusi ndiyo yatamuweka Lissu madarakani
 
Ndio maana ninasema waache kulalamika sasa hivi, maadam waliyajua haya tangu mwanzo ilibidi wayapigie kelele kuliko kulalamika ikiwa imebaki siku moja kitu ambacho hakisaidii chochote
Ni kipi kilichokuwa hakijaongelewa hapo kabla. Walisema sana kwa vile ccm wachache wenye ujinga vichwani mwao ndio hujiona wengine hawna haki.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom