Tetesi: Mabadiliko TBL

Angalia deeper zaidi ili uweze kuelewa sera mufilisi zinavyoangamiza uchumi wa nchi.

Haiharibu bro. Inatekeleza tu majukumu yake. Serikali inabana matumizi na kuchunga hela zake zisiibiwe.
 
Tbl pia nimesikia wamepunguza raia toka juzi, wale wa market wengi wamepigwa chini.
 
Hapana Boss chupa ndogo ni 375 Ml na chupa kubwa ni 500 Ml.. Chupa ndogo 3 ni 1125 Ml ikiuzwa kwa 4500/- na chupa kubwa 2 ni 1000 Ml zikiuzwa kwa 5000/-... Sasa hapo angalia mwenyewe rahisi ni ipi..
Baa nyingi chupa ndogo wanauza 1800-2000/- hawauzi rrp ya tbl. Hata hio kubwa uswahilini haiuzwi 2500/-.

Wanapouza kubwa 2500/- ndogo wanauza 2000/-
 
Kwangu nauza 1600 na wenzangu wengi ninaowajua bei zao ni hizo 1500-1600/-
Unaona sasa, hapo juu umepiga hesabu kwa 1500 wakati unauza 1600. Kubwa nayo unauza 2500, kuna wanaouza chini ya hio. Wewe ni wholeseller au retailer?
 
Hii ni habari ya kusikitisha aisee, vichupa vidogo tutalewa sangapi sasa? wanataka kutuharibia ndoa zetu hawa mabo ya kukesha baa ya nini jamani
...Ndiyo maana Balimi beer imekuwa maarufu ghafla.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…