Mabadiliko ya Katiba ya Kenya, wanaodai Katiba Mpya Tanzania mnalo la kujifunza

Msingi mkubwa wa katiba ni kuleta haki na uwajibikaji sio kuondoa shida za mtu binafsi
 
Hilo hatukatai lakini,acha katiba ibadilishwe pia inaonekana imezeeka,pengine Kuna Mambo mapya yatawekwa mlo na mengine yatapunguzwa,na huwezi ukajua yatakayoongezwa mle kwenye katiba mpya yatazaidiaje,ama yatakayopunguzwa yataleta faida gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…