LOVINTAH GYM
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 459
- 653
MARKET EQUILIBRIUM
Market ni soko na Equilibrium ni usawa.
SUPPLY PRODUCT = DEMAND PRODUCT
Kwahiyo usawa wa soko unapatikana pale bidhaa zilizozalishwa kwaajli ya mauzo ni sawa na bidhaa zinazohitajika na wanunuaji.
UPANGAJI WA BEI KUTUMIA DEMAND NA SUPPLY
1. Demand isipobadilika, ila supply ikaongezeka basi bei itapungua.
Mfano: Mananasi yakiwa mengi basi bei ya mananasi itashuka.
2.Demand ikipungua ,ila supply isibadilike basi bei itapungua.
Mfano:
Bei ya viatu vya shule mwezi wa 3 inapungua kwasababu watu wengi walishanunua mwezi wa kwanza kwahiyo uhitaji wa viatu umeshuka basi bei inashuka pia.
3. Demand isipobadilika, supply ikapungua basi bei itaongezeka.
Mfano:
Msimu usio wa mahindi basi hufanya bei ya mahindi kupanda bei
4. Demand ikiongezeka, ila supply ikawa ni ile ile basi bei itaongezeka.
Mfano:
Nyama kipindi cha sikukuu au bidhaa za kupikia futari kipindi cha ramadhani.
Karibuni sana kutoa maoni na mifano mengine.
Kumbuka tuna assume vitu vyengine vyote havijabadilika kama kipato, technology, nk
Pia tumetoa bidhaa zile zinazokiuka sheria ya supply na demand.
#equilibrium #pricemaking #demandandsupply #quantity #uchumi #economics
Market ni soko na Equilibrium ni usawa.
SUPPLY PRODUCT = DEMAND PRODUCT
Kwahiyo usawa wa soko unapatikana pale bidhaa zilizozalishwa kwaajli ya mauzo ni sawa na bidhaa zinazohitajika na wanunuaji.
UPANGAJI WA BEI KUTUMIA DEMAND NA SUPPLY
1. Demand isipobadilika, ila supply ikaongezeka basi bei itapungua.
Mfano: Mananasi yakiwa mengi basi bei ya mananasi itashuka.
2.Demand ikipungua ,ila supply isibadilike basi bei itapungua.
Mfano:
Bei ya viatu vya shule mwezi wa 3 inapungua kwasababu watu wengi walishanunua mwezi wa kwanza kwahiyo uhitaji wa viatu umeshuka basi bei inashuka pia.
3. Demand isipobadilika, supply ikapungua basi bei itaongezeka.
Mfano:
Msimu usio wa mahindi basi hufanya bei ya mahindi kupanda bei
4. Demand ikiongezeka, ila supply ikawa ni ile ile basi bei itaongezeka.
Mfano:
Nyama kipindi cha sikukuu au bidhaa za kupikia futari kipindi cha ramadhani.
Karibuni sana kutoa maoni na mifano mengine.
Kumbuka tuna assume vitu vyengine vyote havijabadilika kama kipato, technology, nk
Pia tumetoa bidhaa zile zinazokiuka sheria ya supply na demand.
#equilibrium #pricemaking #demandandsupply #quantity #uchumi #economics