Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapa kuna shida sana katika tafsiri ya kukua kwa uchumi, mi nafikiri kukua kwa uchumi lazima kuendane na kuimarika kwa hali ya maisha ya watu.Uchumi wa Tanzania unakuwa kwa kasi kubwa kuliko nchi yoyote ile ya Africa, lakini wanasahau kauli zao za kukua kwa uchumi na reality ya kitaa haviendani kabisa ni kama usiku na mchana.
hapa kuna shida sana katika tafsiri ya kukua kwa uchumi, mi nafikiri kukua kwa uchumi lazima kuendane na kuimarika kwa hali ya maisha ya watu.
Kumbe na ww ni mwanachama wa ile kitu mikono juu. Naona zile mambo zako za kuwatega wanaopaa night hazisaidii bora upige ile kitu ulale nusu kaputi wakija wapite tuuKonyagi kisichana imekuwa adimu kila kona huku bapa na jibapa zikiwa hazina dili
Hahaaaa yaan nimecheka kwa sautilakini ukubwa wa konyagi umeongezeka!!
Nimepwnda tu hiyo.. "Adioooooooos amigooo".Inasemekana kuanzia mwezi wa tano yaani may wanataka wabaki na beers za chupa ndogo kutokana na hali ya uchumi,no more chupa kubwaz.
Adiiiioooos amigoooo.
Wataongeza content ya alcoholHii ni habari ya kusikitisha aisee, vichupa vidogo tutalewa sangapi sasa? wanataka kutuharibia ndoa zetu hawa mabo ya kukesha baa ya nini jamani