Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Africa hii kuna sehemu fukara kama Turkana?
Kwa hiyo unalalamika kwa wakenya wakusaidie nini?Angalau wanajaribu kutatua matatizo yao, Turkana ni Jangwa na kame hakuna kitu kinamea huko lkn pamoja na hizo changamoto wanafanya kazi kutatua matatizo, huku kwetu raisi wenu anaondoka na watu zaidi ya 100 kwa wiki mbili kwenda kucheza cinema USA, nyuma ameacha nchi haina umeme, haina maji, mishahara kupandisha Hela hakuna kwa maana waneshaiba zote walizozikuta hazina, Kenya wamepandisha mshahara 12% kama nilivyosoma ni kweli, Tanzania kila kitu kimependa raisi wenu anasema kama jibu hata USA mafuta yamepanda, Makamba Waziri muhusika anasema Wal hawachimbi mafuta.
Hivyo angalao hao jamaa pamoja na changamoto wanajaribu kutatua matatizo waliyonayo na siyo kukimbia nchi kama raisi wenu!
Kwa hiyo unalalamika kwa wakenya wakusaidie nini?
Hv ww ni wakiume kweli?
Inaonekana hata mambo ya chumban Huwa unayapeleka kijiwen, badilika hata huko Kenya Kuna matatzo kibao kuhusu raisi wao na hawaji kujipendekeza kwetu
Acha porojo na ujiheshimuAngalau wanajaribu kutatua matatizo yao, Turkana ni Jangwa na kame hakuna kitu kinamea huko lkn pamoja na hizo changamoto wanafanya kazi kutatua matatizo, huku kwetu raisi wenu anaondoka na watu zaidi ya 100 kwa wiki mbili kwenda kucheza cinema USA, nyuma ameacha nchi haina umeme, haina maji, mishahara kupandisha Hela hakuna kwa maana waneshaiba zote walizozikuta hazina, Kenya wamepandisha mshahara 12% kama nilivyosoma ni kweli, Tanzania kila kitu kimependa raisi wenu anasema kama jibu hata USA mafuta yamepanda, Makamba Waziri muhusika anasema wao hawachimbi mafuta.
Hivyo angalau hao jamaa pamoja na changamoto wanajaribu kutatua matatizo waliyonayo na siyo kukimbia nchi kama raisi wenu!
Angalau wanajaribu kutatua matatizo yao, Turkana ni Jangwa na kame hakuna kitu kinamea huko lkn pamoja na hizo changamoto wanafanya kazi kutatua matatizo, huku kwetu raisi wenu anaondoka na watu zaidi ya 100 kwa wiki mbili kwenda kucheza cinema USA, nyuma ameacha nchi haina umeme, haina maji, mishahara kupandisha Hela hakuna kwa maana waneshaiba zote walizozikuta hazina, Kenya wamepandisha mshahara 12% kama nilivyosoma ni kweli, Tanzania kila kitu kimependa raisi wenu anasema kama jibu hata USA mafuta yamepanda, Makamba Waziri muhusika anasema wao hawachimbi mafuta.
Hivyo angalau hao jamaa pamoja na changamoto wanajaribu kutatua matatizo waliyonayo na siyo kukimbia nchi kama raisi wenu!
Mbona hata wewe huonekani kuwa wa maana mkuu?Tuna watu waovyo sana
Najijua kabisa mkuuMbona hata wewe huonekani kuwa wa maana mkuu?