Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kampuni zote zipo hoi.nilipita pale nikasema hii parking siyo ya kawaida hii
ila mkulu anachotufanyia sio poa
halaf amesema uchumi unakua sisi ni wapili kwa Afrika heheheeeeheheKampuni zote zipo hoi.
Anaelewa maana ya uchumi?halaf amesema uchumi unakua sisi ni wapili kwa Afrika heheheeeehehe
Kisichana kameadimika kweli mkuuKonyagi kisichana imekuwa adimu kila kona huku bapa na jibapa zikiwa hazina dili
hahahaAnaelewa maana ya uchumi?
Huyu ni wa kuacha kama alivyo.hahaha
ana angalia li GDP
hajui kuwa hata Uchumi wa Congo DRC unakua kwa kasi kwa maaba ya GDP
ana sahau kuwa uchumi una include vitu vingii sana
ujue ile roho mbaya ndio watu wanakufaga mapema how comes you enjoy other people z sufferings? ni wakumuacha tu huyuHuyu ni wa kuacha kama alivyo.
Tumeombe Mungu muda wake uishe aje mtu wa maana.ujue ile roho mbaya ndio watu wanakufaga mapema how comes you enjoy other people z sufferings? ni wakumuacha tu huyu
Wasalimu kwa rafael
yeahTumeombe Mungu muda wake uishe aje mtu wa maana.
Mitatu, nane hafiki, watu wamechoka balaa.yeah
tusubir hiyo miaka 8
bas tusahihishe makosa atakayo ya acha
hahahaMitatu, nane hafiki, watu wamechoka balaa.
Mambo yamebadilika sana utaona.hahaha
kuwatoa ccm ni kazi bro
waulize zanzibar, akiamua kuongeza muda ata ongeza tu
Haiharibu bro. Inatekeleza tu majukumu yake. Serikali inabana matumizi na kuchunga hela zake zisiibiwe.
Baa nyingi chupa ndogo wanauza 1800-2000/- hawauzi rrp ya tbl. Hata hio kubwa uswahilini haiuzwi 2500/-.Hapana Boss chupa ndogo ni 375 Ml na chupa kubwa ni 500 Ml.. Chupa ndogo 3 ni 1125 Ml ikiuzwa kwa 4500/- na chupa kubwa 2 ni 1000 Ml zikiuzwa kwa 5000/-... Sasa hapo angalia mwenyewe rahisi ni ipi..
Kwangu nauza 1600 na wenzangu wengi ninaowajua bei zao ni hizo 1500-1600/-Baa nyingi chupa ndogo wanauza 1800-2000/- hawauzi rrp ya tbl.
Unaona sasa, hapo juu umepiga hesabu kwa 1500 wakati unauza 1600. Kubwa nayo unauza 2500, kuna wanaouza chini ya hio. Wewe ni wholeseller au retailer?Kwangu nauza 1600 na wenzangu wengi ninaowajua bei zao ni hizo 1500-1600/-
...Ndiyo maana Balimi beer imekuwa maarufu ghafla.Hii ni habari ya kusikitisha aisee, vichupa vidogo tutalewa sangapi sasa? wanataka kutuharibia ndoa zetu hawa mabo ya kukesha baa ya nini jamani