Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Kwani wewe unatakaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mbaya mbaya ni kufikia kuwa katiba itazuia kila kitu
USSR
Na ikija Ile tunayoitamni zaidi ya Mzee warioba ambayo ni ya maoni yetu sisi Rasmi huyu wa Muungano hatogusa mambo yanayohusu Tanganyika mambo ya madini maliasili havita muhusu yeye atakua wa UN na masafari yake kama ya hangayaRais wa muungano anatakiwa azungumzie mambo yanagusa pande zote mbili sio Tanganyika tu
Wewe iliyopo inakuzia niniTwende na nyakati
Kwa hiyo kwa mawazo yako tusibadili katiba ,ili iweje kwa hakili yako hii iliyopo inafaaBunge la Kenya lipo kwenye mjadala wa kufanya mabadiliko makubwa ya Katiba yake kwa kinatajwa na muungano wa Kenya Kwanza ya Rais Ruto kuunganisha taifa, hii ni baada ya mpango wa Rais Kenyatta wa BBI kukataliwa na Majaji huku pande mbili za kieleweke na tangatanga zikiumana kipindi hicho.
Katiba ya Kenya ya mwaka 2010 iliyotangazwa na marehemu Mzee Kibaki na mshindani wake Raila wakiwaambia wakenya kuwa italiweka pamoja taifa kitu kilichoshindika ,italeta maendeleo kitu kilichoshindika hali ya maisha ya wakenya ni ngumu licha ya Serikali kuzidiwa madeni ya ndani na nje.
Hapa Tanzania kuna kundi tangu mwanzo linadai eti katiba mpya italeta usawa na kuwa jawabu la mambo yote ya kiuchumi na kijamii kitu ambacho si kweli, usalama wa Kenya uko hoi mauaji, utekaji, na wanasiasa sasa wanaopinga Ruto wanatamani kukimbia nchi licha ya katiba mpya huku wapinzani wakiandamana kupinga matokeo na kutotambua matokeo kuwa kuwa tume ya uchaguzi ilimpendelea rais Ruto kama hapa Tanzania wapinzani wakigomea matokeo ya 2020
My take: Baada ya Tanzania kupata Katiba tutajikuta matatizo yetu yapo palepale maana watu ni walewale tu
USSR
Zanzibar ya nini ?Tanganyika iwemo kwenye katiba na iwe serikali yake kama Zanzibar
Wewe ulitaka awe Mmarekani Tundu Lissu?Kwa katiba ya Sasa Samia Ni rais wa Tanganyika lakini mzanzibari
Wewe iliyopo inakuzia nini
Katiba ya Kenya imetufunza mengi mno, ilichofanikiwa zaidi ni kubadilisha tawala za vyama, lakini haikuwahi kubadilisha hali za maisha za wakenya au kuzuia ufisadi au ufujaji wa fedha kwa namna yoyote ile, tuwe makini aidha tungoje kwanza, tusiwe na papara,tuachane na njaa za upinzani juu ya takwa lao la madaraka.
🤣🤣🤣 Wewe utakuwa ni wale wa kupita bila kupingwa na ndio maana huoni umuhimu wa katiba mpya.Katiba ya Kenya imetufunza mengi mno, ilichofanikiwa zaidi ni kubadilisha tawala za vyama, lakini haikuwahi kubadilisha hali za maisha za wakenya au kuzuia ufisadi au ufujaji wa fedha kwa namna yoyote ile, tuwe makini aidha tungoje kwanza, tusiwe na papara,tuachane na njaa za upinzani juu ya takwa lao la madaraka.
Kuwe na serikali moja tu .URTTanganyika iwemo kwenye katiba na iwe serikali yake kama Zanzibar
Mabadiliko ya Katiba ya Tanzania maeneo machache yanahitajika. Hakuna haja ya Katiba Mpya, bali mabadiliko kwenye maeneo machache kama vile kuruhusu wagombea huru. Hakuna sababu yoyote ya kusema ili mtu agombee nafasi ya kuchaguliwa (uenyekiti wa mtaa/kijiji, udiwani, ubunge na uraisi) ni lazima adhaminiwe na chama cha siasa.Bunge la Kenya lipo kwenye mjadala wa kufanya mabadiliko makubwa ya Katiba yake kwa kinatajwa na muungano wa Kenya Kwanza ya Rais Ruto kuunganisha taifa, hii ni baada ya mpango wa Rais Kenyatta wa BBI kukataliwa na Majaji huku pande mbili za kieleweke na tangatanga zikiumana kipindi hicho.
Katiba ya Kenya ya mwaka 2010 iliyotangazwa na marehemu Mzee Kibaki na mshindani wake Raila wakiwaambia wakenya kuwa italiweka pamoja taifa kitu kilichoshindika ,italeta maendeleo kitu kilichoshindika hali ya maisha ya wakenya ni ngumu licha ya Serikali kuzidiwa madeni ya ndani na nje.
Hapa Tanzania kuna kundi tangu mwanzo linadai eti katiba mpya italeta usawa na kuwa jawabu la mambo yote ya kiuchumi na kijamii kitu ambacho si kweli, usalama wa Kenya uko hoi mauaji, utekaji, na wanasiasa sasa wanaopinga Ruto wanatamani kukimbia nchi licha ya katiba mpya huku wapinzani wakiandamana kupinga matokeo na kutotambua matokeo kuwa kuwa tume ya uchaguzi ilimpendelea rais Ruto kama hapa Tanzania wapinzani wakigomea matokeo ya 2020
My take: Baada ya Tanzania kupata Katiba tutajikuta matatizo yetu yapo palepale maana watu ni walewale tu
USSR