Tango73
JF-Expert Member
- Dec 14, 2008
- 2,180
- 1,291
Namshika mkono wa heri na shukurani nyingi Rais Samia Hassan kwa mabadiliko mazuri ya elimu anayoyaleta nchini.
Namshukuru sana Rais Samia kwa kutatua kero moja iliyotutesa sana miaka nenda rudi ya Watanzania kuwa wanachama wa jumuia ya madola lakini kiingereza hakizungumzwi na walio wengi.
Mpango wa Rais Samia wa kuhakikisha somo la Kiingereza litafundishwa shuleni ili kuhakikisha mwanafunzi anelewa na kukizungumza ni swala la shukran na kumshika mkono.
Pamoja na kuwa swahili ni lugha yetu ya taifa lakini Watanzania lazima tujue sisi ni wanachama wa jumuia ya madola na lugha yetu ya kimataifa ni kiingereza.
Kwa hiyo kitendo cha kumfunza mwanafunzi lugha ya kiingereza mpaka akizungumze ni ukombozi wa lugha ya kimataifa tuliolilia miaka kadhaa.
Muda si mrefu mabadilko haya tutaona ya kuwa, Tanzania inatoa marefa wa kuchezesha world cup, wasananii kuimba nyimbo za kiingereza na kupanua masoko africa na duniani, makocha wa kitanzania kusambaa kokote uchezwako mpira na kupata ajira na wasomi kutopoteza ajira katika usahili kwa Wakenya na Waganda kwa sababu ya lugha
MAMA SAMIA ASANTE SANA MUNGU AKULIMDE NA KUKUBARIKI. AMINA
Namshukuru sana Rais Samia kwa kutatua kero moja iliyotutesa sana miaka nenda rudi ya Watanzania kuwa wanachama wa jumuia ya madola lakini kiingereza hakizungumzwi na walio wengi.
Mpango wa Rais Samia wa kuhakikisha somo la Kiingereza litafundishwa shuleni ili kuhakikisha mwanafunzi anelewa na kukizungumza ni swala la shukran na kumshika mkono.
Pamoja na kuwa swahili ni lugha yetu ya taifa lakini Watanzania lazima tujue sisi ni wanachama wa jumuia ya madola na lugha yetu ya kimataifa ni kiingereza.
Kwa hiyo kitendo cha kumfunza mwanafunzi lugha ya kiingereza mpaka akizungumze ni ukombozi wa lugha ya kimataifa tuliolilia miaka kadhaa.
Muda si mrefu mabadilko haya tutaona ya kuwa, Tanzania inatoa marefa wa kuchezesha world cup, wasananii kuimba nyimbo za kiingereza na kupanua masoko africa na duniani, makocha wa kitanzania kusambaa kokote uchezwako mpira na kupata ajira na wasomi kutopoteza ajira katika usahili kwa Wakenya na Waganda kwa sababu ya lugha
MAMA SAMIA ASANTE SANA MUNGU AKULIMDE NA KUKUBARIKI. AMINA