Mabadiliko ya maisha yangu baada ya kuoa

Mabadiliko ya maisha yangu baada ya kuoa

mtechnical

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2012
Posts
238
Reaction score
570
Haya ni mabadiriko ya maisha yangu baada ya kuoa.

POSITIVE.

1. Kabla ya kuoa nilikuwa naweza lala bila kula au nikala mkate na juisi tu nikalala ila sasa nikitoka kazini na njaa nakuta mke wangu amenipikia chakula nikipendacho.

2. Kabla ya kuoa nilikuwa naweza amka asubuhi,nataka kwenda kazini nakuta nguo zote chafu. Sasa hivi hata sifikilii kuhusu nguo za kuvaa, wife ana deal vizuri na hilo.

3. Kabla ya kuoa nilikuwa nateswa sana na njaa ya sex ( nyege) inafikia wakati umekaa kwenye daladala unashangaa baba wa taifa anasimama bila sababu.Sasa hivi mke wangu ananitosheleza vizuri.

4. Nilikuwa nateswa na stress za kazi. Nikitoka job na stress, najifungia ndani na stress zangu, nakosa hata usingizi. Sasa hivi nikitoka job nikifika home tu stress zinaisha kesho yake nakuwa mtu mpya.

5. Nilikuwa nakwepa kupokea wageni sababu nyumbani kwangu mazingira yalikuwa hovyo. Sasa hivi natamani kupokea wageni, na wageni wakija wanaondoka wamefurahi.

6. Nilikuwa nateswa na underweight, nguo hazikai kiunoni sababu ya kukonda kupitiliza. Sasa hivi nalazikika kufanya mazoezi kuepuka overweight.

7. Jumamosi naamka asubuhi nakula chakula cha kiume( morning Glory) kisha nalala tena nasubiri kuamshwa kupata breakfast 😀.

NEGATIVES

1.Matumizi ya pesa ya matunzo kwa mke kama nguo, kusuka, mafuta, kumtoa out siku moja moja.

2. Kukosa uhuru wa kufanya ninacho taka nikiwa kwangu kama vile kuweka Chanel ya TV ninayo taka ( sasa hivi nalazikika kuangalia vitu vya kijinga kama juakali)

3. Kukosa uhuru wa kutoka na kurudi muda ninao taka.

4. Maudhui madogo madogo ya wanawake kama kununa kwa sababu za kijinga na kudeka.

5. Sasa hivi sifanyi vitu kwa kujiangalia mwenyewe lazima nimfikilie na mke wangu.

NB: ndoa ina postives na negatives, ombea postives ziwe nyingi na negatives ziwe zinazo vumilika. Usiwasikilize team kataa ndoa, ni losers. Za kuambiwa changanya na zako
 
Ndoa ni tamu inategemea na uliyempata, mie nikiambiwa ndoa mbaya, namcheka moyoni, sababu mke wangu hanipi kero kubwa kubwa, zipo zile ndogo ndogo ambazo kwa yale mazuri yake ni sawa na hakuna kero.
Yeah, cha muhimu ni kupata mtu sahihi. Na wewe pia uwe sahihi. We mwanaume usipokuwa sahihi hata ukipata mke malaika hautaona uzuri wake, utaishia kumtesa na kuteseka mwenyewe.
 
Haya ni mabadiriko ya maisha yangu baada ya kuoa.

POSITIVE.

1. Kabla ya kuoa nilikuwa naweza lala bila kula au nikala mkate na juisi tu nikalala ila sasa nikitoka kazini na njaa nakuta mke wangu amenipikia chakula nikipendacho.

2. Kabla ya kuoa nilikuwa naweza amka asubuhi,nataka kwenda kazini nakuta nguo zote chafu. Sasa hivi hata sifikilii kuhusu nguo za kuvaa, wife ana deal vizuri na hilo.

3. Kabla ya kuoa nilikuwa nateswa sana na njaa ya sex ( nyege) inafikia wakati umekaa kwenye daladala unashangaa baba wa taifa anasimama bila sababu.Sasa hivi mke wangu ananitosheleza vizuri.

4. Nilikuwa nateswa na stress za kazi. Nikitoka job na stress, najifungia ndani na stress zangu, nakosa hata usingizi. Sasa hivi nikitoka job nikifika home tu stress zinaisha kesho yake nakuwa mtu mpya.

5. Nilikuwa nakwepa kupokea wageni sababu nyumbani kwangu mazingira yalikuwa hovyo. Sasa hivi natamani kupokea wageni, na wageni wakija wanaondoka wamefurahi.

6. Nilikuwa nateswa na underweight, nguo hazikai kiunoni sababu ya kukonda kupitiliza. Sasa hivi nalazikika kufanya mazoezi kuepuka overweight.

7. Jumamosi naamka asubuhi nakula chakula cha kiume( morning Glory) kisha nalala tena nasubiri kuamshwa kupata breakfast 😀.

NEGATIVES

1.Matumizi ya pesa ya matunzo kwa mke kama nguo, kusuka, mafuta, kumtoa out siku moja moja.

2. Kukosa uhuru wa kufanya ninacho taka nikiwa kwangu kama vile kuweka Chanel ya TV ninayo taka ( sasa hivi nalazikika kuangalia vitu vya kijinga kama juakali)

3. Kukosa uhuru wa kutoka na kurudi muda ninao taka.

4. Maudhui madogo madogo ya wanawake kama kununa kwa sababu za kijinga na kudeka.

5. Sasa hivi sifanyi vitu kwa kujiangalia mwenyewe lazima nimfikilie na mke wangu.

NB: ndoa ina postives na negatives, ombea postives ziwe nyingi na negatives ziwe zinazo vumilika. Usiwasikilize team kataa ndoa, ni losers. Za kuambiwa changanya na zako
Kuna negative nzito na za kawaida, umeoa lini mkuu, samahani kwa kuuliza
 
Back
Top Bottom